Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna majitu yameacha kazi ofisini yanakomenti utumbo humu asieee 🙂Mkuu, kwa nini usipumzike uache watu waumbuke wenyewe siku JPM akionekana akipiga kazi? Unatumia nguvu nyingi sana kubishana na watu.
Kama tibisiiiround hii ni ukweli na uhakika
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kama tibisiii
Yaani kumbe kuna watu wengi namna hii wanasubiri "pasaka" yao!
Tatizo lenu mtu akiikosoa cdm basi huyo ni ccm... Jichekeshe tuAliewazushia kifo Mbowe na Mrema ni nani? si nyie MATAGA? Na gazeti lenu Jamvi 🤣 🤣 🤣 🤣
we jamaa unasemaje?Nishaandaa dhabihu na sadaka ya kuteketeza, tayari bado?
lissu ndio mwanasheria wao.Kina uhusiano wowote na chama chenu cha mashoga?
... yaani nawewe ng'homango umejificha nyuma ya keyboard!!?Egelejagi masumbe mu mbeho, mmho abize atemile bufakale!
Shihangile shitachamelejiwaga.
Shizaga shasamile, shikalekagwa shakaluma miti! Bufakale hu mungu ki ngw'wenuyo? Magufuli ukumona ali Ikulu muda gutinihu kufumila haha. Magufuli akalindagwa na Mungu, atalindagwa na bufakale!Egelejagi masumbe mu mbeho, mmho abize atemile bufakale!
Shihangile shitachamelejiwaga.
Hao sio Watanzania ?chama cha wanawake wajane.
Kwa akili yako unafikiri wanasheria huwa wanakataa kazi wakipewa? Awe mwizi, jambazi, mzinzi, dikteta, shoga etc ikifika suala la kuwa mwanasheria wao, makosa wanayotuhumiwa sio ishu tena!lissu ndio mwanasheria wao.
Nafahamu hilo. Hata anayelawiti mtoto wa miaka 2 ana haki ya kupata mwanasheria.Kwa akili yako unafikiri wanasheria huwa wanakataa kazi wakipewa? Awe mwizi, jambazi, mzinzi, dikteta, shoga etc ikifika suala la kuwa mwanasheria wao, makosa wanayotuhumiwa sio ishu tena!
Damu za mahiga na apson ....waliobaki unataka wasubiri?Huyu alienungushiwa duara alikuwa katibu wa Rais baadae akapelekwa Mara,kafariki jana usiku. Kwa hapo kabaki Jiwe tuu nae anapigania uhai wake ICUView attachment 1723518
Huyu alienungushiwa duara alikuwa katibu wa Rais baadae akapelekwa Mara,kafariki jana usiku. Kwa hapo kabaki Jiwe tuu nae anapigania uhai wake ICUView attachment 1723518
Yametimia vipi tenaa?[emoji26]Mzee Mwenzangu Mwanakijiji achana na TISS waliosema imemalizwa na haijui kudeal na wanaoenda kinyuma na misingi ya nchi .
YAMETIMIA SOOOOOOOOOOOOOOOOO SAD 🙁
Yuko kwa PonjoriKaenda kutibiwa na mabeberu [emoji23][emoji23]