Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Kwani we umekuwa Mungu? Watu wanapata matatizo zaidi ya hiyo cardiac attack na wanarudi hali yao kama kawaida. Sisi tunamuombea Rais wetu apone.
Kuna mtaalumu mmoja wa hesabu zakibaolojia na soka duniani amegundua formula mpya ambayo inasema
Cardiac arrest+Covid 19=Red card
 
Kwani we umekuwa Mungu? Watu wanapata matatizo zaidi ya hiyo cardiac attack na wanarudi hali yao kama kawaida. Sisi tunamuombea Rais wetu apone.
Damu alizomwaga hazitomwacha salama yaani hapa jiwe bai bai lazima arudishe number risasi alizompiga Lissu lazima zimtokee sehemu zote za wazi kwenye mwili wake
 
Lissu nimuongo kama waongo wengine na AIBU ITAKAYO WAKUTA NADHANI ITAKUWA ZAIDI YA ILE AIBU YA UCHAGUZI.
 
Alikufa Abraham Lincoln usa ikasonga, kennedy alikwenda usa ikapiga hatua, acheni u mediocre wenu ccm, Tz bado inawatu wengi na wastaarabu wa kuongoza nchi hii
jiwe mwenyewe dictator kazi kuua, kuteka watu na kupora upinzani.aende tu Nani anayataka hayo anaendesha nchi kama anamtawala mke wake aende tu
 
Jukwaa huru ndio maana nayeye ana Uhuru wa kuonekana au kuto onekanaa
Nimetoa maoni yangu, JF, usinipangie cha kusema, hili ni jukwaa huru!
Hiyari yake!?

Au wewe msemaji! wake??😂😂

Everyday is Saturday.............................. 😎
 
Kweli ana bahati.

Hamna anaeniwaza am sure kwa sasa.
Mr Slim piga tukio tena sema hotel Rwanda, kafa na Covid mahabusu, uone tutakavyokuwazia 😂 😂 😂 !

Everyday is Saturday................................😎
 
Kuna mambo yanafikirisha sana, Hivi hakuna Kitu kinaweza kufanyika kuzima huu uzushu watu wakaendelea na kazi zao?

Nawaza tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom