Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,237
- 1,696
Asante sana kwa kumjibu huyu. Ameshasema anaingia kwenye siasa, na hili la muungano ni la ccm walioishiwa mawazo na maono ndio wanang'ang'aniaAnko tunakuheshimu sana sasa naomba usitukosee heshima sisi wapwa. Inawezekana wewe ulikunywa maji ya bendera na kujiassociate na siasa na sera za miaka hiyo sisi huo upuuzi hatuwezi entertain hata kidogo.
Naomba ifike wakati sasa wa ninyi watu wazima ambao mnaelekea uzee kuwa maswala ya kitaifa kwasasa ninyi sio sole proprietorship haya ni maswala ya vijana na kizazi kijacho.
Mkoa wenye Mihimili na serikali yenye mamlaka kamili!? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huo ni Mkoa balozi wa Kaz gan?
Tangazo la kihuni kabisaSikiliza hiiView attachment 2641794
Mzee wewe upo upande gani na unasimamia upande gani kwa mfano?Utaisubiri sana hiyo siku!.
P
Madini hayo yanavushwa. TRA wanakusanya mapato ya kodi? Maliasili wanakusanya ushuru?Dah aiseee wanachimba mchanga wa ujenzi huku hawa choko?!
Anaamrisha Jeshi Gani?Mkoa wenye Mihimili na serikali yenye mamlaka kamili!? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hakuna kwy sayari hii.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Kabisa bob. Unajua shida iliyopo tumesurrender mamlaka ya maamuzi kwa watu binafsi wanaojinasibu kuwa ni viongozi wa kitaifa na wao kwa kiburi hicho wanaendesha taifa na taasisi zake kama mali binafsi wakijisahau kuwa kuna wenye fainal say , sisi , Wanainchi.Tukiendelea kucheka na Zanzibar itakuwa kama Urusi kwa Ukraine, kuna siku watasema na Dar ni mali yao
Mkuu, eneo la Razaba sio geni, sina kumbukumbu za miaka sahihi lkn hayati JK Nyerere ndio aliwapa Zanzibar hili shamba lwa matumizi ya ranch,. Lkn Znz ilishindwa kuendelea na hiyo project, Basi serikali ya Tanganyika wakalirejesha ilo ilo na likawa sehemu ya hifadhi ya saadani,Tanzania ni nchi moja ya JMT, ambapo Zanzibar ni sehemu ya JMT, SMZ na Mzanzibari yoyote yuko huru kumiliki Ardhi huku kwasababu kila Mzanzibari ni Mtanzania, ana haki zote za Utanzania ikiwemo kumiliki Ardhi.
Ranchi ya Makurunge iliyopo Bagamoyo ni mali halali ya SMZ. Tena tuna bahati wakoloni Wajerumani walitusaidia, ukanda wa maili 10 za Pwani yote ya bahati ya Hindi kuanzia Sofala hadi Mombasa ilikuwa ni mali ya Sultan of Zanzibar!. Sultan alipewa eneo hilo na mkutano wa Berlin kugawana Africa ile 1884. Miaka 6 baadae 1890, ndipo Ujerumani, na Uingereza wakaingia mkataba za Sultan of Zanzibar awaachie, na wao wakaahidi kumlinda.
Mkataba huo unaitwa The Zanzibar Treaty, huku Ujerumani na Uingereza wakiachiana maeneo, visiwa vya Witu na Helingoland, na ni mkataba huu ndio wakahamisha mipaka ya Ziwa Nyasa kulifanya la Malawi!.
P
Yes Kila Mzanzibari ni Mtanzania ana haki zote za Utanzania ila sio kila Mtanzania ni Mzanzibari!. Wenye haki Zanzibar ni Wazanzibari wakaazi.Sasa huoni kama huo ni upumbavu?!
Wewe sasa unachofanya ni kutuchekecha.Kumiliki wa Ardhi ni popote, Dar inaweza kumiliki Ardhi Morogoro, Tanzania ikamiki ardhi Kenya, pale Rusomo kuna ardhi ya Rwanda, Burundi na DRC. Maeneo yote ya Balozi zote za nje ni maeneo yao na sio sehemu ya Tanzania, ukifanya uhalifu ukakimbilia Umoja House au American Embassy, polisi haiwezi kukukamata!.
P
Ndio upuuzi sasa huo.Ardhi ya JMT ni ya Watanzania wote wakiwemo Wazanzibari lakini Ardhi ya Zanzibar ni kwa Wazanzibari pekee. Wageni wanamilikishwa for investment.
P
UNA HELA NIKUPELEKE UPATE KIWANJA ZENJI????Kwanini Mimi msukuma siruhusiwi kumiliki ardhi pale michenzani Znz??
