Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Mr Slim piga tukio tena sema hotel Rwanda, kafa na Covid mahabusu, uone tutakavyokuwazia πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ !

Everyday is Saturday................................😎
Ha haha, JF itapata shida na Serikali mkuu... Tunamsumbua Melo.
 
umeshataja matatizo yake...katika marais wabovu kuwahi kutokea ni huyu magufuli.aende tu afe tu kwani yeye ameua wangapi
 
mwigulu ndo pumbafuu kabisa.mtanzania kuulizia hali ya rais wake anayejenga fly overs na kununua ndege 10 ni kosa???
 
Hakuna newz yeyote kutoka abroadπŸ€”πŸ€”πŸ€”

Inasikitisha sana.😁😁😁😁😁😷😷😷😷😷😷
 
umeshataja matatizo yake...katika marais wabovu kuwahi kutokea ni huyu magufuli.aende tu afe tu kwani yeye ameua wangapi
Asee we fundi nondo yaelekea tukikufanyia sub uchukue nafasi ya Ziraili, utafanya usafi wa kibabe kwa wenye mamlaka zao....
 
tulivyotaka kumuombea lissu alituma polisi waje kuzuia.huyu ni wa kufa tu ameshaua wengi
 
Gazeti bora la fahari yetu chini ya ma comrade habib mchange na comrade Musiba limereport vifo vya John mrema na Freeman mbowe mmoja akiwa south africa mwingine dubai kutokana na chanjo ya corona..hakika ni habari ya kusikitisha sana kwa wapenda demokrasia...pongezi pia kwa waandishi wa gazeti hilo kwa kutuhabarisha na kutupatia wancnhi haki yetu ya kupata habari kuhusu viongozi wetu
 
kaua watu wengi na yeye aende tu lema alisema rais atafia madarakani muda ndo huu
 
Madiwani wa Chadema Ikungi walikusanyika kufanya kikao jinsi ya kukusanya michango, ili kuchangia matibabu ya Tundu Lissu, watu wale walikamatwa. Kuvaa fulana za jina la "Tundu Lissu" ikawa kosa la jinai. Leo mnasema watu wasifurahie maumivu ya wengine? You people, are you MAD?
 
Kama inavyosemekana kuwa anaumwa na kapelekwa hospital Nairobi na kwa sasa kahamishiwa india inawezekana kabisa pale hospital ya muhimbili yeye binafsi haamini wale madoctory wa pale.

Kitendo cha kuwaambia viongozi/watumishi wa umma wengine kuwa wakiumwa watatibiwa hospitali za hapa hapa nchini na hata mkewe alipoumwa alitibiwa muhimbili kwa kuonyesha alimaanisha na hata baadhi ya viongozi wengine walitibiwa hapa hapa nchini hospitali tofauti lakini yeye tuu kakimbilia nairobi je!kwani hospital zetu zina nini hadi akaenda nje?

Sisi kama wananchi wa kawaida kitendo cha kutuaminisha kuwa hospital zetu ziko vizuri alafu yeye anakimbilia nje bado anatupa wasiwasi mkubwa sana na hospita zetu au madoctory wetu.
Ugua pole mh.wetu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mtu ambaye ameshagombea Urais wa Nchi kama Tundu Lissu ungetegemea awe na utulivu wa akili kwa kiasi kikubwa sana!...
Mh Lissu hajawa na hatakuwa Msemaji wa Rais Magufuli. Yeye anatumia nafasi yake kama Raia wa kawaida kabisa wa Tanz kuweka wazi yale yanayofichwa na Wenye Mamlaka.

Kulingana na mazingira ya hapa kwetu ni vigumu Msemaji wa wenye Mamlaka kusema lolote juu ya afya ya Rais au mahali alipo kutokana na HOFU waliokwishajengewa.

Mh Lissu yupo kwenye mazingira tofauti na ndiyo maana Waziri wa Sheria na Katiba ameishia kumtuhumu na kumtisha Mh Lissu badala ya kuweka wazi alipo Rais pamoja na afya yake kwa ujumla.

Rais ni kama Baba kwenye nyumba. Anapokuwa haonekani au kuchelewa kurudi nyumbani basi mtoto hana haki ya kuuliza nini kilichomsibu Baba?

Kwa maana hiyo basi kwakuwa Mh Lissu alishapata habari alipo Baba yetu kwanini asitueleze japokuwa ndugu zetu wengine hawataki tufahamu lolote?

Hata wewe nina uhakika kama siyo miongoni mwa wanaoficha taarifa kwa HOFU ya kutumbuliwa basi nawe utakuwa umejifunza jambo kutoka kwa Mh Lissu ktk utoaji habari kulingana na mazingira ya huko aliko.
 
Hili gazeti lingemilikiwa na mpizani,leo hii ungekua mwisho wao
Nchi ina sheria mbili lakini watu wnalazimishwa kuwa wazalendo,maajabu sana..hata raia wameamua kununua magazeti ya michezo tu wabishane kuhusu simba na yanga siku ziende washapuuza matakataka hayo..na siyo mwisho wao tu wangekuwa mahakamani mda mrefu sana ila nimependa style ya mbowe siku hizi kunyamaza kimya na kupuuza
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…