Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli, nimesema Zanzibar maana watu wale wingi wao hawawezi kuwa wapenzi wa Maalim toka ACT pekee, lazima kuna wengi kutoka CCM!
Watanzania tuamke jamani, tueteseka sana! INATOSHA!Mkapa hayupo ccm inaanzaje kushinda kwa mfano. ZNZ inakwenda kwa ACT bara saa 4 mapema anachukua Lisu,wametutesa sana hawa madhalimu tukirudia kosa tumekwisha nafasi peke eni october ya kulipiza kisasi kama uliumizwa
Wabara wana maamuzi 90% sababu wamewaeka vibaraka wao kule Zanzibar,
Maalim Seif akikamata serekali either watanyooka au wabara wenyewe ndio watavunja huo Muungano
ACT mnatumika katika kugawa Kura.Leo Mgombea Urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bernard Membe, watapokelewa asubuhi hii na Wazanzibar wa Unguja...
ACT kinaenda kuwa Chama Kikuu cha Upinzani.Washaaaaaa washaaaa act wazalendo. Ndio chama pekee kikubwa cha upinzani ninachokiamini. Kina watu wasomi wenye kuujua uongozi. Watanzania tunawapenda sana act wazalendo. Membe Mungu akubariki uwe rais mupate wabunge wengi sana.
Akishika usukani atapindua meza.Haaminiki how?
Bensouda? Really?Nilikuepo muda huo ulioutaja! 67 yrs from today nilikuwepo duniani! Mwaka huu hawaibi na wakaachiwa, Bensouda wa ICC ajiweka tayari kuchukua ushahidi!
Ha ha ha.. unatisha watu mkuuZanzibar uchaguzi umekwisha mkuu. Huyo mtoto wa mwinyi atafute kazi nyingine
ACTInavyoonekana, hata CCM leo waliungana na Maalim Seif /ACT-Wzalendo kumpokea! Nadhani kuna hali ya Wazanzibar kuchukizwa na haya yaliyopita miaka mitano!
Tusubiri muda! johnthebaptist
Akishika usukani atapindua meza.Haaminiki how?
I said it before. Maalim amekuwa akihongwa na kuuza ushindi, mzee Nassoro Moyo amewahi kuliweka wazi hilo. Kwa timu aliyonayo Maalim mwaka huu hana tena nafasi ya kufanya ujinga ule. ACT kwa upande wa Zenji wakae mkao wa kula.Kwakweli maalim ni kisiki Znz.Huu ni ukweli ulio wazi.HUSEIN MWINYI hamuwezi Maalim.Kwa Znz tukae mkao wa kuliwa mwaka huu.Siioni namna ya kushinda.