Unatumia lugha ngumu na ya chuki.kwamba sasa mnajari afya ya magufuli miezi minne baada ya kudai kawapora kura???
huu unafiki anao shetani peke yake.
Kutoka KenyaView attachment 1721438View attachment 1721439
Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
Yani MOI (Nairobi) hospital ilivyo kubwa vile waihodhi wao tu?Kuna jamaa angu yuko Nairobi ananiambia Nairobi Hospital hakuingiliki kabisa. Haijulikani kuna nini ila ulinzi wa pale haijawahi tokea, wagonjwa wanashauriwa kwenda Hospitali zingine.
Who could that leader be?Kutoka KenyaView attachment 1721438View attachment 1721439
Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
Unakosea Sana na watoka Sana nje ya mtoa mada, mtakua lini , au mtazeeka lini japo kuwa sensitive na maoni Kama ya mtoa mda punguza ushabiki kwenye nada zenye mantiki ya kitaifaSasa CHADEMA watafanya nini na ndio kazi waliobakiwa nayo?
"Naona unataka kushika nyati sehemu za Siri"
Kisha ikatokea kweli? Mungu aepushie mbali.Sio lazima. Mwanzo alizushiwa kifo na hakuwahi kutokeza mtu yeyote kukanusha. Kwahiyo wacha wajinga waendelee kutiana ujinga.
Kwani anaumwa?Swala la ugonjwa wa mtu lisiwe jambo la kushadadia jamani, this is sad.
Kweli Magufuli anaweza kwenda kutibiwa Kenya?! Si watammaliza hata kama ugonjwa wake ungetibika?!