Zambia, Mwanaume aamua kuvunja ndoa baada ya mke wake kulipia milioni 2 kupiga picha na Chris Brown akimkumbatia na kumbusu

Zambia, Mwanaume aamua kuvunja ndoa baada ya mke wake kulipia milioni 2 kupiga picha na Chris Brown akimkumbatia na kumbusu

View attachment 3187774

Imetokea Zambia hii, Chris Brown alienda Sauzi kupiga show wiki iliyopita, Mke wa mtu akafunga safari kwenda kumuona, haikuishia hapo akalipia meet and greet, hiki ni kiingilio kwa wale wanaotaka kumuona msanii kule back stage na kupiga nae picha, Chris Brown huwa anatoza dola elfu 1 (shilingi milion 2 na laki 4),

Ilipofika zamu ya mke huyo wa mtu, Chris brown kama kawaida yake alimkumbata kwa nyuma (kumbambia) na kumpiga busu shavuni

Mwanamke kapagawa akaanza kuirusha picha yake mitandaoni kwenye status za whatsapp, anaringishia wenzake kapiga picha na Chris

Wanaume wa kiafrika kwenye mambo ya ndoa hawana dogo, Mume yupo kwenye harakati za kuvunja ndoa,

  • Hakuna mwanamke anaemuheshimu mme wake atamruhusu mwanaume mwengine kumbusu na kumbambia hadharani
  • Kulipia milioni 2 na laki 4 kwa picha ni kukosa nidhamu ya pesa
  • Mwanamke kama unataka uhuru endelea kuwa single au mchepuko, huna haja ya ndoa
Chris,hapo atamtumia air ticket,kwenda kumchapa mti.
 
Kila jambo ni mipaka yake, hapo talaka lazima imuhusu tu
 
Na mume aliagwa kabisa kwamba mke anaenda owenye Show ya CB SA?
Na yeye akatoa greenlight?
Kama hapana akirudi na wewe anakuta haupo, huo muda wa talaka ataomba yeye
Usikute Mwamba alikua ameshachoka alikua anatafuta gap apige chini hiyo chibonge
 
Kwani ingekuwa ndio mimi ungemind mpenzi wangu? Mdakuzi
Maana mimi pia ni shabiki wa CB.
Mapenzi ni kuhusu kuheshimiana na kuheshimu mipaka ya faragha au maeneo/ vitendo maalum kwa ajili ya mpenzi.

Ukimpa mwingine uhuru huo ni sawa na kumsaliti mpenzi, na kumsaliti mpenzi ni kuvunja uhusiano wenu wa kimapenzi.

Hii huwa ni moja ya kanuni za mapenzi.

Ova
 
View attachment 3187774

Imetokea Zambia hii, Chris Brown alienda Sauzi kupiga show wiki iliyopita, Mke wa mtu akafunga safari kwenda kumuona, haikuishia hapo akalipia meet and greet, hiki ni kiingilio kwa wale wanaotaka kumuona msanii kule back stage na kupiga nae picha, Chris Brown huwa anatoza dola elfu 1 (shilingi milion 2 na laki 4),

Ilipofika zamu ya mke huyo wa mtu, Chris brown kama kawaida yake alimkumbata kwa nyuma (kumbambia) na kumpiga busu shavuni

Mwanamke kapagawa akaanza kuirusha picha yake mitandaoni kwenye status za whatsapp, anaringishia wenzake kapiga picha na Chris

Wanaume wa kiafrika kwenye mambo ya ndoa hawana dogo, Mume yupo kwenye harakati za kuvunja ndoa,

  • Hakuna mwanamke anaemuheshimu mme wake atamruhusu mwanaume mwengine kumbusu na kumbambia hadharani
  • Kulipia milioni 2 na laki 4 kwa picha ni kukosa nidhamu ya pesa
  • Mwanamke kama unataka uhuru endelea kuwa single au mchepuko, huna haja ya ndoa
Safi sana
 
Back
Top Bottom