Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜ถ๐Ÿ˜ถ๐Ÿ˜
 
Leo nilikua na ongea na Bwana 1 Nikamwambia CHADEMA Ilieneza sana sumu ya Uzandiki. Uzabizabina na Uzushi. Hata Shetani Anao wafuasi wake hivyo haya wanayoyazusha hawayazushi Bure Bali wana Ajenda yao Hiki chama ni Laana kabisa.

Chama cha kuombeana Mabaya. Kuchekelea Mabaya na kuchonganisha watu hiki chama kili lelewa sana huko nyuma hakikudhibitiwa Mapema tumshukuru Mungu Awamu hii maana taifa lingeangamia kwa Ndimi za chama hiki.
 
Wabongo kwa speculation hamjambo jiwe yuko fit anaendelea na kazi za ujenzi wa taifa rais sio kama kina diamond awe anauza sura kila siku kwenye media nae anahitaji privacy afanye mambo kwa utulivu usikute yuko mahali kuna pisi anaichakata
Ndio anatakiwa atoke sasa

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Aiseee[emoji3][emoji3][emoji3] kitu gani kinakukera zaidi kutoka kwa jiwe?
 
Wenzetu walau wana kademokrasia huwezi kudanganya kirahisi

 
Huku tulipofikia kubaya kufurahia ugonjwa au mabaya ya wengine sio kitu kizuri.Kama kweli anaumwa Mungu amrehemu na kumponya.Bado tunamuhitaji sana tu.
 
Hii ni taarifa ya Lissu kwa BBC! Aibu aibu aibu! BBC wanashindwa ku balance story yaani. Viwanda vya uongo ni vile vile.[emoji41]
 
Wenzetu walau wana kademokrasia huwezi kudanganya kirahisi
Hama nchi mkuu. Siku hizi ni rahisi tu, mbona wahamiaji wapo wengi tu, kupanga ni kuchagua.

BTW Tanzania wameficha nini?
 
Haya mambo yana ushahidi? Au ndio semwa semwa tu kama kawaida ya wabongo?

Nani ana uhakika kuwa anaumwa sana?

Nani ana uhakika kuwa amepelekwa Nairobi Hospital?
 
Waanzilishi kina nani na habari zimezagaa dunia nzima?
Dunia nzima ipi? BBC source yao Lissu! Kipi chombo reliable ambacho kimesimamia habari hii kwa their own credible source? Mdogo wangu hii ni another Sabaya scam! [emoji851]
 
Ipo haja ya waliosababisha haya kutoka hadharani na kuomba msamaha. Wale walioumizwa ni binadamu sio sanamu. Wengine ndugu za Lissu aliyepigwa risasi hadharani, wengine ndugu wa Saanane, wengine ndugu wa waliotiwa hatiani kwa kesi za uongo. Huwezi kupanda chuki ukavuna umoja.
 
Haya mambo yana ushahidi? Au ndio semwa semwa tu kama kawaida ya wabongo?

Nani ana uhakika kuwa anaumwa sana?

Nani ana uhakika kuwa amepelekwa Nairobi Hospital?
Viwanda vya uongo mkuu, juzi tu walisema something kwa Sabaya! Purely chuki tu!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom