The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Mkuu, una uhakika kuwa ni mgonjwa mpaka kumuombea apone.Kwani we umekuwa mungu ..watu wanapata matatizo zaidi ya hiyo cardiac attack na wanarudi hali Yao Kama kawaida.sisi tunamuombea rais wetu apone
Kuna mtaalumu mmoja wa hesabu zakibaolojia na soka duniani amegundua formula mpya ambayo inasemaKwani we umekuwa Mungu? Watu wanapata matatizo zaidi ya hiyo cardiac attack na wanarudi hali yao kama kawaida. Sisi tunamuombea Rais wetu apone.
Damu alizomwaga hazitomwacha salama yaani hapa jiwe bai bai lazima arudishe number risasi alizompiga Lissu lazima zimtokee sehemu zote za wazi kwenye mwili wakeKwani we umekuwa Mungu? Watu wanapata matatizo zaidi ya hiyo cardiac attack na wanarudi hali yao kama kawaida. Sisi tunamuombea Rais wetu apone.
Achana nae huyoHivi wewe umekata kauli, kwa mfano. Bado unaweza ukawa na misimamo ya kipuuzi wapi utibiwe?
Nimesema mfano.
Umefanya vyema.Mimi baada ya kujitathmini kuhusu Huu uvumi naona nisikomenti tena mpaka mambo yatakapokuwa clear
Nafsi ya nani?Nafsi yake mwenyewe inaomba mgonjwa asiamke.
Jiwe hapa hachomoi hii ngoma nzito lazima arudishe numberKwa mujibu wa vyanzo vya Lissu ni COVID-19 na cardiac arrest
jiwe mwenyewe dictator kazi kuua, kuteka watu na kupora upinzani.aende tu Nani anayataka hayo anaendesha nchi kama anamtawala mke wake aende tuAlikufa Abraham Lincoln usa ikasonga, kennedy alikwenda usa ikapiga hatua, acheni u mediocre wenu ccm, Tz bado inawatu wengi na wastaarabu wa kuongoza nchi hii
kumpiga risasi 30 mpinzani wako kisa amekuzidi hoja halafu akapona na akaendelea kukunyea ndo ushoga kamiliHuu upuuzi wa mwanaume kuulizia mwanaume mwenzake yuko wapi ni dalili za ushoga
Upo nje ya madakumpiga risasi 30 mpinzani wako kisa amekuzidi hoja halafu akapona na akaendelea kukunyea ndo ushoga kamili
kwa nini usiwazwe ?Kweli ana bahati.
Hamna anaeniwaza am sure kwa sasa.
namuona mama samia kwa mbaliWatu wote wanaorudia mitihani ili wafaulu huwa was matatizo. Ile first attempt ukianguka jua wewe hukustahili.
Nimetoa maoni yangu, JF, usinipangie cha kusema, hili ni jukwaa huru!Jukwaa huru ndio maana nayeye ana Uhuru wa kuonekana au kuto onekanaa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]This simply shows how primitive they are, wanaogopa asije kurudi akamtumbua atakaesema alikuwa mgonjwa.
Basi tu, nahisi hivo.kwa nini usiwazwe ?
Mr Slim piga tukio tena sema hotel Rwanda, kafa na Covid mahabusu, uone tutakavyokuwazia π π π !Kweli ana bahati.
Hamna anaeniwaza am sure kwa sasa.