mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
Tena huku anavisimanga, viluilui, nilichojifunza wengi ya ambao hawajaumwa wanaamini hawawezi kuumwa na kwamba walioumwa kuna kitu walikosea, Jambo ambalo si kweli, kama hujaumwa chukua tahadhari na Umshukuru MUNGU.Hao uliowataja wameugua kwa BAHATI MBAYA ila huyu wa kwetu alikuwa anavitafuta viluilui mwenyewe akifikiri ni sifa