Huku tulipofikia kubaya kufurahia ugonjwa au mabaya ya wengine sio kitu kizuri.Kama kweli anaumwa Mungu amrehemu na kumponya.Bado tunamuhitaji sana tu.
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifaYaani inaudhi tumepitia huku kila baada ya miezi kadhaa sijui wapi wanaombea au kumngojea Rais aumwe? Ili kiwe nini?
Kama anaumwa vya kutisha mnasema, kama ni uzushi mnasema na hata kumwonyesha kama alivyofanyiwa Dr. Mpango.
Nililisema hili hata wakati wa zile tetesi nyingine wakati ule. Rais ni mwanadamu, hata kama wakati mwingine anazungumza kama mwenye ufunguo wa mbinguni. Mwisho mtasababisha taharuki isiyo ya lazima na kufanya watu wamposti Mama Samia tena.
Kama anahitaji kuinuliwa katika maombi huu ndio wakati. Kama hakuna jambo serious mnasema hivyo nakerekaga kweli.
Usiseme ivo kwamba kwanza huna hakika Kama anaumwa. Alafu kifo anaamua Mungu na sio binadamuumeshataja matatizo yake...katika marais wabovu kuwahi kutokea ni huyu magufuli.aende tu afe tu kwani yeye ameua wangapi
Je ni halali kuzuia watu wengine tena wenye nchi yao kupata huduma kwa ajili ya mtu mmoja tu tena mgeni ambaye hajulikani alikotoka ?Kuna jamaa yangu yuko Nairobi ananiambia Nairobi Hospital hakuingiliki kabisa. Haijulikani kuna nini ila ulinzi wa pale haijawahi tokea, wagonjwa wanashauriwa kwenda Hospitali zingine.
Usiseme ivo kwamba kwanza huna hakika Kama anaumwa. Alafu kifo anaamua Mungu na sio binadamuumeshataja matatizo yake...katika marais wabovu kuwahi kutokea ni huyu magufuli.aende tu afe tu kwani yeye ameua wangapi
Hao wote chanzo chao kimoja ni uzushi wa mahojiano ya Lisu na BBC na wote ni vyombo vya habari vya uingereza
Ubunge nao siku hizi ni sawa tu na uvuta bangi wa wasanii kama huyu Tale. Hivi kweli unampeleka tale bungeni, akafanye nini? Hizi nchi zetu za dunia ya tatu zitaendelea kuwa maskini. Chombo kikubwa cha maamuzi na cha kutunga sheria wanakuwemo akina Tale. unategemea nini?Mbunge wa Morogoro kusini mashariki Hamis Taletale amemtaka Rais Magufuli aendelee kuchapa kazi na kuwaletea wananchi maendeleo.
Babu Tale amesema hayo mambo madogo madogo ya uzushi wa mitandaoni waachiwe wao washughulike nayo kwani wanawajua wazushi wote na nia zao ovu.
Nawatakia Kwaresma yenye baraka
Maendeleo hayana vyama!
Ile building finance sijui iliishia wapi.Ubunge nao siku hizi ni sawa tu na uvuta bangi wa wasanii kama huyu Tale. Hivi kweli unampeleka tale bungeni, akafanye nini? Hizi nchi zetu za dunia ya tatu zitaendelea kuwa maskini. Chombo kikubwa cha maamuzi na cha kutunga sheria wanakuwemo akina Tale. unategemea nini?
Umemuelewa lakini?Ubunge nao siku hizi ni sawa tu na uvuta bangi wa wasanii kama huyu Tale. Hivi kweli unampeleka tale bungeni, akafanye nini? Hizi nchi zetu za dunia ya tatu zitaendelea kuwa maskini. Chombo kikubwa cha maamuzi na cha kutunga sheria wanakuwemo akina Tale. unategemea nini?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Dhaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbunge wa Morogoro kusini mashariki Hamis Taletale amemtaka Rais Magufuli aendelee kuchapa kazi na kuwaletea wananchi maendeleo.
Babu Tale amesema hayo mambo madogo madogo ya uzushi wa mitandaoni waachiwe wao washughulike nayo kwani wanawajua wazushi wote na nia zao ovu.
Nawatakia Kwaresma yenye baraka
Maendeleo hayana vyama!
quote nzuri sana hiyo?Mwanzo na mwisho wa mtu utengezwa na mtu mwenyewe