Makete na Ludewa imeunganishwa kwa lami ipiNi mkoa ulio connected na lami kwa halmashauri zake zote sita View attachment 2518615View attachment 2518616View attachment 2518617View attachment 2518619
Hiyo Ranch ya kitulo ni ya Serikali au!?KWA mtu Binafsi akitaka kuweka ng'ombe zake anafanyaje!!?
Wanunua eneo kubwa la ardhi ya kutosha, pata "title deed" na anza kazi.Hiyo Ranch ya kitulo ni ya Serikali au!?KWA mtu Binafsi akitaka kuweka ng'ombe zake anafanyaje!!?
Ya serikaliHiyo Ranch ya kitulo ni ya Serikali au!?KWA mtu Binafsi akitaka kuweka ng'ombe zake anafanyaje!!?
Umeionahiyo junction hapo Kuna makete road ,makambako Na songea road ukifika nunfu unachepuka kuingia ludewa Kuna ujenzi wa lami unaendeleaMakete na Ludewa imeunganishwa kwa lami ipi
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Express train inachukua siku ngapi kufika Mbeya?