Yanga yagomea mechi kupigwa saa 1, mechi yaahirishwa

Yanga yagomea mechi kupigwa saa 1, mechi yaahirishwa

Swala sio muda WA kutangazwa MABADILIKO ya muda.
Tofauti ya masaa mawili hayawezi kukuathiri chochote kama UMEJIANDAA NA MECHI
HAO waliopeleka muda mbele ndo waliopanga mechi iwe saa 11 na ndo waliopeleka mbele.
HYO NI SERIKALI.
Taarifa ilitoka ndani ya muda gani mkuu? Why mabadaliko yatokee siku ya mechi tena masaa machache kabla ya muda uliopangwa? Ni dharura gani waliyopata Tff?
 
Hyo KAULI kuwa serikali haipaswi kuingilia chama cha mpira.
UWA MNAJIDANGANYA.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].
basi Kwa taarifa yenu kama hamjui.
Serikali inahusika pale TFF KWA [emoji817].
ndo maana kuna wizara ya michezo.
Inachoongea wizara .TFF HAWAWEZI KUPINGA.
ACHENI KUJIDANGANYA.
Serikali haitakiwi kuingilia chama cha mpira, inatakiwa kutoa sapoti tu pale inapohitajika.

Pia kama wangetuheshimu sisi mashabiki, ilibidi watuambie sababu ya kusogeza mbele ni ipi. View attachment 1778187
 
Si hapo wameandika wenyewe.
"Itapeleka timu uwanjani muda ULIOPANGWA AWALI"
Na wao wamesema" WANAPINGA HAYO MABADILIKO"
"ITAPELEKA"
ebu soma maelekezo Yao vizuri
Ujueni rahisi kuongea ukiwa nje ya uhusika kama ambavyo tunafanya mimi na ww hapa. Ila chukulia mfano umepewa appointment ya kukutana mtu eneo fulani , let say saa saba mchana, wakati unajiandaa kwenda, ghafla unaambiwa mkutane saa 12 jioni. It means ww huna ratiba zako nyingine, muda wako ni kwa ajili ya hiyo appointment tu.

Tuache ushabiki mkuu, Tff wamezingua kwa ili, kinyume na hapo basi wawapore Yanga points 3.
 
Swala sio muda WA kutangazwa MABADILIKO ya muda.
Tofauti ya masaa mawili hayawezi kukuathiri chochote kama UMEJIANDAA NA MECHI
HAO waliopeleka muda mbele ndo waliopanga mechi iwe saa 11 na ndo waliopeleka mbele.
HYO NI SERIKALI.
Serikali na mpira, wapi na wapi mkuu??
 
Umeshaambiwa serikali ndio imesogeza mbele muda.
WEWE NANI UGOME?.
UMEJIANDAA Kwa mechi INGIA UCHEZE USITAFUTE SABABU
Ujueni rahisi kuongea ukiwa nje ya uhusika kama ambavyo tunafanya mimi na ww hapa. Ila chukulia mfano umepewa appointment ya kukutana mtu eneo fulani , let say saa saba mchana, wakati unajiandaa kwenda, ghafla unaambiwa mkutane saa 12 jioni. It means ww huna ratiba zako nyingine, muda wako ni kwa ajili ya hiyo appointment tu.

Tuache ushabiki mkuu, Tff wamezingua kwa ili, kinyume na hapo basi wawapore Yanga points 3.
 
Kwani TFF inaongozwa na nani?.
Nimegundua watanzania uwa mnadanganyana Sana.
Serikali inahusika pale TFF KWA [emoji817].
msiwe mnadanganyana
Serikali na mpira, wapi na wapi mkuu??
 
Nashauri TFF ifungiwe miaka miwili ma faini ya milion 20 kwa kukiuka sheria na taratibu za mpira nchini.

Lazma wachukuliwe hatua kama wavyochukulia wengine hatua wakikiuka taratibu na sheria zao walizoweka.
 
