Umenikumbusha walivyomwaga salamu za pole na kuonesha ni binadamu saana baada ya kusikia mtoto wa Mbowe anaumwa Corona. Hiyo ni baada ya kuwa wameshindwa hata kupeleka salamu za pole kwenye jimbo lao la Ukerewe, baada ya ajali ya MV Nyerere.Wapinzani wa bongo raha sana,ukiwakuta wanavyolalamika sasa mara sijui wanauliwa mara vile mara vile. Ila hao watu wenyewe sasa wanaolalamika ndio kwanza wapo busy kuzushia watu maradhi na vifo yani ndio mambo ya msingi kwao.
AbeeeWatutangazie tu.
TANGAZO LA KIFO.
Majimbo yenyewe yameshawashinda mapemaaa. Hebu tuambie ni Mbunge yupi anaefurahia Ubunge wake?? Au utaniambia ni Abood wa kule Morogoro Mjini??Kuna wanaharakati tu. Kwani kinaongoza jimbo gani?
Wenzako wanavuna mshahara wa nguvu unataka wafurahie kivipi sasa!?Majimbo yenyewe yameshawashinda mapemaaa. Hebu tuambie ni Mbunge yupi anaefurahia Ubunge wake?? Au utaniambia ni Abood wa kule Morogoro Mjini??
Mshahara wa nguvu bila amani furaha itatoka wapi??Wenzako wanavuna mshahara wa nguvu unataka wafurahie kivipi sasa!?
Ni suala la muda tu, ukweli utajulikana.Kama hizi taarifa ni za kweli basi tuna mfumo mbovu sana... Huyo ni Rais and then kuna watu wanajua hatua zake kibao kabla
Anajeuri hiyo ya kutujibu?? Sema Mungu amsaidie tu apone, atakuwa amejifunza kitu[emoji16]Mmemiss kuchambwa[emoji23][emoji23] Msipomsikia unawashwa washwa
Subirini siku2 hizi mtajibiwa
Nyumbu ni nani kati anayeambiwa virus wa COVID-19 wanamalizwa kwa mvuke na kushangilia na anayekataa huo ujinga?Mbona tulishawazoea hata wakati ulee mlisema amekimbizwa SA mara Ujerumani!!? Kwani sasa hivi hujamsikia Balozi wa Mashoga wa Afrika ya Kusini ameshasema eti ameshahamishwa amepelekwa India!!? Hahaha... aliyewapa jina la nyumbu ana akili sana!!
Amani ipi unataka wakati wapinzani wao wako hoi wamebaki kuwa wanaharakati.Mshahara wa nguvu bila amani furaha itatoka wapi??
Sana mkuu huu ni udhaifu mkubwa.Kama hizi taarifa ni za kweli basi tuna mfumo mbovu sana... Huyo ni Rais and then kuna watu wanajua hatua zake kibao kabla
Subiri next week then you will know the reality!!Anajeuri hiyo ya kutujib?? Sema Mungu amsaidie tu apone. Atakuwa amejifunza kitu😁
WeweNyumbu ni nani kati anayeambiwa virus wa covid wanamalizwa kwa mvuke na kushangilia na anayekataa huo ujinga?
Next week? Why not this week???Subiri next week then you will know the reality!!
Tunawaacha mbwabwaje kwanza ili tuje tuwabinue kisawasawa!!Next week? Why not this week???
Mungu ansaidie