Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sielewi ni kwanini ccm wote wapo nyuma ya Zitto, kuna nini?
Najaribu kutafakari na kuunganisha dots....hivi siku za nyuma ZZK alisafiri nje ya Tz na Rais JK mara ngapi?
huyu si mwanachadema. Ni gamba maana katba inasema mtu akipeleka mahakaman mambo ya chama itakuwa imekula kwake
Mimi Ninachojua Ni Kwamba ZZK Alikuwa Na Majukumu Mengi Sana Ya Kitaifa. Sasa Ccm Wakawa Wanampa Kazi Na Kumbana Sana Ili Asishiriki Katika Oparation Za Chama. Kwa Kuwa Ni Mtaifa Zitto Hakuwa Na Jinsi, Aliweka Uchama Kando Na Kulitumikia Taifa. Lakini Kumbe CCM Walifanya Hivi Ili Kumpunguzia Ushiriki Wake Katika Shughuli Za Chama. Mfano Wakati Kamati Kuu Ilipo Keti Zito Alitumwa Sudani, Lakini Alirudi Na Kuhudhuria Usiku Huo Huo. CCM Inawatu Wanao Fikiria Saaana. Kumkeep Bussy Zito Walitaka Wamchonganishe Na Chadema, Na Leo Hii Wamefanikiwa Chadema Hamuoni! Kwa Sasa Matarajio Ya Kushinda Uchaguzi Mkuu Hayapo Kwa Jambo Dogo Kama Hili! Tunarudishana Nyuma Kwa Kushindwa Kufikiri! Ona Wakaandaa Na Waraka, Hapo Ndo Wakawamaliza Kabisa Na Kukiri Kuwa Zitto Ni Msaliti, Mkimtoa Zitto Direction Ya Upinzani Itageuka 2015, Na Sijui Nilini Nchi Hii Itatulia Na Kuwa Na Upinzani Imara! Labda Ni Hadi Ccm Igawanyike Kama Alivyo Sema Nyerere
Zitto ni ngumi jiwe. Mtahangaika kumchafua lakini hachafuliki huyu kijana
Mkuu ni kweli alienda siku ya mwisho kufunga kampeni, tena baada ya kulazimishwa kwenda, alikuwa haendi kabisa.....
Salama ya CHADEMA ni kumfukuza Zitto Kabwe
Which is which?Wana JF,
Kwenye uchaguzi mdogo wa Igunga Zitto hakukanyaga...Dr. Slaa kwa kumlinda akasoma ujumbe ambao Zitto alipost facebook kuomba wanaigunga wamchague Kashindye!
jana zito asingeshinda usingelialia hivi, amewashika pabaya mnaanza kubweka,
1: Kuhusu mke wa Emmanuel Muhimbo(Josephine musumbushi ambaye leo unaishi naye kama Mchumba wako)
2: Kuhusu kupanga nyumba ya Abla apertment pale kijito nyama huku ukilipa shilingi laki 2.5
3: Kuhusu kulazimisha chama chako kikulipe stahiki zote za mbunge kwa kujitoa kwako kugombea Ubunge na kupeperusha bendera ya urais
4. Elimu yako iliyojaa utata kutoka cheti hadi shahada ya uzamivu
5: Safari yako ya Nchi za Ulaya na mahusiano ya misaada uliyopata kuelekea uchaguzi mkuu
6: Kuhusu kadi ya CCM unayoimiliki na kuilipia mpaka sasa ilihali za wale wanaojiunga na chadema unazichoma moto. Kuna mantiki gani hapa?