kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,192
- 5,685
Putin aliamua kupunguza mishahara na marupurupu kiasi cha kuwafanya wanajeshi wa Wagner kuwa "desperate".This was expected by the way..
Tayari huyoPrigozhin ahofiwa kufariki katika Ajali ya Ndege
Watu 10 wameripotiwa kufariki kwenye ajali hiyo ya ndege
Watanzania tumuombee apumzike kwa amani!
Source: Al jazeera
====
View attachment 2726581
Yevgeny Prigozhin was passenger on crashed plane, Russian officials say
Ten died when aircraft came down on flight from Moscow to St Petersburg, according to emergency ministry
Wagner boss Yevgeny Prigozhin was on the passenger list of a plane which crashed in Russia, killing all 10 on board. He was believed to be on board the plane. Earlier, a Wagner-linked Telegram channel Grey Zone reported that the jet was shot down by air defences in Tver region, north of Moscow.
we unaishi dunia gani usimjue boss wa wagner?Umeandika as if wote tunamjua huyo mtu. Picha ikowapi
Source tafazaliπ€
Kilichompeleka kuvuruga maslahi ya Ufaransa huko NIGER ni kipi? Beberu hashikwi ndevu. Ndio maana Putin humtoi Kremlin make anajua yuko kwenye Target. Wenzake wako mkutanoni BRICS huko S. Afrika yeye kajichimbia ikulu.Prigozhin ahofiwa kufariki katika Ajali ya Ndege
Watu 10 wameripotiwa kufariki kwenye ajali hiyo ya ndege
Watanzania tumuombee apumzike kwa amani!
Source: Al jazeera
====
Yevgeny Prigozhin was passenger on crashed plane, Russian officials say
Ten died when aircraft came down on flight from Moscow to St Petersburg, according to emergency ministry
Wagner boss Yevgeny Prigozhin was on the passenger list of a plane which crashed in Russia, killing all 10 on board. He was believed to be on board the plane. Earlier, a Wagner-linked Telegram channel Grey Zone reported that the jet was shot down by air defences in Tver region, north of Moscow.
Mkuu kuna msemo usemao "ndege mjanja....."Bado General Sergey Surovikin wa Aerospace Forces ambaye ameondolewa cheo baada ya kufichwa tangu sekeseke la Wagner.
Taratibu za vifo vya vigogo wa Urusi huwa ni zilezile, sumu kwenye chai, kudondoka kutoka ghorofani, ajali hasa za magari, kujiua kwa aina mbalimbali.
Tiyari General Gennady Zhidko aliyeongoza operation nzima mwanzoni akaja kuondolewa kwa performance mbovu amefariki wiki iliyopita kwa "ugonjwa wa muda mrefu"View attachment 2726575
Huyu ndiye aliyeondolewa kuongoza majeshi ya Urusi nchini Ukraine na akaletwa Surovikin, na Surovikin akaondolewa vilevile.
Wiki hiyohiyo ya jana General Gennady Lopyrev alifia jela alikokuwa amefungwa kwa miaka kadhaa kwa kesi gani sijui. Huyo alikuwa kikosi cha kumlinda Putin.
Majenerali wa Ukraine hawa hapa kina Budanov hawaumwi hata mafua na kichapo wanaendelezaView attachment 2726580
Itakavyokuwa,nami nawaza kama wewe manake Kwa maigizo tu hawajambo.Mtakuja kushangaa amefufukia Kyiv.
Mbona hivi karibuni tu mwenyewe alisema kwenye video fupi kuwa yuko kwenye nchi moja ya Afrika? Alikuwa amesharudi Russia?Prigozhin ahofiwa kufariki katika Ajali ya Ndege
Watu 10 wameripotiwa kufariki kwenye ajali hiyo ya ndege
Watanzania tumuombee apumzike kwa amani!
Source: Al jazeera
====
View attachment 2726581
Yevgeny Prigozhin was passenger on crashed plane, Russian officials say
Ten died when aircraft came down on flight from Moscow to St Petersburg, according to emergency ministry
Wagner boss Yevgeny Prigozhin was on the passenger list of a plane which crashed in Russia, killing all 10 on board. He was believed to be on board the plane. Earlier, a Wagner-linked Telegram channel Grey Zone reported that the jet was shot down by air defences in Tver region, north of Moscow.
Na lile tumbo lake anatoa hotuba eti anataka kuifanya Urusi iwe nchi yenye nguvu zaidi na kuifanya Afrika iwe huru. Akaposti na picha yuko Afrika, sasa kaliwa kichwa. Putin sio fala kutotoka nje ya Russia kizembe make anajua yuko kwenye Target.Thank you God,na iwe hivyo.Bado Putin. Binafsi nilikuwa ninasali huyu shetwani afe.
Prigozhin hakuweza kufa mara mbili.Thank you God,na iwe hivyo.Bado Putin. Binafsi nilikuwa ninasali huyu shetwani afe.
I have said the same. Watashangaa anakunywa chai Kyiv huku moto unawaka.Prigozhin hakupanda hiyo ndege iliyodondoka
Wenye wered ktk mambo ya ujasus tunaamin baada ya miez kadhaa ataibukia west
Uachage na uhuni ujueπππ€ππNgoja nienda hapa picnic bar , Kaloleni kunywa Heineken baridiii. Maanina zake , Yuko kuzimu kuandaa jeshi lingine.
Wewe unamjua NIKOLA ZIGIC??we unaishi dunia gani usimjue boss wa wagner?