wewe huzuiwi na mtu kumwombea mabaya rais.maana ndipo ilipo amani ya moyo wako.
lakini Mungu hafanyii kazi matakwa ya mtu mmoja kwa hatina ya wengi.
rais ni mzima wa afya tele.
Ni mad king ndo mana watu wanaomba mabaya juu yakeNi ujinga kumwombea Rais mabaya
Kuwa na staha, hizo lugha tumia nyumbani kwenu/kwako. Kwanza unaowapiga mkwara wengi huwajuiSio kila lugha usiyoipenda ni mkwala mbuzi zingne ni elimu.
ila Rais kuua wapinzani ni vizuri eee?? Lazima aondoke ngoma nzito hii.Ni ujinga kumwombea Rais mabaya
Huo sio msimamo wa wapinzani. Wao hupingana hata na Mungu, endapo suala litahusu CCM.Ni ujinga kumwombea Rais mabaya
Ungeweka na vifungu vya sheria
Ndio dawa ya wambea. Mnakisia mpaka mnachoka.Mpaka sasa hakuna breaking news yoyote ya uzima au ufu?
Nchi imetawaliwa na tetesi iliyokomaa...
jiwe bai baiNdoto za abunuwasi
ngoma nzito imemshindwa baba yako sembuse rais!!!!ila rais kuua wapinzani ni vizuri eee??lazima aondoke ngoma nzito hii
Ukiachana na sisi wambea, nyie wanafiki laanakum mnakisia mini?ndio dawa ya wambea.
mnakisia mpaka mnachoka.
Nawajua nyinyi wengi ni wehu, hapa kuna mkwala gani zaidi ya kukwambia ukweliKuwa na staha, hizo lugha tumia nyumbani kwenu/kwako. Kwanza unaowapiga mkwara wengi huwajui
Yaani wewe bado umekariri msemo wa jiwe wa miaka hiyo. Huwezi ruhusu uko upstair pafanye kazi yake kabisa?
Mbona unazunguka sana? Ingekuwa kazini kisawasawa na kwahaki usingeona hayo uliyoyaandika.Hili linaloendelaea sasa linatotakana na ujinga na uzushi ambao umekuwa ukifanywa na baadhi ya watu ukiachwa kwa kisingizio kuwa ni uzalendo...
sisi tumetulia tunawatizama mnavyounguza maharage .Ukiachana na sisi wambea, nyie wanafiki laanakum mnakisia mini?
Yuko bize anaangalia wale twiga aliowapandisha pickup, watu wako bize na korona. Chattle ni Corona free zoneMkulu yuko Rubondo Island kwa mapumziko. Leo atakuwa Dodoma.