Ziara ya Rais kwenye nchi moja (US) kwa zaidi ya siku 5 haina tija. Muda mwingi wapo "idle" hotelini

Ziara ya Rais kwenye nchi moja (US) kwa zaidi ya siku 5 haina tija. Muda mwingi wapo "idle" hotelini

Ndugu zangu,

Mnamo tarehe 13.04.2022 Rais Samia amekuwa katika ziara nchini Marekani akiambatana na "delegation" kubwa sana ya watumishi wa serikali.

Kama Rais alipaswa aende US kwa mambo ambayo ni "specific " na sio kukaa huko akisubiri matukio.

Kuna udhaifu mkubwa kwa wizara ya mambo ya nje wanaoratibu ziara hizi, Rais anakosa cha kufanya akisubiri matukio ambayo yapo siku za mbele. Wao wanaangalia posho zao na sio tija ya ziara ya Rais.

Siku zaidi ya tano kwa Rais kuzuru nchi moja humfanya kuwa "iddle" muda mwingi asiwe na cha kufanya.

Ni matumaini yangu udhaifu huu utarekebishwa.
1. "Delegation kubwa sana ya watumishi wa Serikali!" Wangapi? Leta fact.

🙏🙏🙏
 
umezikosa hizo perdime za foreign bad shukuru na wewe rizk yako ipo.sio kilankitu kipite kwako waache wenzo nawo wajipatie memanyannch hiv unaijua raha unayoipata pale unapojaza dokezo la perdiyem ya nke wewe?kale kafeeling kale ? safar ziwe nying sana tena
Hii sio rizki bali ni ubinafsi wa viongozi. Raisi anakiri nchi yetu bado uchumo upo hoi, wananchi maanilion ni maskini.
Ingekuwa tuna uchumi mzuri na wananchi wengi wana kipato kikubwa basi uliyosema yangekua sahihi kabisa.
Lakini Leo hii kujenga vyoo vya shule tunasubiri msaada wa nchi zingine lakini pesa ya kulipana per diem nje ya nchi tunayo. Ni upumbavu tu
 
Ndugu zangu,

Mnamo tarehe 13.04.2022 Rais Samia amekuwa katika ziara nchini Marekani akiambatana na "delegation" kubwa sana ya watumishi wa serikali.

Kama Rais alipaswa aende US kwa mambo ambayo ni "specific " na sio kukaa huko akisubiri matukio.

Kuna udhaifu mkubwa kwa wizara ya mambo ya nje wanaoratibu ziara hizi, Rais anakosa cha kufanya akisubiri matukio ambayo yapo siku za mbele. Wao wanaangalia posho zao na sio tija ya ziara ya Rais.

Siku zaidi ya tano kwa Rais kuzuru nchi moja humfanya kuwa "iddle" muda mwingi asiwe na cha kufanya.

Ni matumaini yangu udhaifu huu utarekebishwa.

Ni kutokuelewa tu wanafanya mikutano mingi ya maana
 
Ni mwenyekiti wa CCM huyo huenda muda huo wasio na kazi wanajadiliana namna ya kula kwa urefu wa kamba ...CCM na ufisadi huwezi kutenganisha
 
Watanzania wapo msibani, ili hali hakuna aliyekufa. Hizi awamu za majizi zitakwisha tu.
 
Ndugu zangu,

Mnamo tarehe 13.04.2022 Rais Samia amekuwa katika ziara nchini Marekani akiambatana na "delegation" kubwa sana ya watumishi wa serikali.

Kama Rais alipaswa aende US kwa mambo ambayo ni "specific " na sio kukaa huko akisubiri matukio.

Kuna udhaifu mkubwa kwa wizara ya mambo ya nje wanaoratibu ziara hizi, Rais anakosa cha kufanya akisubiri matukio ambayo yapo siku za mbele. Wao wanaangalia posho zao na sio tija ya ziara ya Rais.

Siku zaidi ya tano kwa Rais kuzuru nchi moja humfanya kuwa "iddle" muda mwingi asiwe na cha kufanya.

Ni matumaini yangu udhaifu huu utarekebishwa.
Kila mtu kula kwa urefu wa kamba yake!
 
Ndugu zangu,

Mnamo tarehe 13.04.2022 Rais Samia amekuwa katika ziara nchini Marekani akiambatana na "delegation" kubwa sana ya watumishi wa serikali.

Kama Rais alipaswa aende US kwa mambo ambayo ni "specific " na sio kukaa huko akisubiri matukio.

Kuna udhaifu mkubwa kwa wizara ya mambo ya nje wanaoratibu ziara hizi, Rais anakosa cha kufanya akisubiri matukio ambayo yapo siku za mbele. Wao wanaangalia posho zao na sio tija ya ziara ya Rais.

Siku zaidi ya tano kwa Rais kuzuru nchi moja humfanya kuwa "iddle" muda mwingi asiwe na cha kufanya.

Ni matumaini yangu udhaifu huu utarekebishwa.
Siku hizi umebadili kibwagizo (chorus) toka Chadema hadi anti Samia, pathetic
 
Ndugu zangu,

Mnamo tarehe 13.04.2022 Rais Samia amekuwa katika ziara nchini Marekani akiambatana na "delegation" kubwa sana ya watumishi wa serikali.

