Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Machawa wa Prighozin watalia sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huwa namkubali sana Putin. Kazi nzuri bro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Machawa wa Prighozin watalia sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huwa namkubali sana Putin. Kazi nzuri bro
Si hiyo ndege imepewa ajali.Kumbuka ndege zilikuwa mbili,kwa nini hiyo ndo ianguke?Weka evidence
Ni janja hii kwa tunawaza nje ya box hii ni fake news. Yawezekana ndege imeanguka na haikuwa hata na mtu ni habari ya ku distract attention tu ni mbinu ya kivita.Mpaka maiti ionekane ndiyo ntaamini kweli amefariki isije kuwa tena janjajanja ya putin
Putin anachojali ni mamlaka yake tuR.I.P Prigon, nimeumia Sana , hapa msela Putin kazingu, labda Kama alikuwa ni hatari mbeleni
Hapa Prigozhin ndo alifanya kosa,alitakiwa aende mpaka Moscou.Wagner walichoka kupigana Ukraine. Wanapigana sana na silaha hawapewi za kutosha hivyo wanakufa zaidi, Prigozhin kafoka sana ila wapi. Mwishowe Shoigu akawaambia Wagner wajisajili jeshini kabla June 2023 haijaisha. Wakati Wagners ni wahuniz wafungwa wa zamani na waliowahi fukuzwa jeshini hawataki kabisa kujiunga uko kuna ukiritimba, sheria ngumu, ubabe na hakuna ushirikiano kama kwao, na mikataba ya Wagner ni renewable wakati jeshi sio, na Wagner hawafungwi na mikataba ya kimataifa na wanaweza hama nchi leo yuko mission Libya kesho C.A.R, next week Mali.
Mwishowe Shoigu akataka kumuua Prigozhin, Prigozhin akahamasisha Wagner wake wafanye uasi washinikize Putin amuondoe Shoigu. Putin akakataa ila Rais wa Belarus akawapa hifadhi Wagner sababu Shoigu ashaonyesha hawapendi na ndio Prigozhin akasitisha marching ya Moscow.
Sijui wew umefatilia chombo gan lkn kwa mujibu wa DW mkeka unasoma abiria saba na wahudumu watat walipaswa kusafir na hiyo ndege lkn waliowah eneo la ajal wamefanikiwa kupata miili nane tu na ktk miili hiyo mwili wa YP haupoUnaakili ya ku’fact check habari kuliko mainstreams media zote Duniani?
Mwamba yupo hai 😀😀😀😀😀Prigozhin ahofiwa kufariki katika Ajali ya Ndege
Watu 10 wameripotiwa kufariki kwenye ajali hiyo ya ndege
Watanzania tumuombee apumzike kwa amani!
Source: Al jazeera
====
Kwa mujibu wa Idara ya Habari ya Urusi (TASS), abiria 10 waliokuwa kwenye Ndege Binafsi wamefariki ambapo inaaminika Kiongozi wa Jeshi Binafsi la Wagner Group, Yevgeny Prigozhin naye alikuwepo kwenye Ndege hiyo
Taarifa za awali zilizoripotiwa na akaunti ya Grey Zone inayodaiwa kuwa na uhusiano na #WagnerGroup zimeeleza kuwa Ndege hiyo ilishambuliwa na Walinzi wa Anga katika Mkoa wa Tver, Kaskazini mwa Moscow
Juni 2023, Prigozhin aliongoza kilichoelezwa kuwa ni Uasi wa muda mfupi dhidi ya Wakuu wa Kijeshi wa Urusi ambapo Rais Vladimir Putin alimtaja Kiongozi huyo kama Msaliti.
View attachment 2726581
Yevgeny Prigozhin was passenger on crashed plane, Russian officials say Ten died when aircraft came down on flight from Moscow to St Petersburg, according to emergency ministry
Wagner boss Yevgeny Prigozhin was on the passenger list of a plane which crashed in Russia, killing all 10 on board. He was believed to be on board the plane. Earlier, a Wagner-linked Telegram channel Grey Zone reported that the jet was shot down by air defences in Tver region, north of Moscow.
adriz naona unashangaa tu katika nyuzi kibao.Duh!
Ndio hao hao SA walimruhusu Omar Al Bashir kuondoka SA wakati kulikuwa na court order ya kukamatwaLaiti kama Putin angeenda South Africa na kuondoka bila kukamatwa, basi serikalini ya SA ingekuwa katika mzozo mkali sana na ICC. Alifanya vile kutoiingiza Sauzi katika matatizo.
Hata mimi nawaza isije kuwa mchezo unachezwaKifo chake kilishatarajiwa wakati wowote ule baada ya ile Mutiny, lilikuwa ni swala la muda tu. Halafu huyu Boss Prigozhin anazingua, jana kapost video anatuambia yuko Africa tena akisema (we are working, the temperature is 50°C plus) leo wamemuulia huko Urusi. Ukute hapa tunachengeshwa tu, maana wanasema eti "he was on the passenger list" na vipi kama list haikutimia on board [emoji16]
Ripoti zinasema ndege imedunguliwa na walinziYapo na majanga ya asili ujue🤔😂
Warusi wa buza wamevurugwa tu, sio wa kuwatilia maananiWarusi wa buza, Prighozin alijaribu kumpindua Putin, mlisema ni maigizo wale ni washikaji, leo mnabadilika mnasema, Putin ndio amefanya vile.
What If CIA au ni Ukraine ndio imefanya hivyo kuwachochea Askari wa Wagner na Jeshi la Russia wachukizwe na kufanya jambo.
Hata filamu ikitengenezwa si hutafutwa wale "stuntmen" au "stuntwomen"?Si mlisema lilikuwa IGIZO?