Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
It is better thsi thread is closed down as it flames out more stampede than collectively sewing up the venting differences.

If the personal hatred being ideally envisaged in the trailing comments by isome of the JF members whether at own wish or compromise from the rumouring circles tomorrow omay be a sunset to Tanzanias integration should it be warned on that route.
 
According to who and under what rationale?

You want people to read "between the lines", why?
According to Albert Eistein, For knowledge is limited to all we know and understand. While imagination embraces the entire world, and all there ever will be to know and understand. Because reading, between lines, is where imagination exist.
 
Naomba iwe hivyo kwani kuondoka kwake muda huu itakuwa ni huzuni kubwa kwetu na ushindi wa mabeberu na hasa kuhusiana na mambo ya corona.Watakuja kutuuzia madawa na kutuchanja kwa lazima.
Huu sio ujinga; ni upumbavu.

Sasa hapa unatafuta wapumbavu wenzako waungane nawe?
 
Mzee Mwanakijiji ana hoja ya Msingi Sana.

Kama Rais anaumwa ikitangazwa itakuwa ni bora kwa kuwa hao "wajinga" wanao wajinga wenzao wanaowaamini.

Kuacha uzushi kuhusu Afya ya kiongozi Mkuu wa nchi kuenezwa, si jambo jema hata kidogo!!
Tunaishi na kuamini katika uwepo wa Mungu, tunaamini katika maombi, kujua jambo na kuliombea mema kwa Mungu siyo dhambi
 
According to Albert Eistein, For knowledge is limited to all we know and understand. While imagination embraces the entire world, and all there ever will be to know and understand. Because reading, between lines, is where imagination exist.
Okay.

Let me put it this way, you have some thought provoking proposition, but, alas, this is not the place for their deep exploration.

May be some day, we may have a chance for debate on the subject matter.
 
Maombi gani? Ivi mwana wa kaldayo akiomba hivi " Mungu azikumbuke zambi za babu yake na za baba yake na za kwake alafu amuhukumu kwa haki" je atabaki mtu hapo. Ikumbukwe wana wa wakalidayo wapo kwa ajili wa ubaya ndiyo mission yao hapa chini ya jua, uliumbwa ubaya kwa wabaya na ameumbwa muharibu apate kuharibu usilisahau hilo
 
Kimya kingi kina mshindo mkuu. Mazoea ya kumweka kwenye luninga kila siku yameleta haya.
Hapna mkuu sema kuna baadhi ya watu wanatk kila siku kujua anafanya nn na namna ya kumkosoa mh Soo kama isingekuwa ameropka baba kuropoka ungejua ww
 
Tuendelee kumwombea AISHI MAISHA YENYE HERI NA BARAKA.
 
Lile ni juha mkuu wala usihangaike kulifuatilia, limekuwa likidanganya sana watu, juzi limevumisha tena Dr. Mpango kaprlekwa Nairobi na yuko ICU mbona leo kawasilisha ukomo wa bajeti ya 2021/22? 😁😁
Tafadhali usinipangie mtu wa kumfatilia. Mi sina akili kama zako za kipumbavu SOAB
 
kwa mujibu wa tafiti za kitaalamu zinaonyesha kuwa hivi sasa kumekuwapo na ongezeko kubwa la watu wengi wanao ugua ugonjwa wa akili bila wao kujitambua.
na mojawapo ya dalili ni kama vile.

1. Unajitekenya mwenyewe halafu unacheka!!!
2.
3.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…