Kama Rais alipaswa aende US kwa mambo ambayo ni "specific " na sio kukaa huko akisubiri matukio.

Kuna udhaifu mkubwa kwa wizara ya mambo ya nje wanaoratibu ziara hizi, Rais anakosa cha kufanya akisubiri matukio ambayo yapo siku za mbele. Wao wanaangalia posho zao na sio tija ya ziara ya Rais.

Siku zaidi ya tano kwa Rais kuzuru nchi moja humfanya kuwa "iddle" muda mwingi asiwe na cha kufanya.

Ni matumaini yangu udhaifu huu utarekebishwa.
Acha ushamba!
Baadhi ya mambo sio ya ku challenge maana hauko huko na wala hujui kinachoendelea kila siku.

Pia uelewe Rais anafanya kazi popote pale alipo.
 
Ndugu zangu,

Mnamo tarehe 13.04.2022 Rais Samia amekuwa katika ziara nchini Marekani akiambatana na "delegation" kubwa sana ya watumishi wa serikali.

Kama Rais alipaswa aende US kwa mambo ambayo ni "specific " na sio kukaa huko akisubiri matukio.

Kuna udhaifu mkubwa kwa wizara ya mambo ya nje wanaoratibu ziara hizi, Rais anakosa cha kufanya akisubiri matukio ambayo yapo siku za mbele. Wao wanaangalia posho zao na sio tija ya ziara ya Rais.

Siku zaidi ya tano kwa Rais kuzuru nchi moja humfanya kuwa "iddle" muda mwingi asiwe na cha kufanya.

Ni matumaini yangu udhaifu huu utarekebishwa.
Umesharudi toka Bujumbura ? Wamesemaje kuhusu ku support Umoja Party yenu?

Umejuaje ratiba za watu wa Marekani wakati unahangaikia umoja party hapo Bujumbura?
 
Silku hizi sijui nimekuwaje,

Ninachukia sana WATU wanaoongea sana kama CHIRIKU.

Watu wenye MAONI na hoja KWENYE kila kitu. I HATE THEM TO THE CORE
Pole mkuu.Yalaumu maisha ila sio wao wamyafanya yawe magumu.Pambana na hali yako
 
Pole mkuu.Yalaumu maisha ila sio wao wamyafanya yawe magumu.Pambana na hali yako

IMG_2971zg.jpg
 
Hata hicho kinachosubiriwa ni hopeless hakuna la maana. Kifupi nchi imeshamshinda ikibidi ajiuzulu mwenyewe au asubiri 2025 aondoke kwa aibu.
Ok poa, subiri tumuombe mtaalamu Manyaunyau amrudishia Jiwe aendelee na nchi yake.
 
Enzi za utawala wa Magufuli, mlikuwa mnasifia kila kitu! Hata yale mambo ya kijinga kabisa, na yenye kuleta maumivu na mateso makubwa kwa baadhi ya Watanzania! bado mlisifia tu na kutukejeli wote tulio lalamika!

Leo hii eti ndiyo mnajifanya kukosoa! Ni kwa sababu hampo kwenye mfumo wa ulaji bila shaka. Hii ni awamu ya watoto wa mjini kufaidi keki ya Taifa. Hivyo kuweni tu wapole.
Kweli kabisa! Awamu ya wapolipoli ilikuwa wanakula bata mkoa kwa mkoa, huku wakituaminisha tunajenga nchi. Lakini sasa wamjini wanakula Bata taifa kwa taifa. Wawe wapole tu! Kutesa kwa zamu.
 
Hizo gharama zilizotumiwa kwa kila mmoja ni Mungu tu anajua, fedha nyingi zimeteketea.

Najiuliza alishindwa vipi kuondoka siku mbili kabla kupunguza hizo gharama?
Wa chini sana anaweza akawa amevuta 6 million
 
Ndugu zangu,

Mnamo tarehe 13.04.2022 Rais Samia amekuwa katika ziara nchini Marekani akiambatana na "delegation" kubwa sana ya watumishi wa serikali.

Kama Rais alipaswa aende US kwa mambo ambayo ni "specific " na sio kukaa huko akisubiri matukio.

Kuna udhaifu mkubwa kwa wizara ya mambo ya nje wanaoratibu ziara hizi, Rais anakosa cha kufanya akisubiri matukio ambayo yapo siku za mbele. Wao wanaangalia posho zao na sio tija ya ziara ya Rais.

Siku zaidi ya tano kwa Rais kuzuru nchi moja humfanya kuwa "iddle" muda mwingi asiwe na cha kufanya.

Ni matumaini yangu udhaifu huu utarekebishwa.
Mleta mada naona hufuatilii

Hujaona akikutana na Makamu wa Raisi wa Marekani? Unadhani kaenda kwa Uzinduzi wa Royal tour tu

Hata kama humpendi hizo siku tano kazitendea haki mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpenzi

Mleta mada hujamtendea haki kwenye mada yako
 
Back
Top Bottom