Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unatu-uliza ama una tufahamisha?Act ni mali ya ccm
Sana SanaKwani chadema wanakusanya kodi sehemu gani mpaka wajenge shule au hospitali? CCM ni laana kwa Taifa hili
Kwa hiyo shule zinajengwa na hela za chama?
Hii ni kupigana midongo ya nguvu
[emoji116]View attachment 2402253
Chadema wanapata fedha za ruzukuKwani chadema wanakusanya kodi sehemu gani mpaka wajenge shule au hospitali? CCM ni laana kwa Taifa hili
Wapi kawataja chadema hapoKwani chadema wanakusanya kodi sehemu gani mpaka wajenge shule au hospitali? CCM ni laana kwa Taifa hili
Hii ni kupigana midongo ya nguvu
👇View attachment 2402253
Ziko wapi Ford Ranger za M4c? Kwa nini hamkuomba suzuki Jimmy kwa ajili ya chama chenu...Chadema wasiwaige Ccm kwa kuwa na chama chenye matumizi makubwa ya kifahari.
..Wasiige ujenzi wa maofisa makubwa makubwa yenye gharama kubwa za matunzo na matengenezo.
..Wasiige ununuzi wa magari ya kifahari yenye gharama kubwa ktk kuyatumia na matengenezo. Ccm wana ma-V8 kwa ajili ya kila katibu wa wilaya.
Ziko wapi Ford Ranger za M4c? Kwa nini hamkuomba suzuki Jimmy kwa ajili ya chama chenu.
Kama hujaona basi nenda kaangalie afya ya akili yakoWapi kawataja chadema hapo
Una maana ruzuku ni sawa na kodi ambayo serikali inakusanyaChadema wanapata fedha za ruzuku
So? Kama ni kuminimize cost mlitakiwa muombe Suzuki Jimmy
Chadema katajwa wapi?!Kwani chadema wanakusanya kodi sehemu gani mpaka wajenge shule au hospitali? CCM ni laana kwa Taifa hili