Yevgeny Prigozhin, Boss wa Wagner Group ahofiwa kufariki kwenye ajali ya ndege!

Yevgeny Prigozhin, Boss wa Wagner Group ahofiwa kufariki kwenye ajali ya ndege!

Wagner walichoka kupigana Ukraine. Wanapigana sana na silaha hawapewi za kutosha hivyo wanakufa zaidi, Prigozhin kafoka sana ila wapi. Mwishowe Shoigu akawaambia Wagner wajisajili jeshini kabla June 2023 haijaisha. Wakati Wagners ni wahuniz wafungwa wa zamani na waliowahi fukuzwa jeshini hawataki kabisa kujiunga uko kuna ukiritimba, sheria ngumu, ubabe na hakuna ushirikiano kama kwao, na mikataba ya Wagner ni renewable wakati jeshi sio, na Wagner hawafungwi na mikataba ya kimataifa na wanaweza hama nchi leo yuko mission Libya kesho C.A.R, next week Mali.
Mwishowe Shoigu akataka kumuua Prigozhin, Prigozhin akahamasisha Wagner wake wafanye uasi washinikize Putin amuondoe Shoigu. Putin akakataa ila Rais wa Belarus akawapa hifadhi Wagner sababu Shoigu ashaonyesha hawapendi na ndio Prigozhin akasitisha marching ya Moscow.
Hapa Prigozhin ndo alifanya kosa,alitakiwa aende mpaka Moscou.
 
Unaakili ya ku’fact check habari kuliko mainstreams media zote Duniani?
Sijui wew umefatilia chombo gan lkn kwa mujibu wa DW mkeka unasoma abiria saba na wahudumu watat walipaswa kusafir na hiyo ndege lkn waliowah eneo la ajal wamefanikiwa kupata miili nane tu na ktk miili hiyo mwili wa YP haupo
 
Prigozhin ahofiwa kufariki katika Ajali ya Ndege

Watu 10 wameripotiwa kufariki kwenye ajali hiyo ya ndege

Watanzania tumuombee apumzike kwa amani!

Source: Al jazeera

====

Kwa mujibu wa Idara ya Habari ya Urusi (TASS), abiria 10 waliokuwa kwenye Ndege Binafsi wamefariki ambapo inaaminika Kiongozi wa Jeshi Binafsi la Wagner Group, Yevgeny Prigozhin naye alikuwepo kwenye Ndege hiyo

Taarifa za awali zilizoripotiwa na akaunti ya Grey Zone inayodaiwa kuwa na uhusiano na #WagnerGroup zimeeleza kuwa Ndege hiyo ilishambuliwa na Walinzi wa Anga katika Mkoa wa Tver, Kaskazini mwa Moscow

Juni 2023, Prigozhin aliongoza kilichoelezwa kuwa ni Uasi wa muda mfupi dhidi ya Wakuu wa Kijeshi wa Urusi ambapo Rais Vladimir Putin alimtaja Kiongozi huyo kama Msaliti.

View attachment 2726581
Yevgeny Prigozhin was passenger on crashed plane, Russian officials say Ten died when aircraft came down on flight from Moscow to St Petersburg, according to emergency ministry

Wagner boss Yevgeny Prigozhin was on the passenger list of a plane which crashed in Russia, killing all 10 on board. He was believed to be on board the plane. Earlier, a Wagner-linked Telegram channel Grey Zone reported that the jet was shot down by air defences in Tver region, north of Moscow.
Mwamba yupo hai 😀😀😀😀😀
 
Laiti kama Putin angeenda South Africa na kuondoka bila kukamatwa, basi serikalini ya SA ingekuwa katika mzozo mkali sana na ICC. Alifanya vile kutoiingiza Sauzi katika matatizo.
Ndio hao hao SA walimruhusu Omar Al Bashir kuondoka SA wakati kulikuwa na court order ya kukamatwa
Hawa huwa wanaongea tu
 
Kifo chake kilishatarajiwa wakati wowote ule baada ya ile Mutiny, lilikuwa ni swala la muda tu. Halafu huyu Boss Prigozhin anazingua, jana kapost video anatuambia yuko Africa tena akisema (we are working, the temperature is 50°C plus) leo wamemuulia huko Urusi. Ukute hapa tunachengeshwa tu, maana wanasema eti "he was on the passenger list" na vipi kama list haikutimia on board [emoji16]
Hata mimi nawaza isije kuwa mchezo unachezwa
 
Warusi wa buza, Prighozin alijaribu kumpindua Putin, mlisema ni maigizo wale ni washikaji, leo mnabadilika mnasema, Putin ndio amefanya vile.

What If CIA au ni Ukraine ndio imefanya hivyo kuwachochea Askari wa Wagner na Jeshi la Russia wachukizwe na kufanya jambo.
 
Warusi wa buza, Prighozin alijaribu kumpindua Putin, mlisema ni maigizo wale ni washikaji, leo mnabadilika mnasema, Putin ndio amefanya vile.

What If CIA au ni Ukraine ndio imefanya hivyo kuwachochea Askari wa Wagner na Jeshi la Russia wachukizwe na kufanya jambo.
Warusi wa buza wamevurugwa tu, sio wa kuwatilia maanani
 
Bado Zelensky....watu wanamuangalia tu anavyorukaruka....hawajamuamulia kazi...yale matrain anayopanda kutoka Kiev kwenda Ulaya ipo siku tutaona yanalipuka....
YP...alijisahau..alichokifanya hakuna aliyekikubali....
Y
Jeshi lilikua halielewani naye, na amekuwa akishambulia kwa maneno makali jeshi na Shoigu.Ile mutiny hata kama haikufanikiwa lkn intelligence agencies lazima hazikupenda na walikua wanamlia timing tu aondoke bila kelele na ushahidi na bila umwagaji wa damu.

FSB wamempata huyo...
 
Back
Top Bottom