Yevgeny Prigozhin, Boss wa Wagner Group ahofiwa kufariki kwenye ajali ya ndege!

Yevgeny Prigozhin, Boss wa Wagner Group ahofiwa kufariki kwenye ajali ya ndege!

W
Ile rekodi kama kaiposti jana vile. Uwezekano kwamba hakuwa kwenye ndege upo, hii ni Urusi na mambo yake yako hivihivi miaka nenda rudi.
Kule Belarus nako Wagner hawana chao, waje Afrika kwa wanyonge wabebe madini. Syria waliikimbia unapigana na magaidi wakifa wanaona sifa, Ukraine wamechoka wizara ya ulinzi inawasaliti sasa labda waende mapigano mepesi.
We jamaa wewe
 
Inavyosemekana hao watu kumi waliokuwemo kwenye hiyo Ndege wote walikua wakuu wa Wagner Group na waliitwa kwa special issue kumbe KGB ilikua inawasaka tu!!
Cheza na vitu usiche na Idara ya Usalama wa Taifa alichokitafuta huyo jamaa amekipata majasusi yapo kazini
 
Inavyosemekana hao watu kumi waliokuwemo kwenye hiyo Ndege wote walikua wakuu wa Wagner Group na waliitwa kwa special issue kumbe KGB ilikua inawasaka tu!!
Cheza na vitu usiche na Idara ya Usalama wa Taifa alichokitafuta huyo jamaa amekipata majasusi yapo kazini
Familia tu zinazojitambuwa huwa hawasafiri pamoja, ndio sembuse hao Magenerali wa kijeshi?

Mnawachukulia powa sana, hata kwenye sinema za Hollywood mistake hizo hazifanyiki za kuweka mayayi yote kapu moja.
 
Wewe huna akili, hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kuishabikia Urusi na shetani wake Putin.

Regardless sishabikii chochote kwenye vita ya Ukraine.
Sasa aliekuambia Mimi nashabikia Russia ni nani.. mi nimefurahia hii taarifa mzee[emoji16]
 
Prigo anawacheki tu.
Mtu anasakwa 24/7 atapanda ndege na jina lake liwekwe kwenye madaftari ya airport. Hata kama mimi ni progo hiyo ndege sipandi.

Prigozhin with the number RA-02748 landed at the Ostafyevo airport near Moscow. It was on it that a businessman could be located, sources say.
“The second plane has landed. It was on it that Yevgeny Prigozhin could fly, who, for the sake of his own safety, checked in on one side, and was on the other, ”the Readovka telegram channel reports, citing sources.
Maskirovka big time 😁
Mbona huwa anapanda kawaida tu. Hata kipindi kile viongozi wa Afrika wameenda mkutanoni alionekana kama kawaida akipanda Helicopter na akaenda nayo na hadi Mkutanoni akafika!
 
Prigozhin ahofiwa kufariki katika Ajali ya Ndege

Watu 10 wameripotiwa kufariki kwenye ajali hiyo ya ndege

Watanzania tumuombee apumzike kwa amani!

Source: Al jazeera

====

Kwa mujibu wa Idara ya Habari ya Urusi (TASS), abiria 10 waliokuwa kwenye Ndege Binafsi wamefariki ambapo inaaminika Kiongozi wa Jeshi Binafsi la Wagner Group, Yevgeny Prigozhin naye alikuwepo kwenye Ndege hiyo

Taarifa za awali zilizoripotiwa na akaunti ya Grey Zone inayodaiwa kuwa na uhusiano na #WagnerGroup zimeeleza kuwa Ndege hiyo ilishambuliwa na Walinzi wa Anga katika Mkoa wa Tver, Kaskazini mwa Moscow

Juni 2023, Prigozhin aliongoza kilichoelezwa kuwa ni Uasi wa muda mfupi dhidi ya Wakuu wa Kijeshi wa Urusi ambapo Rais Vladimir Putin alimtaja Kiongozi huyo kama Msaliti.

View attachment 2726581
Yevgeny Prigozhin was passenger on crashed plane, Russian officials say Ten died when aircraft came down on flight from Moscow to St Petersburg, according to emergency ministry

Wagner boss Yevgeny Prigozhin was on the passenger list of a plane which crashed in Russia, killing all 10 on board. He was believed to be on board the plane. Earlier, a Wagner-linked Telegram channel Grey Zone reported that the jet was shot down by air defences in Tver region, north of Moscow.
Duuh..
Putin kaamua kumuwahi kamanda Prigozhin🙄
 
Case Closed.

Nimesema humu JF kuwa mazee (Putin, Lukashenko & Co) si watu wa kuwachezea weye fanya mambo yako, wao hukulia "timing" tu ikifika muda muafaka hutekeleza.

Si mlisema lilikuwa IGIZO?
 
Urusi haipo tena syria?
Nasema Wagner hawapo Syria, walitoka muda uko. Na ndio ulikuwa mwanzo wa Wagner kuchukiana na wizara ya ulinzi. Hii chuki wanayo tangu 2018, majenerali wa Urusi walipanga shambulizi dhidi ya vikosi vya Marekani wakawatuma Wagner ili baadae wawakane. Kile kikosi cha Marekani ilikuwa ni special forces hata hawakurusha risasi yeyote ni mwendo wa AH-64 Apache, attack drones na AC-130 gunship.
Marekani iliiwauliza Warusi pale Syria kwa official communication channel kama hivi vikosi vinavyotusogelea ni vyenu Warusi hawakueleweka, Wagner ikaomba ipewe air cover jeshi la Urusi likakataa wakauwawa wengi.

Wizara ya ulinzi ilikuwa inawaonea wivu, wapiganaji wa ground wengi ni Wagner maofisa wa Urusi ni kupiga gwaride na kufanya air sorties na kufanya kazi kubwa ikitokea kuna ziara. Majeruhi na vifo vingi vilikuwa kwa Wagner. Hata hapo Ukraine vifo vingi vimetokea Bakhmut ambapo Wagner walikuwa positinioed.
Wizara inawapa silaha kidogo wanakuwa underpowered kupigana na adui ili wasichukue credit wao, Prigozhin ikawa ni kuwafokea Ministry of Defence mara kwa mara. Shoigu na Gerasimov wake wakamchukia wakaona kama anataka kuwafukuzisha kazi. Na mengine yakaendelea
 
Back
Top Bottom