Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Ifike mahali wakizusha ikabainika sio kweli wakione cha mtema kuni

Walimzushia Sabaya, kaonekana mzima hana hata dalili na bila aibu wapo tu wanadunda
Ndio maana SABAYA alionekana pale msibani akilia sana, NADHANI kwa hofu.
Lakini baada ya ka-mwezi kupita akaanza kutamba hadharani.
 
Tulinyimwa wasaa wa kumuombea Lissu , tukanyimwa kumuombea JIWE maana hatukuambiwa alipo, tena wakubwa wakatwambia yupo mapumzikoni, mara yupo salama, mara ametoa fedha za maendeleo.

Kuvaa Flana ya "Pray for Lissu" ilikuwa ni jinai na watu waliwekwa ndani, yani hii nchi inahitaji malaika ashuke na moto, kuna watu wana roho mbaya kuliko shetani , alafu wanajigamba kutembea na VX.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…