Zijue taasisi ambazo hazipokei rushwa hata kwa mtutu wa bunduki

Mapesa ya laana hayo ndio maana watu mnapata strokes mnajifia hovyo hovyo.

Milaana ya ajabu ajabu ya kudhulumu watu.

Nature comes back to you with a fierce KARMA.
PESA ZA MASIKITIKO IS A CURSE WENGI HAWAFAHAMU HILI, unapokea huku mtoaji analia ni laana, kibaya upepo mchafu huwakumba familia ya mla rushwa, watashiba sana lakini Subiri tu. Kama sio kizazi hicho kuumia basi hata kijacho!
 
Ongeza na mahakama, Yani burudani Yani.
 
PESA ZA MASIKITIKO IS A CURSE WENGI HAWAFAHAMU HILI, unapokea huku mtoaji analia ni laana.
Hizi KANUNI ZA ASILI huwa sio za maskhara hata kidogo.

Litakupata jambo zito wala hutajua limetoka wapi....

Unapigwa stroke unabaki kulia lia tu oooh nimerogwaa... kumbe ulidhulumu watu.

Tunakuzika tunaendelea kutafuna kitimoto na bia. CASE CLOSED.
 
Nadhani Takukuru ingeanzisha shindano tukawa tunapigia kura ili mshindi akawa anapata tuzo na wafanyakazi wake kupongezwa kwa namna fulani ya zawadi za kukumbukwa.
 
Uhamiaji kote majanga..makao makuu nje wana vishoka wao ,ukishalipa unaelekezwa then afisa anapigiwa simu ...mipakani ndio kabisa .bus likikaribia mpakani konda anauliza Kama huna passport umwone ..
 
1. RITA.

Huwezi kupata cheti cha kuzaliwa au kifo kwa shortcuts. Lazima ufuate hatua zote... lazima uambatanishe vielelezo vyote. huwez eti kutoa rushwa upewe cheti wakati huna leaving certificates, baptism certificate, voter ID etc...

2. NIDA.

Nani anaweza kupata au mtumishi gani anaweza kupokea rushwa ili akupe kitambulisho cha nida au namba bila hujajaza taarifa zako zinazotakiwa?
 
MAHakama na polisi Kuna mabango kibao, hatupokei Wala usitoe rushwa, lakini huko ndio makao makuu ya rushwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…