Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Yaani inaudhi tumepitia huku kila baada ya miezi kadhaa sijui wapi wanaombea au kumngojea Rais aumwe? Ili kiwe nini?

Kama anaumwa vya kutisha mnasema, kama ni uzushi mnasema na hata kumwonyesha kama alivyofanyiwa Dr. Mpango.

Nililisema hili hata wakati wa zile tetesi nyingine wakati ule. Rais ni mwanadamu, hata kama wakati mwingine anazungumza kama mwenye ufunguo wa mbinguni. Mwisho mtasababisha taharuki isiyo ya lazima na kufanya watu wamposti Mama Samia tena.

Kama anahitaji kuinuliwa katika maombi huu ndio wakati. Kama hakuna jambo serious mnasema hivyo nakerekaga kweli.
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
 
Kuna jamaa yangu yuko Nairobi ananiambia Nairobi Hospital hakuingiliki kabisa. Haijulikani kuna nini ila ulinzi wa pale haijawahi tokea, wagonjwa wanashauriwa kwenda Hospitali zingine.
Je ni halali kuzuia watu wengine tena wenye nchi yao kupata huduma kwa ajili ya mtu mmoja tu tena mgeni ambaye hajulikani alikotoka ?
 
Mbunge wa Morogoro kusini mashariki Hamis Taletale amemtaka Rais Magufuli aendelee kuchapa kazi na kuwaletea wananchi maendeleo.

Babu Tale amesema hayo mambo madogo madogo ya uzushi wa mitandaoni waachiwe wao washughulike nayo kwani wanawajua wazushi wote na nia zao ovu.

Nawatakia Kwaresma yenye baraka

Maendeleo hayana vyama!
 
1615449110521.png
 
Mbunge wa Morogoro kusini mashariki Hamis Taletale amemtaka Rais Magufuli aendelee kuchapa kazi na kuwaletea wananchi maendeleo.

Babu Tale amesema hayo mambo madogo madogo ya uzushi wa mitandaoni waachiwe wao washughulike nayo kwani wanawajua wazushi wote na nia zao ovu.

Nawatakia Kwaresma yenye baraka

Maendeleo hayana vyama!
Ubunge nao siku hizi ni sawa tu na uvuta bangi wa wasanii kama huyu Tale. Hivi kweli unampeleka tale bungeni, akafanye nini? Hizi nchi zetu za dunia ya tatu zitaendelea kuwa maskini. Chombo kikubwa cha maamuzi na cha kutunga sheria wanakuwemo akina Tale. unategemea nini?
 
Ubunge nao siku hizi ni sawa tu na uvuta bangi wa wasanii kama huyu Tale. Hivi kweli unampeleka tale bungeni, akafanye nini? Hizi nchi zetu za dunia ya tatu zitaendelea kuwa maskini. Chombo kikubwa cha maamuzi na cha kutunga sheria wanakuwemo akina Tale. unategemea nini?
Ile building finance sijui iliishia wapi.
 
Ubunge nao siku hizi ni sawa tu na uvuta bangi wa wasanii kama huyu Tale. Hivi kweli unampeleka tale bungeni, akafanye nini? Hizi nchi zetu za dunia ya tatu zitaendelea kuwa maskini. Chombo kikubwa cha maamuzi na cha kutunga sheria wanakuwemo akina Tale. unategemea nini?
Umemuelewa lakini?
 
Tale Tale huyu ambae hajui hata definition ya civics..

Mbunge wa Morogoro kusini mashariki Hamis Taletale amemtaka Rais Magufuli aendelee kuchapa kazi na kuwaletea wananchi maendeleo.

Babu Tale amesema hayo mambo madogo madogo ya uzushi wa mitandaoni waachiwe wao washughulike nayo kwani wanawajua wazushi wote na nia zao ovu.

Nawatakia Kwaresma yenye baraka

Maendeleo hayana vyama!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom