Ziara ya Rais kwenye nchi moja (US) kwa zaidi ya siku 5 haina tija. Muda mwingi wapo "idle" hotelini

Ziara ya Rais kwenye nchi moja (US) kwa zaidi ya siku 5 haina tija. Muda mwingi wapo "idle" hotelini

Ndugu zangu,

Mnamo tarehe 13.04.2022 Rais Samia amekuwa katika ziara nchini Marekani akiambatana na "delegation" kubwa sana ya watumishi wa serikali.

Kama Rais alipaswa aende US kwa mambo ambayo ni "specific " na sio kukaa huko akisubiri matukio.

Kuna udhaifu mkubwa kwa wizara ya mambo ya nje wanaoratibu ziara hizi, Rais anakosa cha kufanya akisubiri matukio ambayo yapo siku za mbele. Wao wanaangalia posho zao na sio tija ya ziara ya Rais.

Siku zaidi ya tano kwa Rais kuzuru nchi moja humfanya kuwa "iddle" muda mwingi asiwe na cha kufanya.

Ni matumaini yangu udhaifu huu utarekebishwa.

Rais alivyo mvivu kutembea amepata eneo la kwenda kulala.​

 
Ndugu zangu,

Mnamo tarehe 13.04.2022 Rais Samia amekuwa katika ziara nchini Marekani akiambatana na "delegation" kubwa sana ya watumishi wa serikali.

Kama Rais alipaswa aende US kwa mambo ambayo ni "specific " na sio kukaa huko akisubiri matukio.

Kuna udhaifu mkubwa kwa wizara ya mambo ya nje wanaoratibu ziara hizi, Rais anakosa cha kufanya akisubiri matukio ambayo yapo siku za mbele. Wao wanaangalia posho zao na sio tija ya ziara ya Rais.

Siku zaidi ya tano kwa Rais kuzuru nchi moja humfanya kuwa "iddle" muda mwingi asiwe na cha kufanya.

Ni matumaini yangu udhaifu huu utarekebishwa.

Don't trust a woman please!
 
Ndugu zangu,

Mnamo tarehe 13.04.2022 Rais Samia amekuwa katika ziara nchini Marekani akiambatana na "delegation" kubwa sana ya watumishi wa serikali.

Kama Rais alipaswa aende US kwa mambo ambayo ni "specific " na sio kukaa huko akisubiri matukio.

Kuna udhaifu mkubwa kwa wizara ya mambo ya nje wanaoratibu ziara hizi, Rais anakosa cha kufanya akisubiri matukio ambayo yapo siku za mbele. Wao wanaangalia posho zao na sio tija ya ziara ya Rais.

Siku zaidi ya tano kwa Rais kuzuru nchi moja humfanya kuwa "iddle" muda mwingi asiwe na cha kufanya.

Ni matumaini yangu udhaifu huu utarekebishwa.
waziri wa mambo ya nje naye ni bibi kols kitu Yes. Maza ni bibi kila kitu Yes. Waziri wa ulinzi ni bibi kila kitu Yes. Tunakoelekea …
 
Ndugu zangu,

Mnamo tarehe 13.04.2022 Rais Samia amekuwa katika ziara nchini Marekani akiambatana na "delegation" kubwa sana ya watumishi wa serikali.

Kama Rais alipaswa aende US kwa mambo ambayo ni "specific " na sio kukaa huko akisubiri matukio.

Kuna udhaifu mkubwa kwa wizara ya mambo ya nje wanaoratibu ziara hizi, Rais anakosa cha kufanya akisubiri matukio ambayo yapo siku za mbele. Wao wanaangalia posho zao na sio tija ya ziara ya Rais.

Siku zaidi ya tano kwa Rais kuzuru nchi moja humfanya kuwa "iddle" muda mwingi asiwe na cha kufanya.

Ni matumaini yangu udhaifu huu utarekebishwa.
Unajua ukubwa wa USA mwanamama au unadhani ni ziara za Magufuli za Malawi na Rwanda
 
Ndugu zangu,

Mnamo tarehe 13.04.2022 Rais Samia amekuwa katika ziara nchini Marekani akiambatana na "delegation" kubwa sana ya watumishi wa serikali.

Kama Rais alipaswa aende US kwa mambo ambayo ni "specific " na sio kukaa huko akisubiri matukio.

Kuna udhaifu mkubwa kwa wizara ya mambo ya nje wanaoratibu ziara hizi, Rais anakosa cha kufanya akisubiri matukio ambayo yapo siku za mbele. Wao wanaangalia posho zao na sio tija ya ziara ya Rais.

Siku zaidi ya tano kwa Rais kuzuru nchi moja humfanya kuwa "iddle" muda mwingi asiwe na cha kufanya.

Ni matumaini yangu udhaifu huu utarekebishwa.


Hivi ziara zinanda kwa siku au malengo!. Yaani unataka Raisi aje kutoka Tanzania hadi USA kukaa siku mbili kama vile Rwanda! Je unajua hii nchi ina states 50 na California pekee ina watu milioni 40, Texas milion 28.... kuna vitu vingi sana anaweza kufanya hapa. Hii ni nchi yenye uchumi mkubwa zaidi Duniani, yenye teknologia zaidi Duniani, Dollar ndiyo inatumika kama pesa ya kununulia vitu nchi inaongoza kwa uzalishaji wa mafuta halafu Raisi akae siku mbili ili tu kwa kuogopwa kupigwa madongo!. Hatakuwa katutendea haki kama hata rudi na wawekezaji na pesa.
 
Hivi ziara zinanda kwa siku au malengo!. Yaani unataka Raisi aje kutoka Tanzania hadi USA kukaa siku mbili kama vile Rwanda! Je unajua hii nchi ina states 50 na California pekee ina watu milioni 40, Texas milion 28.... kuna vitu vingi sana anaweza kufanya hapa. Hii ni nchi yenye uchumi mkubwa zaidi Duniani, yenye teknologia zaidi Duniani, Dollar ndiyo inatumika kama pesa ya kununulia vitu nchi inaongoza kwa uzalishaji wa mafuta halafu Raisi akae siku mbili ili tu kwa kuogopwa kupigwa madongo!. Hatakuwa katutendea haki kama hata rudi na wawekezaji na pesa.

Mzee wa Msoga (mwalimu wake) aliifanya USA kama sebule yake, lakini alituachia nchi ambayo haikuwa na uwezo wa kulipa hata mishahara ya watumishi wake on time!

Serikali inayoamini Rais ndiye mwenye uwezo wa kutafuta wawekezaji nje ya nchi ni foolish government. Wazifunge tu diplomatic missions zetu zote; wanapoteza taxpayers money bila sababu ya msingi.
 
Ndugu zangu,

Mnamo tarehe 13.04.2022 Rais Samia amekuwa katika ziara nchini Marekani akiambatana na "delegation" kubwa sana ya watumishi wa serikali.

Kama Rais alipaswa aende US kwa mambo ambayo ni "specific " na sio kukaa huko akisubiri matukio.

Kuna udhaifu mkubwa kwa wizara ya mambo ya nje wanaoratibu ziara hizi, Rais anakosa cha kufanya akisubiri matukio ambayo yapo siku za mbele. Wao wanaangalia posho zao na sio tija ya ziara ya Rais.

Siku zaidi ya tano kwa Rais kuzuru nchi moja humfanya kuwa "iddle" muda mwingi asiwe na cha kufanya.

Ni matumaini yangu udhaifu huu utarekebishwa.

Per diem
 
Enzi za magufuli mlikuwa mnashangilia hata akisema bhagosha!!. Bi dada tulia hapohapo.
 
K
Washauri wa watu wenye akili ndogo nao akili zao ndogo. Wazo la kumshauri Chief Hangaya kujiweka katikati ya hii project lilikuwa la kibwege sana.

Astute advisors to a president always make sure that the presidency is insulated against all potential fallouts from any action. Sasa hivi hii project ikibuma, Chief Hangaya ataponea wapi? Hao smooth-brained advisors wake itabidi wafanye kazi ya ziada kumsafisha!
Kinana yupo atarekebisha kama alivyorekebisha kauli ya "kutoangalia vyeti wakati wa kuajili na kufanya teuzi" ila ya "kunyonya kulingana na kipenyo cha mrija wako" hajaitolea ufafanuzi bado!
 
Ndugu zangu,

Mnamo tarehe 13.04.2022 Rais Samia amekuwa katika ziara nchini Marekani akiambatana na "delegation" kubwa sana ya watumishi wa serikali.

Kama Rais alipaswa aende US kwa mambo ambayo ni "specific " na sio kukaa huko akisubiri matukio.

Kuna udhaifu mkubwa kwa wizara ya mambo ya nje wanaoratibu ziara hizi, Rais anakosa cha kufanya akisubiri matukio ambayo yapo siku za mbele. Wao wanaangalia posho zao na sio tija ya ziara ya Rais.

Siku zaidi ya tano kwa Rais kuzuru nchi moja humfanya kuwa "iddle" muda mwingi asiwe na cha kufanya.

Ni matumaini yangu udhaifu huu utarekebishwa.
Mtumie baarua umwambie mwenyewe. Lakini ninachojuwa mm uhusiano wetu na marekani ulichafukA sana wakati ule akina makonda wanapigwa marufuku ya kukanyaga marekani kuzuia watoto walïopata mimba wasikanyage milango ya shule tena. Anasafisha upepo mbaya aya
 
Watu wanakula kwa urefu wa kamba zao.

Ila Rais kwenda kukaa nje week nzima, hii ni hatari sana. tuombe hii project itick vinginevyo tutatafutana kuanzia mwakani.
Unadhani kaenda kwa ajili ya royal tour tu!!?
 
Ndugu zangu,

Mnamo tarehe 13.04.2022 Rais Samia amekuwa katika ziara nchini Marekani akiambatana na "delegation" kubwa sana ya watumishi wa serikali.

Kama Rais alipaswa aende US kwa mambo ambayo ni "specific " na sio kukaa huko akisubiri matukio.

Kuna udhaifu mkubwa kwa wizara ya mambo ya nje wanaoratibu ziara hizi, Rais anakosa cha kufanya akisubiri matukio ambayo yapo siku za mbele. Wao wanaangalia posho zao na sio tija ya ziara ya Rais.

Siku zaidi ya tano kwa Rais kuzuru nchi moja humfanya kuwa "iddle" muda mwingi asiwe na cha kufanya.

Ni matumaini yangu udhaifu huu utarekebishwa.
Yani ni Tanzania pekee ndio unaweza kukuta mijanaume mizima inamuonea wivu mwanamke,

Hopeless kabisa.
 
Ndugu zangu,

Mnamo tarehe 13.04.2022 Rais Samia amekuwa katika ziara nchini Marekani akiambatana na "delegation" kubwa sana ya watumishi wa serikali.

Kama Rais alipaswa aende US kwa mambo ambayo ni "specific " na sio kukaa huko akisubiri matukio.

Kuna udhaifu mkubwa kwa wizara ya mambo ya nje wanaoratibu ziara hizi, Rais anakosa cha kufanya akisubiri matukio ambayo yapo siku za mbele. Wao wanaangalia posho zao na sio tija ya ziara ya Rais.

Siku zaidi ya tano kwa Rais kuzuru nchi moja humfanya kuwa "iddle" muda mwingi asiwe na cha kufanya.

Ni matumaini yangu udhaifu huu utarekebishwa.
Siku ya mwisho kila goti litapigwa
 
Ukikaa kwa watu muda mrefu sana mwishowe unapewa na kazi za nyumbani!
 
Ndugu zangu,

Mnamo tarehe 13.04.2022 Rais Samia amekuwa katika ziara nchini Marekani akiambatana na "delegation" kubwa sana ya watumishi wa serikali.

Kama Rais alipaswa aende US kwa mambo ambayo ni "specific " na sio kukaa huko akisubiri matukio.

Kuna udhaifu mkubwa kwa wizara ya mambo ya nje wanaoratibu ziara hizi, Rais anakosa cha kufanya akisubiri matukio ambayo yapo siku za mbele. Wao wanaangalia posho zao na sio tija ya ziara ya Rais.

Siku zaidi ya tano kwa Rais kuzuru nchi moja humfanya kuwa "iddle" muda mwingi asiwe na cha kufanya.

Ni matumaini yangu udhaifu huu utarekebishwa.
Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake. Na bado.
 
Back
Top Bottom