%15 Kwa sekta binafsi au Kwa serikali ?Umeelewa unachoandika asilimia 15 ndo imeongezwa hiyo 47 Kwa mtu wa kima Cha chini
Wana upemba na uunguna mwingi acha zako wewe nimekaa Zanzibar nawajua vizuri wanaendana kila kitu izo ni ishu za siasa sijui upemba na unguja CCM na cup
Umeniwahi mkuu! Nadhani itakuwa kwa wote,Yeye ametangaza tu...Kwani Tanzania si ni moja tu
Hujui unachosema, sheria ni moja wakiongeza government na privateKwa huku kwetu ukitangaza wafanyabiashara nao wanaongeza bidhaa bei! Sasa imagine unatangaza mshahara wa ongezeko kwa wafanyakazi wa serikali ambao hawafiki hata milioni moja,bidhaa zinapanda halafu watu milioni kadhaa huku ambao ni wengi hawajaongezewa mishahara huoni Kama ni kuwaumiza wenye vipato ambao havipandi!..
Nafikiri kutotangaza ni vyema zaidi ila wafanyakazi wa serikali itakuwa ni siri yao. I
Kwenye hiyo nyongeza vigezo na masharti kuzingatiwaHeko mwinyi hakika unaupiga mwingi haswa Kwanza unajuwa kbsa kudhibiti mfumuko wa Bei na unajali maisha za watu usio wajua wazenji
Unafanya vzr sna had mafuta mpk sas Ni Bei 2600 huku kwetu tanganyika Kuna mtu ana haribu uchumi ufanane na wazimbabwe
Nakupongeza Sana ikibid 2025 uje uku bhna kutuongoza mnk tumepigwa na kitu kizito kichwani na mzanzibari aliyetumia bilion 7 kuigiza dkk 58 bila aibu ....
Ndo shida ya kuwa na akili fupi ya kimaskin idadi ya watumishi si inaendana na idadi ya watu na ndo kodi iyoKuna tatizo sehemu kwa upande wa Tanganyika ,Ingawa Tanganyika ina wafanyakazi wengi hivyo kuongeza salary lazima kufikiria mara mbili mara tatu .
Badilisheni wimbo, huu tumeshauchoka tena!!Hana uwezo wa kuongeza 47,000 trust me.
Nchi inaongozwa na wengine yenye ni msimamizi tu.
Nani kasemaUmeniwahi mkuu! Nadhani itakuwa kwa wote,Yeye ametangaza tu...
Jambo la Moderator hilo.Hii barua umeiscan lakini something is missing toka page 1 kwenda page 2..
Sentensi ya "...kwa watumishi wenye elimu ya ngazi ya cheti na masomo ya art.......wataanza ni mshahara wa TZS 321,000 hadi.....
Hiyo hadi..... hakuna mwendelezo, imeishia njiani ..
Hii barua umeiscan lakini something is missing toka page 1 kwenda page 2..Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Mwinyi ametangaza ongezeko la mshahara kwa 15%
Kutokana na utaratibu huo kima cha chini cha mshahara kitapanda kutoka Tsh. 300,000 hadi Tsh. 347,000 sawa na asilimia 15.6
Ongezeko hilo linatarajiwa kutolewa kutumia mfumo wa uzoefu, ujuzi na elimu ya mtumishi
View attachment 2217040
View attachment 2217042
Moderator ndio walio weka hizo attachmentsHii barua umeiscan lakini something is missing toka page 1 kwenda page 2..
Sentensi ya "...kwa watumishi wenye elimu ya ngazi ya cheti na masomo ya art.......wataanza na mshahara wa TZS 321,000 hadi.....
Hiyo hadi..... hakuna mwendelezo, imeishia njiani
Hizi mambo zina malengo maalumu,mtaniambia mda ukifika..Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Mwinyi ametangaza ongezeko la mshahara kwa 15%
Kutokana na utaratibu huo kima cha chini cha mshahara kitapanda kutoka Tsh. 300,000 hadi Tsh. 347,000 sawa na asilimia 15.6
Ongezeko hilo linatarajiwa kutolewa kutumia mfumo wa uzoefu, ujuzi na elimu ya mtumishi
View attachment 2217040
View attachment 2217042
Kama raisi anashindwa kujisimamia au kusimamia watendaji wake walio chini yake hilo unalosema litamkuta. Kwanini zanzibar iwezekane halafu huku pawepo kigugumizi?? Inabidi raisi asimame kama raisi na sio kuyumbishwaHizi mambo zina malengo maalumu,mtaniambia mda ukifika..
Nimekuwa nafuatilia nyendo,Bara wakisema hivi ,yule wa kule anafanya vile Ili wa Bara aonekane hafai ila wa Zenji so that mkakati ufanikiwe.
Moja ya kosa la Samia ni kuamini watu wanaomzunguka 😆😆..Kama raisi anashindwa kujisimamia au kusimamia watendaji wake walio chini yake hilo unalosema litamkuta. Kwanini zanzibar iwezekane halafu huku pawepo kigugumizi?? Inabidi raisi asimame kama raisi na sio kuyumbishwa
Nami ni mmoja wa watumishi wa serikali, kwa hiki ulichokiandika hujokosea mkuu. Ni kweli tunaongozwa kwa matamko. Atakae kulaumu huyo hataki tu kukubali ukweli.Wafu ni wakati wenu huu wa kuzikana. Mkishaacha kunyoosheana vidole kwa kutegemea akili ya viongozi wa vyama ndio waamue kipi ni sawa na si sawa
Maneno na Kauli gani mtumie kwenye kutuhumiana
Mtaendelea Kuendeshwa kuliko hata mbuzi wanaotumia akili zao kuvukia barabara maana kama hutumii akili wala utashi wako kuchanganua mambo hadi usubirie tamko la mtu.. Una tofauti na ng'ombe anaesubiria kubustiwa na kiboko apate akili ya kupiga hatua kuongeza mwendo
Utashangaa wanajiita great thinkers [emoji16][emoji16][emoji16], great thinkers who can not think on their own...
Msiniue jamani naota tu, nikishtuka akili itasema vingine maana hata Mimi ni mwananchi wa giningi, nyeusi naita nyeupe nikishaamka [emoji1787][emoji1787]
Zile 200b za korona naona zinawapa kiburi sasa..hivi watazilipa lini?Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Mwinyi ametangaza ongezeko la mshahara kwa 15%
Kutokana na utaratibu huo kima cha chini cha mshahara kitapanda kutoka Tsh. 300,000 hadi Tsh. 347,000 sawa na asilimia 15.6
Ongezeko hilo linatarajiwa kutolewa kutumia mfumo wa uzoefu, ujuzi na elimu ya mtumishi
View attachment 2217040
View attachment 2217042
Wajukuu watalipa. Maisha ni sasa baadae itajiongeza yenyewe. Kwanza unaweza kuta nuclear imesha sawazisha dunia hakuna wa kumcheka mwenzakeZile 200b za korona naona zinawapa kiburi sasa..hivi watazilipa lini?
#MaendeleoHayanaChama