Yesu akirudi leo atasali wapi? Kwa Wayahudi, RC /Wasabato au Kwa Walokole? Au Mashahidi wa Yehova? Naomba majibu

dini ya kweli ni kuwasaidia wajane na yatima.
Alisema : MAMA na ndugu zangu ni wale ..........

Kwa HIO HAPO naona kabisa km haujaenda kanisa la Irene Uwoya basi ataenda lile kanisa la Giggy kwa Nwamposa hatofika kabisa
 
  • Yesu hana dini
  • Huwa ni sherehe ya idi au mkutano wa idi? Kumbuka Quran ime-copy kutoka kwenye Biblia ndiyo maana baadhi ya huwa ni tofauti. Rejea Yesu na Issa utagundua ni watu tofauti
Alafu mwambie Idi ni Jina la MTU km alivyo Issa
 
Thread yako umeleta kishabiki pasipo kutafakari. Dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu
Yesu hana dini wala hafungamani na dhehebu lolote, ukimuamini Yesu kristo wa Nazareti aliyehai na ukatenda mema
 
Kwanini, umekuwepo msisitizo wa dini yaani ukiwaambia watu namwamini Mungu watakuuliza unasali dini ipi? Ukiwaambia Mkristo watakuuliza dhehebu!!
Dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu.
Yesu hana dini
 
Sielewi kwanini bangi Kwa bongo ni haramu? itabidi ihararishwe tuu na hakuna sababu yeyote ya kuifungia, sigara ina madhara kuliko bangi kiafya, bangi ni nzuri na itaongeza mapato ya Kodi kuliko hata pombe na itasaidia wakulima kujiongezea kipato
 
lakini RC Bikra maria tunaaminishwa ni mama wa Mungu katika Kristo yesu.
Swali : MUNGU alivyosema "tumfanye MTU kwa mfano WETU" inamaanisha nini WETU inamaana gani?

Elewa Neno mfano
Elewa Neno WETU

SIO Mifano YETU ni Mfano WETU

Mfano UPI?

WETU wangapi? MUNGU alikua na wakina Nani? Malaika Mikael na Gabriel?

Akampulizia PUMZI ya UHAI maana yake akaingia ndani yake maana yake PUMZI ni sehemu yake MUNGU HIO ni maana kwamba kila binadamu ana MUNGU ndani yake
 
Kasomeeee,,,,,,!!!!

Acha kukariri, haya elezea wewe kile unachokifahamu,,,,,,!!!!

Hao wachungaji na mapadri ambao ni wajuzi zaidi kuzidi wa ukristo kuzidi wewe hawakapingi kuwa yesu na Issa is the same, we ni nani hadi upinge,,,!!!

We una elimu gani ya dini na umeipatia wapi???

We subiri ikifika siku ya ibada uwapelekee maokoto huku ukivirigwa,,,!!!!
 
Lakini Yesu huyo anafukuza majini yenu na mapepo yenu yanamuogopa
Hizo ni fallacies au propaganda dhidi ya uislamu, hakuna ukweli wowote, na kuthibitisha ujinga wenu huwa mnabeba uzushi wa namna hiyo na kuuamini!

Kama ingelikuwa kuna ukweli katika hayo ya majini na mapepo basi kesi za mapepo zingelikuwa nyingi msikitini, ushawahi kusikia msikitini kuna mapepo au majini, sa nenda kanisani kila uchwao wao na maombezi, maombezi na wao,. Wajanja wanatake advantage kwa ujinga wenu wa bendera kufuata upepo!!!!
 
Mapepo na majini yetu umewahi kuyaona wapi?

Unaamini kwamba Hakuna Uislamu bila Ukristo? Ukristo ndio chanzo cha uislamu?
 
Yesu au Isa bin Maryam ni muislamu na sisi tunaamini kulingana na habari alizozitoa Mtume Muhammad صلى الله عليه وسلم kwanza hajawahi kufa Wala kufufuka na Allaah alimpaisha mbinguni kabla mikono michafu ya wayahudi haijamgusa. Na atarudi duniani kabla ya siku ya kiyama, atavunja misalaba na kuua nguruwe. Na ataswali msikitini pamoja na waislamu. Na wakati huo Wakristo wengi watasilimu.
 
Hatakuja kusali tena bali atakuja
1.Mara ya kwanza kulinyakua Kanisani lake,(Yohana14:1-3)(1Wathesalonike4:13-17) (1Wakorintho15:51-53)
2.Mara ya pili Kuja kutawala na Kanisa lake miaka 1000,
(Ufunuo19:11-16)
(Ufunuo20:1-4)
 
Sijui atakaposali ila tu nikuambie watu wote wataalikwa katika makutano ya bwana kasoro wewe tu kwa ajili ya upotevu wako wa akili
 
Atapenda kujua Kama kazi alizowaachia wanafunzi wake zinatekelezwa ikumbukwe aliwaagiza akisema. "Enendeni ulimwenguni kote mkaihubiri injili... "
Atasali makanisa yote ni baba wa ukristo bila kujali kanisa
 
Tafuta ela ndg, uwaachie watoto urithi
 
Hakuna kitu na huyo kiumbe hayupo zaidi hizo ni story tu za watu weupe basi
 

Kama huna ushahidi, huna haki ya kuongea!!

Leta andiko tujisomee wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…