Angeenda ingemweletea shida SA hata kuwekewa vikwazo, ilikuwa mtego lkn hakuna wa kumkata hakiwa SANashangaa watu wanaomsifia Putin ni mwamba kumbe jamaa muoga sana anashinda ndani tu.angeenda south Africa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angeenda ingemweletea shida SA hata kuwekewa vikwazo, ilikuwa mtego lkn hakuna wa kumkata hakiwa SANashangaa watu wanaomsifia Putin ni mwamba kumbe jamaa muoga sana anashinda ndani tu.angeenda south Africa
Eti putin naye atakufa hujitambui.Huyu mzee alianza kuzeeka vibaya. Hata mimi nisiyejua kwa undani mambo ya UHAINI nilijua tu kuwa mzee amefanya kosa kubwa ambalo kichaa Putin hawezi kumsamehe. Angewauliza wanajeshi wa Niger kwanini hawarudi nyuma na mapinduzi yao. Wanajua tu kuwa wakimrudisha raisi aliyepinduliwa madarakani basi wao watakufa kama senene. Yeye alishindwa kuyajua haya? Putin ameamua kumwondoa kabisa na baadae kidogo na Putin naye atakufa.
Ufuasi uufanye mbele ya Spetnaz, GRU, SVR na FSB? Hakuna mbabe yeyote atakayeweza kuitikisha FSB tena ndani ya Urusi.Italeta shida sana,huyu mtu alikuwa na wafuasi wengi mno
Anapata maumivu ya moyo, Kila mtu atakufa na hiyo ndio hatima ya mwanadamu lakini sio NATO wala USA wenye uwezo wa kummaliza Putin na michezo ya kumaliza viongozi FSB ikirudisha enzi ya KGB patakuwa hapatoshiEti putin naye atakufa hujitambui.
Wanawaza karibu sana hao wanaosema Putin angekamatwa akiwa SA, kitendo cha kumkamata Putin ndani ya nchi yoyote ni kumtangaza vita na Moscow na Urusi itamtoa kafara Putin lakini hiyo nchi itajiandaa kuua mamilioni kama sio mabilioni ya watuAngeenda ingemweletea shida SA hata kuwekewa vikwazo, ilikuwa mtego lkn hakuna wa kumkata hakiwa SA
Acha naye huyo, Kuna mwenzake alianzisha Uzi eti " Kuangalia taarifa ya habar ni kutafuta umbea".we unaishi dunia gani usimjue boss wa wagner?
Isome kwanza historia ya Urusi ndio ukomenti, yaani kabisa Urusi ipate matatizo Kwa sababu ya huyo mkuu wa Wagner? Kama ni kuwaza, jaribu kuwazua Zaidi.Anazidi kujiletea matatizo tu
Nimesoma majibu yako na mifano uliyoitoa sikumbuki kuwafahamu so siwezi sema chochote.Unao uhuru wa kuandika yaliyotokea ukiwa kwenye tukio
kuna mmoja nimemkemea vikali hivi punde baada ya kunitaka nibadilishe chaneli akinishangaa kwa nini natazama taarifa ya habari huku akiniuliza inasaidia nini hiyo taarifa ya habari?Acha naye huyo, Kuna mwenzake alianzisha Uzi eti " Kuangalia taarifa ya habar ni kutafuta umbea".
Kiongozi mwenye busara anatakiwa kuongoza kwa kutumia busara na akili na sio nguvu na Moja ya busara kubwa ni kuacha hata kama una uwezo wa kufanya na kunyamaza hata kama una uwezo wa kuongea.Nashangaa watu wanaomsifia Putin ni mwamba kumbe jamaa muoga sana anashinda ndani tu.angeenda south Africa
Hii nayo bila shaka imetoka CNN, DW na BBCTaifa liloongozwa shaghalabagala kama urusi watu mnapata wapi ujasir wa kulitetea!
Hahaaa....ety hamjui boss wa Wagner lakini habari zake anazo...mnafiki Sana jamaa.we unaishi dunia gani usimjue boss wa wagner?
Pia umezungumzia kuhusu Urusi kushindwa na Finland, chechen na Georgia. Sijui wewe vita huitazama vipi, but kwangu mimi vita ni matokeo ya nani anapata nini baada ya vita kutokana na malengo. Mfano, lengo la US ilikuwa ni kuilinda dola dhidi ya tishio la Gadafi, so licha ya kumuua gadafi, ameiangamiza kabisa libya kiuchumi-haitokuja tena kuwa tishio kwake. So, amefanikiwa.Unao uhuru wa kuandika yaliyotokea ukiwa kwenye tukio
Duh wamemdunguaNdege ya pili iliyopaa kuelekea St Petersburg imetua baada ya kwanza kupigwa.
Wananchi wa Tver wamesema walisikia milipuko miwili kabla ya ndege kuanza shuka chini
Haya maisha ya kuishi kwa upangaTraitor
Uko sahihi, ila kiutawala inakuwa imejipunguzia majukumu, na hayo majukumu kuhamishiwa kwa kampuni binafsi (wabobezi wa vita) ambao wanalipwa na utawala.Hivi hii outsource sio tu kifuniko cha kuificha urusi na uingizaji wa jeshi nchi za wengine.TUNADANGANYWA SANA ILA MI NAONA NI KITENGO KAMILI CHA JESHI LA URUSI.ni mawazo yangu lakini.
Kila mtu mziki wake utamjiaa na atauchezaInasemekana Prigozhin alikuwa agombee urais dhidi ya Putin.Putin ni muuaji kabisa.Hivi wanashindwa vipi yeye kumuua ?
Yeye na woteDuh wamemdungua
Ova