NTWA MWIKEMO
JF-Expert Member
- Oct 7, 2014
- 734
- 366
Sorry kama nimetumia Lugha kali nisamehe, Ila Zitto Kabwe anatakiwa abadilike Siasa zake hazitoi dira nzuri kwa vijana, haswa michezo ya amberutUlianza vizuri weee mwishoni ndio umeonyesha UJINGA NA UPUMBAVU wako wote.
Hata kama humpendi mtu sio kumsjngizia vitu vya uongo. Kibongo bongo Zito bado yupo kwenye chati ya wanasiasa makini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni urongo, basi wewe tupatie ukweli.Ofisi nzima ya makao makuu ya Takukuru imehamia Kigoma?!!
Huu ni urongo!
Wacha nikusaidie basi: Nikolai Cescescu alipigwa risasi siku ya Christmas 1989, Samwel Doe alikatwakatwa vipande 1992, Iddi Amin alikufa hovyo Saudi Arabia, Jean Bedel Bokasa alifungwa maisha central Africa akaachiwa akafa kihoro, Mobutu alikufa na kuzikwa na watu wachache Morroco ,Ma dikteta hua hawafi kwa magonjwa kama shinikizo la damu au cancer au sukari. Hua wanakufa vifo vya kudhalilisha sana (Saddam Hussein alinyongwa, Muamar Gaddafi alijificha kwenye kalavati la maji akapigwa risasi mtaani).
Tokea zamani watawala mafedhuli waliamini kwamba;njia pekee na nzuri ya kuwatiisha na kuwaogofya ni pamoja na kuwaua ama kuwatesa vikali.Ila unamjua vzuri huyo Zitto? Kifupi tu kwa kkusaidia Usalama yupo kazini ndugu yetu Erick Kabendera Familia yke inapata Tabu saizi unajua Nani na Nani walikuwa nyuma yke kwenye kumshawishi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Alipiga pesa ndefu sana huyu jamaa nashangaa sijui kwa nini uso wake unashindwa kung'aaIla kiukweli Zitto kapiga sana kuelekea uchaguzi ule wa 2015 na waliomuwezesha ndio haohao leo wanamtafuta
Jr[emoji769]
Huyu jamaa amekuwa kama mfaa maji tu..watu wamempuuza kabisa..hopeless
Alichoandika Zitto kinawezekana kabisa kutokea. Huyo jamaa haamini katika uchaguzi huru na haki hata kidogo.
Kwa hiyo Zitto , Sugu na baadhi ya wengine kwenye majimbo korofi wajichunge maana malaika wa giza yuko kazini kuhakikisha wanakuwa nje ya bunge.
kumbe kuwashughulikia wapinzani siku hizi imekuwa sifa!.Huyo KUB Mbowe pale Hai anashughulikiwa na DC tu akisaidiwa na Takukuru Wilaya ndio ije kuwa huyu bwana mdogo Zitto.
OCS anatosha kabisa kushughulika na Zitto!
Ndo maana tunasajili line ili tugundulike nani ni nani. Ukicoment kwa lugha isiyofaa au kutabiri mambo kama haya hakikisha unatumia Internet za mtaani Ila kama ni smartphone yako na line yako ya simu....................
Looks like defamation!Kufutia Zitto Kabwe kushindwa kuwapatanisha Madiwani wa ACT Wazalendo Kigoma ujiji, ili kujiimarisha kisiasa amebuni Mbinu Mpya ya kuwashawishi Jeshi la Polisi Wamkamate.
Akiwa anaondoka Kigoma tarehe 18.01.2020 akiwa anaelekea uwanja wa Ndege kwa Kigoma kupanda ndege za ATCL ambazo hakufanikiwa kuziingiza kwenye mtego wa madili yake huko Africa kusini na Canada.
Alimuaga rafiki yake Wilson Awimo Mogha kwamba akifika Dar es salaam atahakikisha afanye siasa za either kulitukana Jeshi la Polis au Takukuru ili akamatwe na kumnufahisha kisiasa.
Watanzania kweli Zitto ameishiwa sera hivyo anaanza kutafuta Sera za kufungwa kuonesha anaonewa.
Akiwa kwenye Guest ya Awimo iliyopo Kilima Hewa alieleza wazi kuwa kwa Muda mrefu amewadanganya Wananchi wa Kigoma, ili ashinde 2020 nilazima atengeneze Mazingira ya siasa za Huruma kwa kukamatwa sana, kwakuwa ana mawili akina Thomas Mtatizo Msasa eti akitoka hiyo ndo itakuwa kete ya kumrudisha mjengoni.
NB: Zitto Kabwe nasikia akiwa Gerezani anagawaga Mambo, ndiyo maana hata akitembea huwa Matak anayabakiz. Na usiku wa tarehe 17.01.2020 Aliwafuata Vijana watatu wamsaidie kumkuna maeneo.
Zitto umefika hali hiyo Mpaka umesababisha sura yako kuwa hivyo kutokana na kunogewa na raha ya Kik.
Maaana unahofiwa uso na macho yako eti yameathiliwa kutokana na kumsahau Mungu na kuwategemea Wagang 50[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
We umemdhalilisha kwa hiyo anaytakiwa akupeleke mahakamani ili uthibitishe kama kweli analawatiwa.Sorry kama nimetumia Lugha kali nisamehe, Ila Zitto Kabwe anatakiwa abadilike Siasa zake hazitoi dira nzuri kwa vijana, haswa michezo ya amberut
Sawa kabisa usiekufa mileleAtakufa tena ghafla kwa shinikizo la juu la damu
Hii comment yako unafikiri itamzuia kufa
Wala hata, ila hadi Mungu atavopenda kama ww na mm tuHii comment yako unafikiri itamzuia kufa
Kwani wanayoyafanya akina Kacheche kukusanya viwanja siyo kosa ni sawa tu. Kabwe Mburula kweliHii nimeitoa kwenye official Twitter page ya Zitto
====
Serikali ya Rais @MagufuliJP wameamua kutengeneza mashtaka ya utakatishaji Fedha dhidi yangu. Ofisi nzima ya TAKUKURU Makao Makuu imehamia Kigoma kubumba Mashtaka. Lengo ni kuhakikisha nakuwa Gerezani wakati wa Uchaguzi. CCM inatapatapa, TAKUKURU inatumika kisiasa. #Siogopi
View attachment 1327385
View attachment 1327492