Sent using Jamii Forums mobile app
Anakera balaa aisee halafu sijui ana enjoy sisi tunavyomind ?!Wewe una ardhi Zanzibar? tuache bhana tutakuja kukushushia matusi asubuhi asubuhi sisi siyo watoto wadogo unatukwaza na njaa zako kutetea upuuzi wako hapa. Askofu Shoo ni mjinga alivyolalamika mbele ya Mwinyi kuwa kwanini wabara hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar? njaa imekuharibu sn nenda kwenye kaburi na dikteta Magufuli ukatubu
Taifa lina media za hovyo sana. Matatizo lukuki kwenye taifa vipindi 24/7 ni miziki ya hovyo, na vipindi vya ujinga ujinga tu. Cha muhimu kilichobakia kwenye local channels ni taarifa ya habari tu na sio vinginevyo.Yaani nilijua ni mm tu nashangaaga sana asubh hadi jioni ni simba na yanga wakibadili ni diamond na fantana..dah we are dumped...[emoji849]
UNARUHUSIWA KWENDA MOROGORO NA KUJITWALIA EKARI ZOZOTE UPENDAZO BILA SHIDA YOYOTE ALIMRADI UFUATE UTARATIBU.TAIFA DOGO LIMELIMEZA TAIFA KUBWA.WATANGANYIKA TUAMKENI CCM IMETUINGIZA UTUMWANI. HAWA WAZANZIBARI WAKIWA WENYEWE WANATUTUKANA NA KUTUDHARAU SANA SISI WATANGANYIKA.
Acha mambo ya kipuuzi, mambo afenye mkoloni bado tunayashikia bango kwamba ni ya ukweli wakati muungano tulionao sisi hatuutaki sababu umejaa mapungufu kibao. Mambo ya mjerumani na muarabu hayatuhusu, wote walititawala kimabavu na kufanya makubaliono wao wenyewe bila kuwahusisha wenyeji. Mambo ya kipuuzi kabisaTanzania ni nchi moja ya JMT, ambapo Zanzibar ni sehemu ya JMT, SMZ na Mzanzibari yoyote yuko huru kumiliki Ardhi huku kwasababu kila Mzanzibari ni Mtanzania, ana haki zote za Utanzania ikiwemo kumiliki Ardhi.
Ranchi ya Makurunge iliyopo Bagamoyo ni mali halali ya SMZ. Tena tuna bahati wakoloni Wajerumani walitusaidia, ukanda wa maili 10 za Pwani yote ya bahati ya Hindi kuanzia Sofala hadi Mombasa ilikuwa ni mali ya Sultan of Zanzibar!. Sultan alipewa eneo hilo na mkutano wa Berlin kugawana Africa ile 1884. Miaka 6 baadae 1890, ndipo Ujerumani, na Uingereza wakaingia mkataba za Sultan of Zanzibar awaachie, na wao wakaahidi kumlinda.
Mkataba huo unaitwa The Zanzibar Treaty, huku Ujerumani na Uingereza wakiachiana maeneo, visiwa vya Witu na Helingoland, na ni mkataba huu ndio wakahamisha mipaka ya Ziwa Nyasa kulifanya la Malawi!.
P
Kati ya maamuzi ya OVYO aliyowahi kuyafanya mwalimu Nyerere ni huu uzembe wa kuwapa ardhi wazanzibar ndani ya Tanganyika. Ni uamuzi wa kijinga sana. Hakukuwa na sababu yoyote ya msingi kuwapa ardhi hawa wapuuzi.Maelezo ni hayaView attachment 2643178
Imefika mahari tunazungumzia uzanzibari na ubara? Kwahyo kumbe ni hoja iliyofunikwa na historia ?Tanzania ni nchi moja ya JMT, ambapo Zanzibar ni sehemu ya JMT, SMZ na Mzanzibari yoyote yuko huru kumiliki Ardhi huku kwasababu kila Mzanzibari ni Mtanzania, ana haki zote za Utanzania ikiwemo kumiliki Ardhi.
Ranchi ya Makurunge iliyopo Bagamoyo ni mali halali ya SMZ. Tena tuna bahati wakoloni Wajerumani walitusaidia, ukanda wa maili 10 za Pwani yote ya bahati ya Hindi kuanzia Sofala hadi Mombasa ilikuwa ni mali ya Sultan of Zanzibar!. Sultan alipewa eneo hilo na mkutano wa Berlin kugawana Africa ile 1884. Miaka 6 baadae 1890, ndipo Ujerumani, na Uingereza wakaingia mkataba za Sultan of Zanzibar awaachie, na wao wakaahidi kumlinda.
Mkataba huo unaitwa The Zanzibar Treaty, huku Ujerumani na Uingereza wakiachiana maeneo, visiwa vya Witu na Helingoland, na ni mkataba huu ndio wakahamisha mipaka ya Ziwa Nyasa kulifanya la Malawi!.
P