We jamaa weweIle rekodi kama kaiposti jana vile. Uwezekano kwamba hakuwa kwenye ndege upo, hii ni Urusi na mambo yake yako hivihivi miaka nenda rudi.
Kule Belarus nako Wagner hawana chao, waje Afrika kwa wanyonge wabebe madini. Syria waliikimbia unapigana na magaidi wakifa wanaona sifa, Ukraine wamechoka wizara ya ulinzi inawasaliti sasa labda waende mapigano mepesi.
Huyu jamaa si wa kumwaminiUrusi haipo tena syria?
Daaa Wikipedia Huwa wanapenda kukurupukaKwani wewe huwezi kuedit wikipedia?
Jamaa anaonekana amemwaga damu za watu wengi sanaRipoti zinasema Yevgeny Prigozhin pamoja na wasaidizi wake 10 akiwemo Dmytriy Utkin ambaye pia ni muasisi mwenza wa Wagner Group wamefariki baada ya ndege walipokuwa wakisafiria kuanguka uko Russia View attachment 2726536View attachment 2726542
Sent from my SM-G988B using JamiiForums mobile app
Familia tu zinazojitambuwa huwa hawasafiri pamoja, ndio sembuse hao Magenerali wa kijeshi?Inavyosemekana hao watu kumi waliokuwemo kwenye hiyo Ndege wote walikua wakuu wa Wagner Group na waliitwa kwa special issue kumbe KGB ilikua inawasaka tu!!
Cheza na vitu usiche na Idara ya Usalama wa Taifa alichokitafuta huyo jamaa amekipata majasusi yapo kazini
Mbona hufanani?Daaa Wikipedia Huwa wanapenda kukurupuka
Sasa aliekuambia Mimi nashabikia Russia ni nani.. mi nimefurahia hii taarifa mzee[emoji16]Wewe huna akili, hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kuishabikia Urusi na shetani wake Putin.
Regardless sishabikii chochote kwenye vita ya Ukraine.
Mbona huwa anapanda kawaida tu. Hata kipindi kile viongozi wa Afrika wameenda mkutanoni alionekana kama kawaida akipanda Helicopter na akaenda nayo na hadi Mkutanoni akafika!Prigo anawacheki tu.
Mtu anasakwa 24/7 atapanda ndege na jina lake liwekwe kwenye madaftari ya airport. Hata kama mimi ni progo hiyo ndege sipandi.
Prigozhin with the number RA-02748 landed at the Ostafyevo airport near Moscow. It was on it that a businessman could be located, sources say.
“The second plane has landed. It was on it that Yevgeny Prigozhin could fly, who, for the sake of his own safety, checked in on one side, and was on the other, ”the Readovka telegram channel reports, citing sources.
Maskirovka big time 😁
Sasa sijui kule Niger itakuwaje.. Maana ndiye tulimtegemea ata provide ulinzi dhidi ya vibaraka wa mabeberuJamaa anaonekana amemwaga damu za watu wengi sana
Duuh..Prigozhin ahofiwa kufariki katika Ajali ya Ndege
Watu 10 wameripotiwa kufariki kwenye ajali hiyo ya ndege
Watanzania tumuombee apumzike kwa amani!
Source: Al jazeera
====
Kwa mujibu wa Idara ya Habari ya Urusi (TASS), abiria 10 waliokuwa kwenye Ndege Binafsi wamefariki ambapo inaaminika Kiongozi wa Jeshi Binafsi la Wagner Group, Yevgeny Prigozhin naye alikuwepo kwenye Ndege hiyo
Taarifa za awali zilizoripotiwa na akaunti ya Grey Zone inayodaiwa kuwa na uhusiano na #WagnerGroup zimeeleza kuwa Ndege hiyo ilishambuliwa na Walinzi wa Anga katika Mkoa wa Tver, Kaskazini mwa Moscow
Juni 2023, Prigozhin aliongoza kilichoelezwa kuwa ni Uasi wa muda mfupi dhidi ya Wakuu wa Kijeshi wa Urusi ambapo Rais Vladimir Putin alimtaja Kiongozi huyo kama Msaliti.
View attachment 2726581
Yevgeny Prigozhin was passenger on crashed plane, Russian officials say Ten died when aircraft came down on flight from Moscow to St Petersburg, according to emergency ministry
Wagner boss Yevgeny Prigozhin was on the passenger list of a plane which crashed in Russia, killing all 10 on board. He was believed to be on board the plane. Earlier, a Wagner-linked Telegram channel Grey Zone reported that the jet was shot down by air defences in Tver region, north of Moscow.
Si mlisema lilikuwa IGIZO?Case Closed.
Nimesema humu JF kuwa mazee (Putin, Lukashenko & Co) si watu wa kuwachezea weye fanya mambo yako, wao hukulia "timing" tu ikifika muda muafaka hutekeleza.
Baada ya tukio la Jumamosi, Putin, Lukashenko na Prigozhin wameuthibitishia ulimwengu kwamba wao ni "gangsters" halisi na Russia si nchi ya kuichezea
Kwa hayo yaliyotokea Jumamosi yameithibitishia dunia kwamba Russia ni nchi kubwa, na hatari sana duniani kwa kila kitu. Pia Putin, Lukashenko na Prigozhin ni watu hatari sana na ni wale twasema "real gangsters". Prigozhin amewahi kufungwa jela kama miaka 10 hivi na akatolewa kwa msamaha wa...www.jamiiforums.com
Mpaka sasa imepatikana miili nane na ktk hiyo mwili wa YP haupo sasa inathibitishwa vp kuwa kaded???Imethibitishwa
YP kafariki
Nasema Wagner hawapo Syria, walitoka muda uko. Na ndio ulikuwa mwanzo wa Wagner kuchukiana na wizara ya ulinzi. Hii chuki wanayo tangu 2018, majenerali wa Urusi walipanga shambulizi dhidi ya vikosi vya Marekani wakawatuma Wagner ili baadae wawakane. Kile kikosi cha Marekani ilikuwa ni special forces hata hawakurusha risasi yeyote ni mwendo wa AH-64 Apache, attack drones na AC-130 gunship.Urusi haipo tena syria?
Ninataka Putin,huyu Prigozhin kaua sana maishani mwake watu wasio na hatia."thank you God" unamaanisha God yupi sijui..yani kufa mtu unashukuru na unataka mwingine afe.
Pigo kubwa kwa Africa ya kaskazini
Mbona mnanichanganya.So Prigozhin ni mzima ?Prigo hakuwemo