Mchuzi wa mbwa unanywewa ukiwa ungali moto, alikuwa wapi siku zote, ni sawa unavamiwa leo na majambazi au vibaka unapiga kimya mpaka unapata fununu ya mwizi wako ndio unakwenda kuripoti

Kaka siri ya ndoa siku zote inatoka nje pale ndoa inapoyumba hivyo si kitu cha ajabu siri za viongozi wa Chadema kutoka nje sasa maana ndoa ya Zitto na Chadema iko katika hati hati.

Hapa swala la alikuwa wapi siku zote halina maana yoyote tunachotakiwa kujua kama wanayosema ni kweli au si kweli. Tunaojua tumeshajua kuwa wote ni wakweli. Kazi kwenu CDM bora yangu niliyeamua kubaki CCM pamoja na kuwa kimevamiwa na mafisadi lakini bado kina misingi imara na nina imani siku moja tutapata kiongozi wa kufukuza mafisadi wote.
 

Mkuu....MTU intellectual kama wewe cdm huwezi dumu,ulichokisema 100% kiko sawa kabisa
 
ole unakubaliana na haya ya mbowe? je unakubali mbowe kupewa ml 20 na mkono kwa ajili ya kampeni tarime halafu baadaye mbowe anakigeuka chama kuwa amekikopesha na akalipwa? hebu toka nje ya boksi ufikirie hii issue. au bado unatumika kama ulivyokuwa ukitumiwa na lowassa. shituka na chukua tahadhari mkuu.

 
hata kama tuhuma hizi ni za kweli, issue ni nani kazitoa kwa wakati gani. Sasa hivi kila atakalo sema zitto kuhusu chadema na viongozi wake lazima tuone ni upuuzi tu. Its too little too late. Alikuwa wapi siku zote kama alikuwa anazijua hizi tuhuma?

ukipenda chongo utaona kama ni kengeza tu na wala sio chongo
 
""kama kingekuwepo chama kingine imara ningekipa nchi nikainyang'anya ccm lakini sasa sioni chama cha kukipa nchi yangu herikubaki tu na ccm mpaka pale vyama vingine vitakapokuwa IMARA"" ni mtazamo tu! NAPITA....
 
Ben saanane
shardcole
Molemo
Yericko Nyerere
et al

mko wapi, njooni mnisaidie jamani

ila huwa nawaambia, usiweke moyo wako kwa wanasiasa

they must disappoint you
 
Acha bangi wewe!... Tenende hakuna wehu wewee!!!!!......Ni mtaji kiasi gani unaohitajika kuanzisha gazeti? Mbona mbona mtu mzima unaendesha na akili za kuazimwa?... Gazeti? ambalo hata wewe mjinga mjinga unaweza kusajili gazeti na kuliweka mtaani?!!!
 
Nasikitika sana kuona kijana kama huyu anapiga taarabu tulia uambiwe ukweli jua kuwa yote unayoongea sasa wa tz hatukuelewi ulikuwa wap? Au umeshaona upo ICU? Wewe ni msaliti; mhujumu chama na mhaini toka kitambo
 
Ben saanane
shardcole
Molemo
Yericko Nyerere
et al

mko wapi, njooni mnisaidie jamani

ila huwa nawaambia, usiweke moyo wako kwa wanasiasa

they must disappoint you

Hahahah wamejifungia ufipa,Zitto sol never walk alone never!!!
 
Jibu kwanza swali. Alikuwa wapi siku zote asiseme? Wenzake wana ushahidi akipokea magari, Zitto je?

Jamaa kabwabwaja jana na Wanasheria wakampigia simu afute Pumba zake FB, kazifuta. Kaogopa nini sasa Bwana wenu?
Na mbowe aliuza ticket ya uraisi kwa JK-mwenyewe amekiri kupokea fedha
 
Mkuu....MTU intellectual kama wewe cdm huwezi dumu,ulichokisema 100% kiko sawa kabisa

Endeleeni kumpiga chura mateke mkidhami mnamkomoa kumpe mnamsaidia afike hara safari yake.
 

Wewe naona unaongea tu! Rudi usome tena post zangu ndio utoe hayo maneno yako!
 
Naona tumeshahama sasa, ilikuwa Chama sasa imekuwa personal issues.Huu ndio uzuri wa Tanzania na siasa zetu. Vichwa vya habari kwenye magazeti..........Watu wanajianika wenyewe.

Watu wameshapoteza ''control'' ya lipi waseme lipi wasiseme. Wanachama walioko nyuma ya Chama na hawa viongozi sijui wanajisikiaje.

Focus inahama kwenye mambo ya msingi ya nchi na maendeleo mnaanza kujadili mambo binafsi, mara huyu alipewa hela, huyu kapewa gari.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…