tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
Nyerere alituunganisha na virusi. Mungu atusaidie tuuvuke huu mtihani salama.Hao jamaa ni wakorofi mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyerere alituunganisha na virusi. Mungu atusaidie tuuvuke huu mtihani salama.Hao jamaa ni wakorofi mno
Niko paleeeeeKiko wapi
Muungano kanyaboya huu. Umepitwa na wakati.Na bado huwezi kuoa mzanzibari, dah
Yaani kati ya mambo ya ajabu aliyotufanyia Nyerere ni kutuunganisha na hawa viumbe wa ajabu kutoka nchi ya kusadikika. Nyerere tunamheshimu alituletea uhuru lakini kwa hili la muungano wa mchongo, alikosea sana.Hao jamaa ni wakorofi mno
Nchi yenyewe haifikii hata mkoa mmoja wa Tanganyika. Ni shidaAfu ajira wanapewa 21%
Hawa wapumbavu CCM ndo inawaleaNchi yenyewe haifikii hata mkoa mmoja wa Tanganyika. Ni shida
Halafu mbona uvamizi umefanyika kipindi hiki? Kuna jambo limejificha nyuma ya pazia. Let us wait and see.Hawa wapumbavu CCM ndo inawalea
Huyu aliyepo hafai, tumuombe Mungu ampumzishe kwa manufaa ya nchiHalafu mbona uvamizi umefanyika kipindi hiki? Kuna jambo limejificha nyuma ya pazia. Let us wait and see.
Wanataka kuuziana nchi kinyemela. Hatukubali.Huyu aliyepo hafai, tumuombe Mungu ampumzishe kwa manufaa ya nchi
Hili sio swali. Ardhi ya Tanganyika itakuwaje mali ya Zanzibar. Hukosoma jiografia? Hujui mipaka ya Zanzibar inapoishia? Rudi shule.ardhi ni ya kwao au si ya kwao?hio ndio hoja ya kujadiliwa
Serikali ya China inamiliki ardhi kubwa tu USA kwahiyo sishangai.. umiliki wa ardhi Tanzania si kwa mtu/taasisi yoyote? kama sheria zenu wa kumiliki ardhi ni dhaifu hata Somalia itakuja kununua ardhi huku.Hili sio swali. Ardhi ya Tanganyika itakuwaje mali ya Zanzibar. Hukosoma jiografia? Hujui mipaka ya Zanzibar inapoishia? Rudi shule.
Ardhi yao iko visiwani...huku bara wanakuja sababu ya muungano.ardhi ni ya kwao au si ya kwao?hio ndio hoja ya kujadiliwa
Kwani Tanzania ni USA? Tanzania ardhi yote ni mali ya Rais. Usilete habari za ChinaSerikali ya China inamiliki ardhi kubwa tu USA.. umiliki wa ardhi Tanzania si kwa mtu/taasisi yoyote? kama sheria zenu wa kumiliki ardhi ni dhaifu hata Somalia itakuja kununua ardhi huku.
kwahiyo unataka Rais awapokonye mali yao??unakubaliana na unyanga'nyi?Kwani Tanzania ni USA? Tanzania ardhi yote ni mali ya Rais. Usilete habari za China