Rufiji
Platinum Member
- Jun 18, 2006
- 1,883
- 948
Acheni kusifia vitu vya ajabu. Hiini failure kubwa ya timu ya habari ya Ikulu.Halafu Pa! Anaenda kutembelea mahali..tena kwa makali yaleyale... ilikuwa ni kumset up Tundu Kiasi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni kusifia vitu vya ajabu. Hiini failure kubwa ya timu ya habari ya Ikulu.Halafu Pa! Anaenda kutembelea mahali..tena kwa makali yaleyale... ilikuwa ni kumset up Tundu Kiasi?
unasheherekea ujinga. kwani kuna binadam asieumwa au kuna binadam atabaki milele kwenye hii dunia.Wengine hajauona huu upumbavu wa Twitter
Usishangae ndugu yangu...ushamba na ulimbukeni ndio desturi zake.Eeenh Heee!
Atakuwa ni kiongozi wa ajabu sana. Hata Kim atakuwa hamfikii kwa staili ya namna hiyo!
Sijui hasa atakuwa anafaidika vipi na aina hiyo ya kuongoza nchi.
Unaacha watu wajiachie na kutoa sumu zao wanazobeba, na wewe hata hazikustui chochote!
Illusions.Halafu Pa! Anaenda kutembelea mahali..tena kwa makali yaleyale... ilikuwa ni kumset up Tundu Kiasi?
Hii haijatoka moyoniUgua pole baba Jessica
Katika mambo aliyofanikiwa ni kuua taasisi au kuzigeuza 'ndondocha'..kama bwana mkubwa ni mgonjwa, na hawezi kutimiza majukumu yake, they have to tell the nation.
..tena Ikulu wakiwa wametangulia kutoa taarifa kunakuwa hakuna uwezekano wa watakaofuata kuzusha uongo...
Hii ndio maana halisi ya One Man Show. Maana yake taasisi hazifanyi kazi wote wanasubiri maelekezo ya mtu mmoja.Katika mambo aliyofanikiwa ni kuua taasisi au kuzigeuza 'ndondocha'
Ameondoa uwezo wa watu kufikiri bila kujali viwango vyao vya elimu, ufahamu au weledi..
Agenda bado ni mitano tena?unasheherekea ujinga. kwani kuna binadam asieumwa au kuna binadam atabaki milele kwenye hii dunia.
Mkuu, "situation is tight" lakini kitaja eleweka weekend...kama bwana mkubwa ni mgonjwa, na hawezi kutimiza majukumu yake, they have to tell the nation.
..tena Ikulu wakiwa wametangulia kutoa taarifa kunakuwa hakuna uwezekano wa watakaofuata kuzusha uongo...
Hata Ben Saanane, mama Mbilinyi, mama Kabendera and so on walikufa.unasheherekea ujinga. kwani kuna binadam asieumwa au kuna binadam atabaki milele kwenye hii dunia.
Ndio ataonekan lakin .......Wewe uko wapi? Acheni mizaha wakati ni ukuta ukifika ataonekana.
Sasahivi mnakuwa wadogo sana.unasheherekea ujinga. kwani kuna binadam asieumwa au kuna binadam atabaki milele kwenye hii dunia.
Aha, ambaye anaamini corona ilifutiliwa mbali kwa maombi ya siku tatu!Ni kiongozi wa nchi
Naona uvivu hata kukuelewesha.Aliyepaswa kwanza kunyamaza Ni nani. Mleta fununu bila picha au anayetuhumiwa bila kujua. Unapokuwa huna akili Basi ukimya ndo kinga. Je unatafuta katiba Ili kiongozi akisingiziwa na muhuni fulani Basi ajibu. Tuambie ibara ya ngapi tuiweke.
Kwani kasema kafa?
Kasema anaumwa na ameanza kutibiwa Nairobi - Kenya na sasa yuko India..
Akipona na kurudi, haitafuta ukweli kuwa aliugua; akapelekwa Kenya na kisha India...
Kama siyo, kanusheni. Kimya maana yake manakubaliana na ukweli huu...!!
Hii ndio maana halisi ya One Man Show. Maana yake taasisi hazifanyi kazi wote wanasubiri maelekezo ya mtu mmoja.
Hata kwenye hili ni hivyo hivyo,hawana cha kufanya mpaka wapate go ahead. Kwenye hili wamepigwa ganzi, kutetea wanashindwa kusema ukweli wanashindwa. Wakitetea wanahisi kuna matukio yatawaumbua