Yevgeny Prigozhin, Boss wa Wagner Group ahofiwa kufariki kwenye ajali ya ndege!

Inasemekana Prigozhin alikuwa agombee urais dhidi ya Putin.Putin ni muuaji kabisa.Hivi wanashindwa vipi yeye kumuua ?
Prigozhin sio presidential material kabisa na hakuwa tishio kisiasa za demokrasia. Yule ni criminal ana kesi zake nyingi na hana CV ya kumsimamisha juu ya serikali. Urusi ni nchi ngumu sana kuongoza sio kama Marekani mtu anatembea kwa tabu na anakuwa Rais
 
Nimeeleza taratibu za kawaida ambazo hufanywa na nchi hizi ziloendelea.

Lakini imethibitishwa rasmi kwamba Prigozhin ni miongoni mwa walokufa.

Wagner wenyewe wamethibitisha kupitia Telegram.
Na vingine wanavyovisema huwa unawaamini au Unaamini hili tu?
Wanataka uamini amekufa ulitaka wareport aje?
 
Na vingine wanavyovisema huwa unawaamini au Unaamini hili tu?
Wanataka uamini amekufa ulitaka wareport aje?
Nikiwa ni mmoja wa watu tunofuatilia kwa makini, binafsi nilikwishamwona Prigozhin kama "deadman Walking", hivyo si jambo la kustua sana kwa wanofahamu.
 
Asante kwa maelezo haya
Vipi kuhusu huyu mwamba nae naona watamla kichwa nae Gen Surovikin huyu nae vipi
Unaujua ushawishi wa South Africa ndani ya AU? Unaujua ushawishi wa South
ICC hawakumuadhibu wakati huo Al Bashir alipokuja SA hilo.ndio nimeuliza mkuu kulingana na hoja yako
 

Attachments

  • Screenshot_20230823_214737_Chrome~2.png
    198.9 KB · Views: 2
Wafuasi wake wanasema kauliwa na kombora la warusi.
Prigozhin maadui wake wakubwa walikuwa ni jeshi la Russia na wizara ya Ulinzi ya Russia.

Baada ya lile jaribio la uasi hawa walikuwa wakilalamika sana kwa Putin kwamba kwanini jamaa aachwe awe atembea tu akiwa huru.

Hivyo huenda pia Putin hausiki na hili lakini ni system ya ujasusi ndio itakuwa mtuhumiwa namba moja.

Haiwezekani taarifa ya abiria wa ile ndege iwe ipo available mara tu baada ya ajali.
 
Huyu mzee alianza kuzeeka vibaya. Hata mimi nisiyejua kwa undani mambo ya UHAINI nilijua tu kuwa mzee amefanya kosa kubwa ambalo kichaa Putin hawezi kumsamehe. Angewauliza wanajeshi wa Niger kwanini hawarudi nyuma na mapinduzi yao. Wanajua tu kuwa wakimrudisha raisi aliyepinduliwa madarakani basi wao watakufa kama senene. Yeye alishindwa kuyajua haya? Putin ameamua kumwondoa kabisa na baadae kidogo na Putin naye atakufa.
 
Magulyati
 
Black Sniper soma hapa kuhusu Surovikin. Inavyosemekana Surovikin alijua taarifa za uasi wa Prigozhin akakaa kimya hakutoa ripoti. Baadae kinafiki alipokwishafanya assesment na kuhisi mpango utafeli ndipo akatuma video mtandao live ya kumuomba Prigozhin asitishe uasi. Wale ni marafiki na inajulikana hivyo, ila hii move inaonekana kama alikuwa anaandaa mazingira ya baadae either kujikataa au kuunga mkono. Nadhani kati ya watu Prigozhin alitarajia wamuunge mkono wa kwanza ni yeye sababu pale juu jeshini wapo Waziri Shoigu na Chief of General Staff, General Gerasimov ambao wawili hawa ni watiifu kwa Putin ila wanalaumiwa kuwa wabovu kiuongozi.
Vyeo vya deputy ministers of defence vipo kama saba hivi ila havina ngumu kimakusudi. Mwenye sifa na anayependwa jeshini ni General Surovikin. Kashaondolewa nafasi yake na hajulikani alipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…