Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Ni ujinga kumwombea Rais mabaya
wewe huzuiwi na mtu kumwombea mabaya rais.maana ndipo ilipo amani ya moyo wako.

lakini Mungu hafanyii kazi matakwa ya mtu mmoja kwa hatina ya wengi.

rais ni mzima wa afya tele.
 
Sio kila lugha usiyoipenda ni mkwala mbuzi zingne ni elimu.
Kuwa na staha, hizo lugha tumia nyumbani kwenu/kwako. Kwanza unaowapiga mkwara wengi huwajui

Yaani wewe bado umekariri msemo wa jiwe wa miaka hiyo. Huwezi ruhusu uko upstair pafanye kazi yake kabisa?
 
Ungeweka na vifungu vya sheria
IMG-20210311-WA0073.jpg
 
Serikali ingeondoa taharuki, kama kweli iseme maprayer worriers tuingie chimbo arudi katika ukamilifu kwa dua za kufa mtu.

Kama ni uzushi tutume kibali cha kumuomba lissu apigwe Tanganyika jeki kuanzia ubelgiji hadi keko kwa kuleta taharuki.
 
Kuwa na staha, hizo lugha tumia nyumbani kwenu/kwako. Kwanza unaowapiga mkwara wengi huwajui

Yaani wewe bado umekariri msemo wa jiwe wa miaka hiyo. Huwezi ruhusu uko upstair pafanye kazi yake kabisa?
Nawajua nyinyi wengi ni wehu, hapa kuna mkwala gani zaidi ya kukwambia ukweli

Au ukweli kikwenu ni mkwala?
 
Hili linaloendelaea sasa linatotakana na ujinga na uzushi ambao umekuwa ukifanywa na baadhi ya watu ukiachwa kwa kisingizio kuwa ni uzalendo...
Mbona unazunguka sana? Ingekuwa kazini kisawasawa na kwahaki usingeona hayo uliyoyaandika.
 
hii inasababishwa na baadhi ya watanzania ambao kimsingi hawajajitambua bado
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom