Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Wewe hamnazo kweli. CHADEMA wanahusika vipi? Yaani kila anaetoa tangazo lisilopendeza Watawala/Serikali basi bila kufikiri mnatoa majumuisho kuwa ni tamko la Chadema?

Ubaguzi chuki na upendeleo wa Serikali ya CCM ndiyo iliyotufikisha hapa tulipo. Na muasisi wa haya yote anajulikana.
Je, mliwahi kumkemea japo humu jamvini?
 
Wapinzani wa bongo raha sana,ukiwakuta wanavyolalamika sasa mara sijui wanauliwa mara vile mara vile. Ila hao watu wenyewe sasa wanaolalamika ndio kwanza wapo busy kuzushia watu maradhi na vifo yani ndio mambo ya msingi kwao.
Umenikumbusha walivyomwaga salamu za pole na kuonesha ni binadamu saana baada ya kusikia mtoto wa Mbowe anaumwa Corona. Hiyo ni baada ya kuwa wameshindwa hata kupeleka salamu za pole kwenye jimbo lao la Ukerewe, baada ya ajali ya MV Nyerere.

Yaani Upinzani unaoitwa CHADEMA, utu wao uko kwenye kabila, basi!
 
Mbona tulishawazoea hata wakati ulee mlisema amekimbizwa SA mara Ujerumani!!? Kwani sasa hivi hujamsikia Balozi wa Mashoga wa Afrika ya Kusini ameshasema eti ameshahamishwa amepelekwa India!!? Hahaha... aliyewapa jina la nyumbu ana akili sana!!
 
Kuna wanaharakati tu. Kwani kinaongoza jimbo gani?
Majimbo yenyewe yameshawashinda mapemaaa. Hebu tuambie ni Mbunge yupi anaefurahia Ubunge wake?? Au utaniambia ni Abood wa kule Morogoro Mjini??
 
Majimbo yenyewe yameshawashinda mapemaaa. Hebu tuambie ni Mbunge yupi anaefurahia Ubunge wake?? Au utaniambia ni Abood wa kule Morogoro Mjini??
Wenzako wanavuna mshahara wa nguvu unataka wafurahie kivipi sasa!?
 
Tulipofika ni mbali na inatuchosha tukifikiria kurudi. Watu tumejikatia tamaa, tumebaki kifurahia matatizo ya wenzetu.

Mungu tusamehe sana.
 
Mbona tulishawazoea hata wakati ulee mlisema amekimbizwa SA mara Ujerumani!!? Kwani sasa hivi hujamsikia Balozi wa Mashoga wa Afrika ya Kusini ameshasema eti ameshahamishwa amepelekwa India!!? Hahaha... aliyewapa jina la nyumbu ana akili sana!!
Nyumbu ni nani kati anayeambiwa virus wa COVID-19 wanamalizwa kwa mvuke na kushangilia na anayekataa huo ujinga?
 
Anaumwa CHADEMA au anko!!?

Unataka kuchanganya mambo ya Serikali na chama mwaisa vipi!!?

[emoji40][emoji40][emoji40][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom