Yupi bora, mwanaume anayeacha pesa au anayenunua mahitaji yote mwenyewe?

Yupi bora, mwanaume anayeacha pesa au anayenunua mahitaji yote mwenyewe?

Kuna siku wife nlimuambia kuwa hata kama hii pesa ya gesi nikikaa nayo mimi lazima niitoe tu pale ambapo gesi itaisha hivyo hakuna faida ya kukaa nayo mimi wakati ina matumizi yake ambayo lazima itumike,sasa kukaa nayo nafaidika nini ?

Ingekuwa ukikaa nayo na matumizi yanapungua hapo sawa

Alafu kitu kingine ni kuwa naona inanijazia wallet tu wakati sio yangu ile pesa.

Alafu ukikaa nazo mwanaume pesa za matumizi stress zinazidi unaona unatoa tu pesa,unatoa tu pesa,unatoa tu pesa,unatoa tu pesa,unatoa tu pesa,unatoa tu pesa unatoa tu pesa mpaka unajiuliza heee inakuwaje pesa inaenda hivi,kumbe ungemuachia wife kila kitu wala yasingekuja mawazo hayo
Unatoa tu pesa,unatoa tu,unatoa tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119] mwishowe zinaanza kukuuma.

Bora akae Nazo mke.

Nyie sasa ndio wanaume[emoji122]
 
Me huwa naachaga inayoitwa kodi ya meza, hayo mambo ya kupanga bajeti ya kula hayanihusu.
 
Kuna siku wife nlimuambia kuwa hata kama hii pesa ya gesi nikikaa nayo mimi lazima niitoe tu pale ambapo gesi itaisha hivyo hakuna faida ya kukaa nayo mimi wakati ina matumizi yake ambayo lazima itumike,sasa kukaa nayo nafaidika nini ?

Ingekuwa ukikaa nayo na matumizi yanapungua hapo sawa

Alafu kitu kingine ni kuwa naona inanijazia wallet tu wakati sio yangu ile pesa.

Alafu ukikaa nazo mwanaume pesa za matumizi stress zinazidi unaona unatoa tu pesa,unatoa tu pesa,unatoa tu pesa,unatoa tu pesa,unatoa tu pesa,unatoa tu pesa unatoa tu pesa mpaka unajiuliza heee inakuwaje pesa inaenda hivi,kumbe ungemuachia wife kila kitu wala yasingekuja mawazo hayo
Wanachukua notes wenye kujielewa lakini
 
Watu kama wewe ukinitembelea kwangu nakuchinjia mbuzi tunakula huku tukipanga mipango yakuwa watu wenye nguvu zaidi nchini miaka 10 ijayo.

Siyo kujadili mambo ya jikoni huku unakuna kidevu, Kazi ya kike kabisa.
Hawa ndo wababa wenye umama ndani yao hawakawii kuesabu minofu ya nyama
 
Changamoto kuacha pesa ukijua atanunua mahitaji yote. Lakini Kuna baadhi wanatamaa, unaacha pesa anagawa papuchi kwa wauza duka na wauza nyanya ili ile abanie.
Nadhani ukibana pesa kwa mkeo ndoanakoishia huko ila ukimwachia pesa wachache watakaojiingiza kwenye mikopo ya hivi mwishowe kuliwa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]haita faa ndo hao wanaenda Hadi sokoni wenyewe..

Gesi ikiisha wanaanza kununa utafikiri hiyo gesi ulikuwa unajispray..

Ugonilee..
Yaani eti mwanamke unakaa huna hata mia mbovu.
Kuna baadhi ya mapochopocho mwanaume hawezi nunua yote kama jinsi unavyotaka.

Vitu vikiisha anaanza kukununia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ena,ndagha fijo
 
Mi huwa nanunua maana hela unaqwza acha ukalishwa vitu vya ajabu ajabu
Hata vitu vidogovidogo mkuu navyo unanunua wewe??sasa mkeo wajibu wake nini au ukisema nataka kula kitu flani leo sicho utakachokikuta?
 
Binafsi ingawa sina mke lakini naona ni bora mke awe na uhuru na sehemu yake.

Pangeni budget, ukishajua matumizi yote ya chakula nyumbani ni kiasi gani unatenga fungu unampa. Mwanamume kuanza kudeal na mambo ya jikoni directly ni kukosa kazi.

Mwanamume unapaswa kuwaza mambo makubwa kama ujenzi, ada za WATOTO, kuongeza kipato n.k

Ikitokea emergency mnakaa mnajadili mtatatua vipi.

Hakuna kitu sikipendi kama uko busy umekaa tena sometimes na mgeni unaanza tena kuambiwa mboga ya jana iliisha, au kiberiti kiliisha.
Na hivi ndivyo inavyotakiwa
 
Ukiona anazingua, unamnunulia mfuko wa sukari kilo 50, unamnunulia mchele kilo 100, unamnunulia chumvi kilo 20, unanunua mafuta lita 50.

Upime tena atamanage vipi
Hivyo vitamanagiwa ila huwezi kosa ombwa ela ya mkaa,nazi,mboga za majani,kiberiti nk
 
Habari za saizi wakuu,

Poleni kwa majukumu ya kila siku moja kwa moja niende kwenye point.

Kati ya hawa ni yupi mzuri zaidi, mwanaume anaeacha pesa ya matumizi nyumbani na mwanamke ndio anaepanga matumizi au mwanaume anaenunua kila kitu cha ndani na kama kuna matumizi ya ziada yakubidi uombe pesa kwa kutolea maelezo.
Au tufanye bora anayefanya vyote kwa pamoja
 
Nadhani huo huenda ni udhaifu wangu. Hata sasa hivi ninakaa na washkaji, huwa sihangaiki na mambo ya manunuzi ya mahitaji ya ndani.

Tulishaona tunakulaje ( chakula common ) tunachanga, mimi nawapa tu hela.

Kama ikitokea tuna hamu ya chakula kingine nje ya budget Mwenye nayo anatoa tu, au tunachanga
Na huu ndouanamume,anaewaza viberiti na nazi sijui atawaza lini maendeleo
 
Back
Top Bottom