Yevgeny Prigozhin, Boss wa Wagner Group ahofiwa kufariki kwenye ajali ya ndege!

Yevgeny Prigozhin, Boss wa Wagner Group ahofiwa kufariki kwenye ajali ya ndege!

Ile rekodi kama kaiposti jana vile. Uwezekano kwamba hakuwa kwenye ndege upo, hii ni Urusi na mambo yake yako hivihivi miaka nenda rudi.
Kule Belarus nako Wagner hawana chao, waje Afrika kwa wanyonge wabebe madini. Syria waliikimbia unapigana na magaidi wakifa wanaona sifa, Ukraine wamechoka wizara ya ulinzi inawasaliti sasa labda waende mapigano mepesi.
Urusi haipo tena syria?
 
Prigozhin ahofiwa kufariki katika Ajali ya Ndege

Watu 10 wameripotiwa kufariki kwenye ajali hiyo ya ndege

Watanzania tumuombee apumzike kwa amani!

Source: Al jazeera

====

Kwa mujibu wa Idara ya Habari ya Urusi (TASS), abiria 10 waliokuwa kwenye Ndege Binafsi wamefariki ambapo inaaminika Kiongozi wa Jeshi Binafsi la Wagner Group, Yevgeny Prigozhin naye alikuwepo kwenye Ndege hiyo

Taarifa za awali zilizoripotiwa na akaunti ya Grey Zone inayodaiwa kuwa na uhusiano na #WagnerGroup zimeeleza kuwa Ndege hiyo ilishambuliwa na Walinzi wa Anga katika Mkoa wa Tver, Kaskazini mwa Moscow

Juni 2023, Prigozhin aliongoza kilichoelezwa kuwa ni Uasi wa muda mfupi dhidi ya Wakuu wa Kijeshi wa Urusi ambapo Rais Vladimir Putin alimtaja Kiongozi huyo kama Msaliti.

View attachment 2726581
Yevgeny Prigozhin was passenger on crashed plane, Russian officials say Ten died when aircraft came down on flight from Moscow to St Petersburg, according to emergency ministry

Wagner boss Yevgeny Prigozhin was on the passenger list of a plane which crashed in Russia, killing all 10 on board. He was believed to be on board the plane. Earlier, a Wagner-linked Telegram channel Grey Zone reported that the jet was shot down by air defences in Tver region, north of Moscow.

Katunguliwa walisha mwambia Putin atamtungua tu
 
Prigozhin ahofiwa kufariki katika Ajali ya Ndege

Watu 10 wameripotiwa kufariki kwenye ajali hiyo ya ndege

Watanzania tumuombee apumzike kwa amani!

Source: Al jazeera

====

Kwa mujibu wa Idara ya Habari ya Urusi (TASS), abiria 10 waliokuwa kwenye Ndege Binafsi wamefariki ambapo inaaminika Kiongozi wa Jeshi Binafsi la Wagner Group, Yevgeny Prigozhin naye alikuwepo kwenye Ndege hiyo

Taarifa za awali zilizoripotiwa na akaunti ya Grey Zone inayodaiwa kuwa na uhusiano na #WagnerGroup zimeeleza kuwa Ndege hiyo ilishambuliwa na Walinzi wa Anga katika Mkoa wa Tver, Kaskazini mwa Moscow

Juni 2023, Prigozhin aliongoza kilichoelezwa kuwa ni Uasi wa muda mfupi dhidi ya Wakuu wa Kijeshi wa Urusi ambapo Rais Vladimir Putin alimtaja Kiongozi huyo kama Msaliti.

View attachment 2726581
Yevgeny Prigozhin was passenger on crashed plane, Russian officials say Ten died when aircraft came down on flight from Moscow to St Petersburg, according to emergency ministry

Wagner boss Yevgeny Prigozhin was on the passenger list of a plane which crashed in Russia, killing all 10 on board. He was believed to be on board the plane. Earlier, a Wagner-linked Telegram channel Grey Zone reported that the jet was shot down by air defences in Tver region, north of Moscow.
Pigo kubwa kwa Africa ya kaskazini
 
Urusi hautakiwi uwe na cheo alafu uwe na akili, umaarufu na uzalendo. Ukiwa navyo hivyo life expectancy yako ni ndogo kuliko mwenye maambukizi ya VVU.
Tukisema mnadai tunaichukia Urusi. Kwanza sababu za Prigozhin kufanya mutiny ziko wazi na ni sahihi kwa wazalendo wa Urusi ndani ya jeshi, na ndio hao wanaondolewa
Uchambuz wako
 
Back
Top Bottom