Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio anatakiwa atoke sasaWabongo kwa speculation hamjambo jiwe yuko fit anaendelea na kazi za ujenzi wa taifa rais sio kama kina diamond awe anauza sura kila siku kwenye media nae anahitaji privacy afanye mambo kwa utulivu usikute yuko mahali kuna pisi anaichakata
Unataka kujiingiza kwenye issue za uaini?Huyo stone anamthamini nani ? Unazani ana huruma na mtu huyo?? Mungu anisamehe Kama ni kweli afe tu
ngoja tusubiriYaani Chadema wengi humu mnaombea mtu kifo kweli? Imefikia roho hiyo kweli? [emoji34][emoji35]
Usijifanye hujui sababu ya kufika huko.Yaani Chadema wengi humu mnaombea mtu kifo kweli? Imefikia roho hiyo kweli? ๐ ๐ก
Hama nchi mkuu. Siku hizi ni rahisi tu, mbona wahamiaji wapo wengi tu, kupanga ni kuchagua.Wenzetu walau wana kademokrasia huwezi kudanganya kirahisi
Dunia nzima ipi? BBC source yao Lissu! Kipi chombo reliable ambacho kimesimamia habari hii kwa their own credible source? Mdogo wangu hii ni another Sabaya scam! [emoji851]Waanzilishi kina nani na habari zimezagaa dunia nzima?
Viwanda vya uongo mkuu, juzi tu walisema something kwa Sabaya! Purely chuki tu!Haya mambo yana ushahidi? Au ndio semwa semwa tu kama kawaida ya wabongo?
Nani ana uhakika kuwa anaumwa sana?
Nani ana uhakika kuwa amepelekwa Nairobi Hospital?