Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Korona ua shambulio la moyo?

Dr Abbas na Yule msemaji wa ikulu mnatuangusha. Malizeni hii kadhia.
 
Kama ni kweli, basi itakuwa aibu kwa Bwana yule kwenda kutibiwa nje ya nchi.
 
Lissu hakuuliza bali anajua anasema alipo na alikuwa njiani kupelekwa India. Huko sio kuuliza ni kutoa taarifa ya anachokijua. Na vyombo vyote vya nje vina mnukuu Lissu!!
 
Kama kweli anaumwa tunamuombea apone.

Lakini he should be told ' TANZANIANS LIVES MATTER' Kuna wengi tumepoteza wapendwa kwa ajili ya kupuuza ugonjwa huu wa C-19 na uongozi wetu ulikaa kimya. Na tusisahau our poor health and medical infrastructure.
 
Sasa tetesi za nini si mshasema anaumwa kwani waliosema si washamuona ? Nani aseme sasa.
 
Unaongea utumbo sana jamaa angu. Yaani unifanyie ujinga wote huo na utegemee nikuchekee?

Labda familia yenu wote wachungaji. Wacha tukuache [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
So obviously atakuwa coma. Maana kwa ukimya huu na tetesi zilivyo inawezekana Jambo baya kubwa limemkuta.
 
Umeambiwa Raila Odinga ndiye mwanasiasa wa afrika mashariki anayeumwa, ambacho hujaelewa ni nini?
 
Lissu hakuuliza bali anajua anasema alipo na alikuwa njiani kupelekwa India. Huko sio kuuliza ni kutoa taarifa ya anachokijua. Na vyombo vyote vya nje vina mnukuu Lissu!!
Lissu ndio mtoa taarifa wa serikali
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…