minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Wananchi wanajua pesa nyingi sana zinapotelea kwenye kudhoofisha chadema kudidimiza demokrasia badala ya maendeleo halisi wanajua trilion 1.5 imepigwa kisha CAG kutolewa kafaraHali ilipofikia CCM wamechanganyakiwa, yaani pamoja kujenga flyovers na Kununua ndege ila wananchi hatuwataki [emoji23][emoji23][emoji23]