Unatumia lugha ngumu na ya chuki.kwamba sasa mnajari afya ya magufuli miezi minne baada ya kudai kawapora kura???
huu unafiki anao shetani peke yake.
Miimi kusema raisi aandaliwe tukio kuna ubaya gani?
Mbona walimuandalia tukio la kwenda bandarini kuokota vichwa vya treni?
Again, kama anaumwa wakae kimya. Kama haumwi wamuandalie tukio.