mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Swala sio muda WA kutangazwa MABADILIKO ya muda.
Tofauti ya masaa mawili hayawezi kukuathiri chochote kama UMEJIANDAA NA MECHI
HAO waliopeleka muda mbele ndo waliopanga mechi iwe saa 11 na ndo waliopeleka mbele.
HYO NI SERIKALI.
Tofauti ya masaa mawili hayawezi kukuathiri chochote kama UMEJIANDAA NA MECHI
HAO waliopeleka muda mbele ndo waliopanga mechi iwe saa 11 na ndo waliopeleka mbele.
HYO NI SERIKALI.
Taarifa ilitoka ndani ya muda gani mkuu? Why mabadaliko yatokee siku ya mechi tena masaa machache kabla ya muda uliopangwa? Ni dharura gani waliyopata Tff?