Zijue faida za kupiga punyeto kwa afya yako

Hii ndio sababu naiogopa sana JF dadeq!
Mkuu umejoin JF jana usiku

I mean hata siku moja( masaa 24) huna hapa jukwaani,umenijuaje?
[emoji38]
Jana niliamua kujoini lakini naishi hapa kitambo sana Joanah [emoji23]
 
Habari za muda huu wakuu

Kwanza napenda kutoa shukuruni kwa wadau wote wa hili zoezi wanawake kwa wanaume, Pia nipende kutoa shukurani za dhati kwa mgunduzi wa starehe hii isiyo na gharama yeyote niwewe na mafuta yako tu na mahali popote unaweza fanya pia hata choo cha msikitini au kanisani.

Twende kwenye mada moja kwa moja kwa miaka mingi punyeto imekua mtetezi mkubwa kwa watu wengi wasio na mademu, wenye wake wanaowanyimwa mbususu na wake zao na hawana michepuko na vilevile kwa wanafunzi wanoishi shule za boarding za jinsia moja hivo nyeto ipewe maua yake.

Pili, kuna madaktari wanaohimiza punyeto na kusema ni njia ya kuonyesha pendo binafsi na ni kitendo cha kawaida kabisa kisicho na madhara yoyote katika maumbile ya uzazi. Tena wanasema mtu anapopiga punyeto kemikali ya endofini hutolewa ambayo inafanana na dawa za kulevya na hivyo husaidia kwa muda mfupi kupunguza maumivu na msongo wa mawazo.

Tatu, Nyeto inasaidia kutunza vbunda vyetu hasa sisi wanaume wenye midomo ya superglue hvo tunaona kama ni muokozi wetu namba moja maana muokozi namba mbili huko WhatsApp na telegram inahitaj uwe na vbunda hakuna cha bure.

Hvo napenda kutoa wito hichi cha CHAPUTA kisajiliwe kama vyama vingine vya kijamii ili kiweze kutoa msaada wa kielelimu kwa wanachama wanaozidisha dozi ili wasipate madhara makubwa na kutoa vifaa vya kisasa vya zoezi hili kama K..ma bandia na mb....oo bandia kwa dada zetu ili zoezi liwe na uhalisia zaidi



 
sasa inakuwaje baada ya kumaliza nyeto mtu huwa anajisikia vibaya na kujiona amefanya jambo la kijinga kabisa? naongea hivi nikiamini ni wanaume wachache sana hawajawahi kufanya huu ujinga wakati wa ujana waol
 
sasa inakuwaje baada ya kumaliza nyeto mtu huwa anajisikia vibaya na kujiona amefanya jambo la kijinga kabisa?
ni nadharia potofu zilizokuwepo zamani, watu walikua wanaamini puchu inaleta upofu, watoto walikua wanalala na pingu mkononi wakigundulika na hiyo tabia.... hiyo nadharia haijapotea mpaka sasa, ndio maana watu bado wanachukulia puchu vibaya....

Kinachoharibu akili na kuleta erectile dysfunction ni porn na sio puchu.... wanaotumia porn ndio wanaharibikiwa, puchu ni kawaida kwa binadamu akiwa anabalehe kwakuwa ndo anaugundua mwili wake.... porn na explicit media zingine za ngono ndio mbaya.... masturbation comes naturally
 
mapono yanaharibuje? hebu waelimishe vijana hawa wa hovyo? nasema hivi kwasababu hakuan mtazama porn asiye mpiga puchu. wote baba yao ni mmoja, shetwan.
 
hakuan mtazama porn asiye mpiga puchu.
hii ni kweli, ila kuna mpiga puchu asiye cheki porn... kwa wale ambao kujichua ilikuja naturally hawana shida tofauti na watumia porn, watumia porn ni kama walevi.... wana uraibu
 
hii ni kweli, ila kuna mpiga puchu asiye cheki porn... kwa wale ambao kujichua ilikuja naturally hawana shida tofauti na watumia porn, watumia porn ni kama walevi.... wana uraibu
mimi naona wote wana shida. kupiga pushu unalegeza misuli ya mzee..............., na kuangalia porn unahamisha akili toka kwenye kuhamasika ukiwa na mwanamke live kwenda kwenye kuhamasika (kuamshwa hisia) baada ya kuona porn. na pia kwenye kupiga bao lile la pushu linapigwa kwasababu uume umekamuliwa kwa namna fulani hivi wakati lile la mwanamke linakuja kutokana na kutekenywa, utelezi, jotoridi na ile hisia kwamba umemwingilia mwanamke. icho ni kitu cha muhimu sana.
 
Kujua vipele vyako???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…