Si hapo wameandika wenyewe.
"Itapeleka timu uwanjani muda ULIOPANGWA AWALI"
Na wao wamesema" WANAPINGA HAYO MABADILIKO"
"ITAPELEKA"
ebu soma maelekezo Yao vizuri
We na we acha ubishi wa kitoto hiyo doc unayoattach mbona ina majibu kwanini hawajakubaliana na TFF?

Au hata mpira hufuatilii?

Kwa kanuni za FIFA hapo Yanga inabidi wapewe points tatu na magoli matatu kwakua alifika uwanjani na mpinzani hakufika kwa dakika 30 tangu mechi ilipotakiwa kuanza.
 
Hyo KAULI kuwa serikali haipaswi kuingilia chama cha mpira.
UWA MNAJIDANGANYA.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].
basi Kwa taarifa yenu kama hamjui.
Serikali inahusika pale TFF KWA [emoji817].
ndo maana kuna wizara ya michezo.
Inachoongea wizara .TFF HAWAWEZI KUPINGA.
ACHENI KUJIDANGANYA.
Tunaposema serikali haitakiwi kuingilia mpira nadhan unashindwa kuelewa huwa inamaanisha nini. Kazi ya wizara ni kusimamia na kuendesha sekta husika ambazo ni Sanaa, Utamadunu na Michezo, ila kazi ya Tff ni kuratibu na kuendesha kitengo husika ambacho ni Mpira wa miguu.

Ratiba za mpira hupangwa na Tff kwa kushirikiana na bodi ya ligi. Serikali itaingilia kati endapo kutakuwa na emergence inayohusu usalama wa raia na mali zao, ila kinyume na hapo haiwezi kuingilia. Ilipotokea issue ya korona, serikali ikasimamisha mashindano. Ila kwa issue ya jana kama serikali imeingilia, watoe na sababu ya kufanya hivyo, sio kutoa order.
 
Kwani TFF inaongozwa na nani?.
Nimegundua watanzania uwa mnadanganyana Sana.
Serikali inahusika pale TFF KWA [emoji817].
msiwe mnadanganyana
Serikali kutaka kurun kila kitu, ndio maana Tz tunafeli sehemu nyingi sana tofautisha na nchi za wenzetu.

Nipe sababu ya serikali kutaka mechi ibadilishwe muda siku ya jana.
 
Umeshaambiwa serikali ndio imesogeza mbele muda.
WEWE NANI UGOME?.
UMEJIANDAA Kwa mechi INGIA UCHEZE USITAFUTE SABABU
Sababu ni ipi ya kutoa order hiyo? Watu wametoa hela zao kuingia uwanjani, wamesafiri hadi kufika pale. Unapotoa mabadiliko, wape na sababu. Sababu unayoijua wewe ni ipi mkuu?
 
View attachment 1777519
View attachment 1777520
My Take
Kama TFF haikushirikisha timu zote ni wapumbavu wa kudumu. Kwa nini walipanga mechi saa 11 wakijua kuna changamoto

Updates
View attachment 1777682Yanga wamepasha wamesepa. Hawa wizara na TFF wamewatafutia sababu Utopolo
Umeshaambiwa serikali ndio imesogeza mbele muda.
WEWE NANI UGOME?.
UMEJIANDAA Kwa mechi INGIA UCHEZE USITAFUTE SABABU
Unasogeza tu kama kusogeza nyoka ateleze pangoni. Kwanini kanuni ziliwekwa kwenye maandishi?

Na ukiangalia hakuna sababu iliyotolewa, labda kama sijui kusoma. Kuna watu wamesafiri toka mikoa ya pembezoni na ncho jirani wakijua ratiba iliyopo. Watu wameingia uwanjani wewe unasogeza muda wa mchezo mbele.

Hizi ni akili mbovu sijawahi kusikia kwenye mchezo wa mpira wa mpira wa miguu.
 
