Uchaguzi 2020 Zitto: Kura yangu nafasi ya Urais nitampigia Tundu Lissu (CHADEMA)

Uchaguzi 2020 Zitto: Kura yangu nafasi ya Urais nitampigia Tundu Lissu (CHADEMA)

Tumeshatumia bongo zetu.kura kwa Tundu Lissu.
Kwanini Zitto ameshindwa kucome out clearly bila chenga na “kuagiza” ACT wote wampigie Lissu - kama alivyofanya kwa madiwani na Wabunge?

Anamuogopa Membe au anahofia kuwa atakuwa anavunja sheria?
 
MSIMAMO RASMI WA ACT WAZALENDO KUSHIRIKIANA NA CHADEMA.



2. Pale ambapo kwenye Kata au Jimbo la Uchaguzi hakuna Mgombea wa ACT Wazalendo, lakini kuna wagombea wengine wa Vyama vya Upinzani, ACT Wazalendo tunawaomba MPIGIE KURA MGOMBEA WA CHAMA CHA UPINZANI mwenye nguvu zaidi ili kutokutawanya Kura.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Utashangaa Msajili wa Vyama anampa onyo Zitto kwa kusema atamchagua mgombea tofauti na wa chama chake
 
Yeye kama yeye kadeclear kumpigia Lissu. Anawashaurije wafuasi wake?

Membe atampigia nani? Mbona kuna kigugumizi kwenye hii issue? Chama kimeshindwa kuafikiana!?
Utawaweza Hawa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wewe jamaa mimi sikuwaji na sitawahi kukuamini kabisa ila kwa hili naomba unisamehe nimeanza kukuelewa
 
MSIMAMO RASMI WA ACT WAZALENDO KUSHIRIKIANA NA CHADEMA.

Hivyo basi, baada ya maelezo hayo, natangaza rasmi kwa Wanachama, Wafuasi, wapenzi wa ACT Wazalendo na Watanzania kwa Ujumla, kuwa:

1. Pale kwenye Kata ama Jimbo ambalo ACT Wazalendo tuna Mgombea, tunaomba Muwapigie Kura wagombea wa ACT Wazalendo.

2. Pale ambapo kwenye Kata au Jimbo la Uchaguzi hakuna Mgombea wa ACT Wazalendo, lakini kuna wagombea wengine wa Vyama vya Upinzani, ACT Wazalendo tunawaomba MPIGIE KURA MGOMBEA WA CHAMA CHA UPINZANI mwenye nguvu zaidi ili kutokutawanya Kura.

3. Kwa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mimi Zitto Zuberi Ruyagwa Kabwe NITAPIGA KURA YANGU kwa ndugu Tundu Antipas Mughwai LISSU. Huyu ndiye Mgombea wa Upinzani ambaye ana nguvu ya kumshinda Mgombea wa Chama tawala, amefanya kampeni nchi nzima, mwitikio wa Wananchi kwake ni mkubwa sana, ameeleza kwa ufasaha dhamira yake ya kuleta mabadiliko na sina mashaka na dhamira hiyo, pamoja na anayotaka kuyafanya kama Rais, ni mambo hayo ndiyo yaliyonipa msukumo wa kumpigia Kura Lissu.

Zaidi NINAMUAMINI LISSU kutokana na historia yake ya kupigania Haki za Watu. Ninaomba kila mpenda Haki na Mabadiliko nchini ampigie kura ya URAIS ndugu Tundu Lissu ili awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Natanguliza Shukran kwenu

Kabwe Z. Ruyagwa Zitto
Kiongozi wa Chama, ACT Wazalendo
Bangwe, Kigoma Mjini
Oktoba 16, 2020
Mimi ni nani hata nipate kupingana na mpango na chaguo la Mungu Muumbaji? Mimi na familia yangu ya watu wanne, wote tupo pamoja na Tundu Lissu.
 
Mbona kwenye karatas ya Kura Kuna jina la kachero
15FE878E-0197-4E40-B586-A5307A395100.jpeg
 
MSIMAMO RASMI WA ACT WAZALENDO KUSHIRIKIANA NA CHADEMA.

Hivyo basi, baada ya maelezo hayo, natangaza rasmi kwa Wanachama, Wafuasi, wapenzi wa ACT Wazalendo na Watanzania kwa Ujumla, kuwa:

1. Pale kwenye Kata ama Jimbo ambalo ACT Wazalendo tuna Mgombea, tunaomba Muwapigie Kura wagombea wa ACT Wazalendo.

2. Pale ambapo kwenye Kata au Jimbo la Uchaguzi hakuna Mgombea wa ACT Wazalendo, lakini kuna wagombea wengine wa Vyama vya Upinzani, ACT Wazalendo tunawaomba MPIGIE KURA MGOMBEA WA CHAMA CHA UPINZANI mwenye nguvu zaidi ili kutokutawanya Kura.

3. Kwa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mimi Zitto Zuberi Ruyagwa Kabwe NITAPIGA KURA YANGU kwa ndugu Tundu Antipas Mughwai LISSU. Huyu ndiye Mgombea wa Upinzani ambaye ana nguvu ya kumshinda Mgombea wa Chama tawala, amefanya kampeni nchi nzima, mwitikio wa Wananchi kwake ni mkubwa sana, ameeleza kwa ufasaha dhamira yake ya kuleta mabadiliko na sina mashaka na dhamira hiyo, pamoja na anayotaka kuyafanya kama Rais, ni mambo hayo ndiyo yaliyonipa msukumo wa kumpigia Kura Lissu.

Zaidi NINAMUAMINI LISSU kutokana na historia yake ya kupigania Haki za Watu. Ninaomba kila mpenda Haki na Mabadiliko nchini ampigie kura ya URAIS ndugu Tundu Lissu ili awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Natanguliza Shukran kwenu

Kabwe Z. Ruyagwa Zitto
Kiongozi wa Chama, ACT Wazalendo
Bangwe, Kigoma Mjini
Oktoba 16, 2020
Kristo akubariki Kaka Zitto
 
Makofi ya heshima kwa Zitto Kabwe [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Membe lilikuwa ni pandikizi la Jiwe.

Hapa tunaenda na Lissu tu.
Pandikizi mbona huyu huyu msaliti alimchukua kuwa mgombea wake. Zitto, Lissu hao wote vibaraka tu wa mabeberu. Hamna lolote mnaloweza kuwapa watanzania. Kipondo cha uhakika kipo kwa ajili yenu Oct 28.
 
Ni Kama kazunguka tu, ila ukweli ni kwamba, mtu yeyoye atakaepiga kura kwa membe atakua ameharibu kura ya upinzani maana hata iweje Membe hawezi kushinda.
Kasema hivyo kwa diwani na Ubunge ila hajasema hivyo kwenye Urais.

Kwenye Urais kasema YEYE atampigia Lissu then kawaacha nyie mtumie bongo zenu
 
Ukimsoma Zitto kwenye uzi wake huu, utaona kuna mabadiliko yametokea, hotuba yake ya mwisho nilioisikiliza ilikuwa ya pale mpanda, alikuwa anaonyesha kuungana na chadema kutoka uraisi hadi udiwani. Leo anashawishi kumpigia kura Lissu tuu.

Zitto siye aliyetaka kubadilika, ila matendo ya chadema haswa anri zitokazo kwa mwenye kiti wao, ni za kipongamizi dhidi ya ushirikiano na kuungana mkono.
 
Back
Top Bottom