Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Mkuu alijibu kwa kutoka live na kuapisha.
Vivyo hivyo itakua jibu lao sasa, atatokea sokoni kabisa bila mbwembwe za mask wala vitakasa mikono.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu alijibu kwa kutoka live na kuapisha.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] swali la hovyo..kwanini unadhani this time uvumi umekwenda mbali?
Sure ... nakumbuka hiki kipindiTaifa hili kuzushiwa kifo Ni kawaida sna hakika watawala wajiangalie mnk hili limekuwa tofauti mkapa Benjamin nae pia aliwahi kuzushiwa kifo mwka 2015 Kama sikozei kumbe alikuwa yu hai nae
We ni chizi fulani tu toka Lumumba mwenye tabia za "ndiyo mzee"!Wewe ni nani? Vikaragosi wenzio hawatapata jibu rais utamwona tu pale wakati ratiba yake inaruhusu wewe kapuku kumwona sio kutegemea kikaragosi kilicho Belgium kitapike makande kilichonywesha. Mtakoma miaka hii hamchomoki mtu. Nicheke mie khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Soma hiyo habari kaeleza chanzo cha taarifaMnamwamini huyu mwehu? Atupe taarifa alizipataje wakati yuko ughaibuni akitumikia mabwana zake? Shame on you Lissu. Unatafuta kiki kirahisi.
Kwani mimi nikiugua wewe huwezi kutoa taarifa kama unazo?Siku hizi lisu kawa msemaji wa rais!!!?
Kwani mimi nikiugua wewe huwezi kutoa taarifa kama unazo?
Dunia kijiji wewe?Mnamwamini huyu mwehu? Atupe taarifa alizipataje wakati yuko ughaibuni akitumikia mabwana zake? Shame on you Lissu. Unatafuta kiki kirahisi.
Duh umekua mwepesi sana siku hizi kufikia hatua hii? Pole sana unazeeka vibaya!!Mnamwamini huyu mwehu? Atupe taarifa alizipataje wakati yuko ughaibuni akitumikia mabwana zake? Shame on you Lissu. Unatafuta kiki kirahisi.
Mwenyekiti wa WAMADuh umekua mwepesi sana siku hizi kufikia hatua hii? Pole sana unazeeka vibaya!!View attachment 1723180