Ulimi hauna mfupa, hakuna haja ya kushupalia ishu ambayo ipo wazi.
Inahusiana nini na hoja iliyopo mezani?We umeishia darasa la ngapi kwanza?
Ili niweke wazi kuwa wapinzani wa Tz huwa mnakomalia ishu ambazo hazina mashiko. Maana hili suala lipo wazi sasa leo kuanzia asubuhi mnakomaa kama vile hamjaenda shule bana.Sasa wewe ulieanzisha nyuzi mbili na mie nnaekuuliza kwenye uzi wako nani anashupaa?
Kama liko wazi kwanini uje kuanzisha uzi?
Kila kitu kimewekwa wazi, hakuna kujadili kuhusu B na M. Foreign reserve ni Usd bil 6.253.Inahusiana nini na hoja iliyopo mezani?
Unataka kujiongezea kazi nyingine tena wakati hii ya kuisemea serikali inakukimbiza? Tumalize kwanza hili.
Ili niweke wazi kuwa wapinzani wa Tz huwa mnakomalia ishu ambazo hazina mashiko. Maana hili suala lipo wazi sasa leo kuanzia asubuhi mnakomaa kama vile hamjaenda shule bana.
Hivi umeyajua madarasa leo nini?We umeishia darasa la ngapi kwanza?
Anaumwa masambaulika huyo.Msamehe!Sasa wewe ulieanzisha nyuzi mbili na mie nnaekuuliza kwenye uzi wako nani anashupaa?
Kama liko wazi kwanini uje kuanzisha uzi?
Kumbe unaandika tu hata bila kutafakari au kufikiri. Rudi kasome hapo nilipokunukuu uone ulichoandika.Nani kasema wewe ni mpinzani? Ulitaka hii post niitafakari vipi wakati ipo wazi?
ππππππππWe dogo kuwa na adabu
We mgen kwan hapo bongolala mkuu??Si maajabu haya mkuu?
Mtu akiona jambo la kipuuzi, hata hashughuliki nalo, anakaa kimya tu.
You are right sir!Nimeanadika kuwa wewe ni mpinzani? Unajua kusoma?
Chawa mtanyooka tuuWe umeishia darasa la ngapi kwanza?
Sio kushupalia. Wewe unajua kipi ni sahihi hapo?Mi nashangaa watu kushupalia kosa la m na b