Ewaaah sasa hapo ndo yanga wangewauliza TFF.wazee imekuwaje mbona mmepeleka muda mbele?..
Lakini walichokifanya wao NI kuingia kwenye mitandao yao ya kijamii na kutoa taarifa kuwa wamegomea hayo mabadiliko..
Hayo NI maamuzi ya kukurupuka.
Kila kitu kinazungumzika.wangekaa pale pale uwanjani wangekuja TFF wangeongea.kama kulikuwa na ulazima wao wa kutokucheza wangeongea Kwanza na TFF
Sababu ni ipi ya kutoa order hiyo? Watu wametoa hela zao kuingia uwanjani, wamesafiri hadi kufika pale. Unapotoa mabadiliko, wape na sababu. Sababu unayoijua wewe ni ipi mkuu?
 
Sababu ni ipi ya kutoa order hiyo? Watu wametoa hela zao kuingia uwanjani, wamesafiri hadi kufika pale. Unapotoa mabadiliko, wape na sababu. Sababu unayoijua wewe ni ipi mkuu?
Tatizo na wa kulaumiwa hapa ni Uongozi wa Yanga. Hao watu waliolipa, waliosafiri nk hawakuwa na tatizo kusubiri hayo masaa mawili tu bila hata kupewa sababu.
 
BABA YAKO AKIKOSEA UNAWEZA KUMGOMEA?
Unasogeza tu kama kusogeza nyoka ateleze pangoni. Kwanini kanuni ziliwekwa kwenye maandishi?

Na ukiangalia hakuna sababu iliyotolewa, labda kama sijui kusoma. Kuna watu wamesafiri toka mikoa ya pembezoni na ncho jirani wakijua ratiba iliyopo. Watu wameingia uwanjani wewe unasogeza muda wa mchezo mbele.

Hizi ni akili mbovu sijawahi kusikia kwenye mchezo wa mpira wa mpira wa miguu.
 
Na hii ndo BUSARA AMBAYO VIONGOZI WA YANGA WALITAKIWA KUIFANYA.
wangetulia.
Viongozi wa TFF wapo.wangewasiliana nao.uenda walikuwa na sababu za msingi.
TFF hawajakurupuka kusogeza mbele.ila yanga wamekurupuka kutoa taarifa za kugomea muda
Tatizo na wa kulaumiwa hapa ni Uongozi wa Yanga. Hao watu waliolipa, waliosafiri nk hawakuwa na tatizo kusubiri hayo masaa mawili tu bila hata kupewa sababu.
 
Sasa haya maswali mlitakiwa MUHOJI JANA kabla hamjatoa timu uwanjani.
Kwa sasa hata mkijua sababu HAISAIDII KITU.
maaana mmeshagoma
Serikali kutaka kurun kila kitu, ndio maana Tz tunafeli sehemu nyingi sana tofautisha na nchi za wenzetu.

Nipe sababu ya serikali kutaka mechi ibadilishwe muda siku ya jana.
 
TFF IPO chini ya Nani?
We na we acha ubishi wa kitoto hiyo doc unayoattach mbona ina majibu kwanini hawajakubaliana na TFF?

Au hata mpira hufuatilii?

Kwa kanuni za FIFA hapo Yanga inabidi wapewe points tatu na magoli matatu kwakua alifika uwanjani na mpinzani hakufika kwa dakika 30 tangu mechi ilipotakiwa kuanza.
 
Kwani serikali NI mara ya Kwanza kuvunja Sheria na taratibu za nchi?
Hivi unaelewa maana ya SERIKALI?.
Tunaposema serikali haitakiwi kuingilia mpira nadhan unashindwa kuelewa huwa inamaanisha nini. Kazi ya wizara ni kusimamia na kuendesha sekta husika ambazo ni Sanaa, Utamadunu na Michezo, ila kazi ya Tff ni kuratibu na kuendesha kitengo husika ambacho ni Mpira wa miguu.

Ratiba za mpira hupangwa na Tff kwa kushirikiana na bodi ya ligi. Serikali itaingilia kati endapo kutakuwa na emergence inayohusu usalama wa raia na mali zao, ila kinyume na hapo haiwezi kuingilia. Ilipotokea issue ya korona, serikali ikasimamisha mashindano. Ila kwa issue ya jana kama serikali imeingilia, watoe na sababu ya kufanya hivyo, sio kutoa order.
 
Back
Top Bottom