Yevgeny Prigozhin, Boss wa Wagner Group ahofiwa kufariki kwenye ajali ya ndege!

Yevgeny Prigozhin, Boss wa Wagner Group ahofiwa kufariki kwenye ajali ya ndege!

Hujiulizi out of all deaths iwe Crush ya ndege?
Wewe endelea kusema hukuwepo.
Here’s the full list of the passengers of the plane that was shot by russians according to the Federal AirTransport Agency:

1. Propustin Sergey
2. Makaryan Evgeniy
3. Totmin Alexander
4 Chekalov Valeriy
5. Utkin Dmitry
6. Matuseev Nikolay
7. Prigozhin Evgeniy

Crew members:
8. Levshin Aleksei, commander;
9. Karimov Rustam, co-pilot;
10. Raspopova Kristina, flight attendant.

Valery Chekalov was a shareholder in Evro Polis via Neva JSC, known as the owner of the Syrian oilfields and the issuer of payrolls for all the group's fighters. The company was also a supplier of equipment and weapons.
 
Nasema Wagner hawapo Syria, walitoka muda uko. Na ndio ulikuwa mwanzo wa Wagner kuchukiana na wizara ya ulinzi. Hii chuki wanayo tangu 2018, majenerali wa Urusi walipanga shambulizi dhidi ya vikosi vya Marekani wakawatuma Wagner ili baadae wawakane. Kile kikosi cha Marekani ilikuwa ni special forces hata hawakurusha risasi yeyote ni mwendo wa AH-64 Apache, attack drones na AC-130 gunship.
Marekani iliiwauliza Warusi pale Syria kwa official communication channel kama hivi vikosi vinavyotusogelea ni vyenu Warusi hawakueleweka, Wagner ikaomba ipewe air cover jeshi la Urusi likakataa wakauwawa wengi.

Wizara ya ulinzi ilikuwa inawaonea wivu, wapiganaji wa ground wengi ni Wagner maofisa wa Urusi ni kupiga gwaride na kufanya air sorties na kufanya kazi kubwa ikitokea kuna ziara. Majeruhi na vifo vingi vilikuwa kwa Wagner. Hata hapo Ukraine vifo vingi vimetokea Bakhmut ambapo Wagner walikuwa positinioed.
Wizara inawapa silaha kidogo wanakuwa underpowered kupigana na adui ili wasichukue credit wao, Prigozhin ikawa ni kuwafokea Ministry of Defence mara kwa mara. Shoigu na Gerasimov wake wakamchukia wakaona kama anataka kuwafukuzisha kazi. Na mengine yakaendelea
Kichapo ambacho Wagner walipata hiyo siku walipojaribu kutaka kuteka sehemu yenye mafuta inayokaliwa na Marekani kilikua kitakatifu.
 
Ukraine
20230824_011003.jpg
 
Ndege ya pili iliyopaa kuelekea St Petersburg imetua baada ya kwanza kupigwa.
Wananchi wa Tver wamesema walisikia milipuko miwili kabla ya ndege kuanza shuka chini
Mpaka sasa nashangaa na kujiuliza maswali kabla hii ajali kutokea mie nilipatwa na usingizi wa ghafla ikabidi nichukue usingizi wa mchana kidogo cha kushangaza nikaota ndoto kuna mlipuko wa bomu umelipua ndege na mie nikawa katika kuweweseka mpaka nikaamka then kwenda kutizama taalifa nakuta taalifa ya ajali ya ndege

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni accident ya kawaida au ndege yake imetunguliwa ili kuondoa upinzani dhid ya Putin? Jamaa alishapata utajiri wa kutisha. Migodi mingi ya dhahabu kuanzia Mali hadi CAR ilikuwa mali yake, na hata Syria alikuwa na kisima cha mafuta.

1692833122792.jpeg
 
Kwa Video za ndege hii ikianguka, na ukubwa wa moto , likely Bomu lilikua limeshategeshwa au imedunguliwa .
Ni kweli; na mimi baada ya kuiona video, ni wazi kuwa ndege iliangushwa kwa bomu. Ilikuwa ni free fall, siyo ile ya mechanical failure ya kuona pilot anajaribu kuikoa ndege ku-glide. Yaani ndege ilianza kuanguka wakati watu wote ndani yake wakishakuwa maiti.

Putin ni rais wa maisha, ukimkosoa kidogo tu basi unatangulia kaburini. Hiyo ndiyo demokrasi ya Urusi.
 
Bado General Sergey Surovikin wa Aerospace Forces ambaye ameondolewa cheo baada ya kufichwa tangu sekeseke la Wagner.
Taratibu za vifo vya vigogo wa Urusi huwa ni zilezile, sumu kwenye chai, kudondoka kutoka ghorofani, ajali hasa za magari, kujiua kwa aina mbalimbali.

Tiyari General Gennady Zhidko aliyeongoza operation nzima mwanzoni akaja kuondolewa kwa performance mbovu amefariki wiki iliyopita kwa "ugonjwa wa muda mrefu"View attachment 2726575
Huyu ndiye aliyeondolewa kuongoza majeshi ya Urusi nchini Ukraine na akaletwa Surovikin, na Surovikin akaondolewa vilevile.
Wiki hiyohiyo ya jana General Gennady Lopyrev alifia jela alikokuwa amefungwa kwa miaka kadhaa kwa kesi gani sijui. Huyo alikuwa kikosi cha kumlinda Putin.

Majenerali wa Ukraine hawa hapa kina Budanov hawaumwi hata mafua na kichapo wanaendelezaView attachment 2726580
[emoji845][emoji1255]🪖[emoji88]Sad images that the Western media do not show. The Ukrainian counteroffensive has completely failed. #UkraineRussianWar
IMG_20230824_030837.jpg


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Prigozhin maadui wake wakubwa walikuwa ni jeshi la Russia na wizara ya Ulinzi ya Russia.

Baada ya lile jaribio la uasi hawa walikuwa wakilalamika sana kwa Putin kwamba kwanini jamaa aachwe awe atembea tu akiwa huru.

Hivyo huenda pia Putin hausiki na hili lakini ni system ya ujasusi ndio itakuwa mtuhumiwa namba moja.

Haiwezekani taarifa ya abiria wa ile ndege iwe ipo available mara tu baada ya ajali.
Mission accomplie.
 
Back
Top Bottom