Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo sasa hivi hilo pandikizi mmelitoa?Membe lilikuwa ni pandikizi la Jiwe.
Hapa tunaenda na Lissu tu.
Hivi kuna sheria inakataa kuungana? Ninachojua hiyo sheria inakataza vyama kuungana kihuni namna hiyoWametunga Sheria nyingi za kijinga ili Wapinzani wasiungane lakini imekufa kwao
Ameshasema tutampigia kura mpinzani ambae atakua na ushawishi kuliko wengine, so kwa maana nyingine hata chauma wakiwa na ushawishi kuliko vyama vyote vya upinzani Basi maelekezo ya Zitto yange applyYeye kama yeye kadeclear kumpigia Lissu. Anawashaurije wafuasi wake?
Membe atampigia nani? Mbona kuna kigugumizi kwenye hii issue? Chama kimeshindwa kuafikiana!?
Labda kama CCM ndio mambo yenu hayo mimi si wahivyoPoa ila we we ID yako imekuwa active sana baada ya Lisu kupewa ugombea mko wengi najua baada ya Lisu kushindwa mtatokomea gizani kwa shetani na Multiple ID zenu
Kama alitumwa arudi akawaambie watanzania wameshtuka.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Membe sasa hivi haamini macho yake kama hawa ndio watz wale wale wa mitandaoni waliomshabikia miezi kadhaa iliyopita.
Zitto ana zambi sana. Mlichomfanyia Membe Mungu atawalipa.
Hivi hii shida yote ya nini kisa Lisu? Ambae nae hatashinda?Mpare mpumbavu wa pili wewe.
Wa kwanza alikuwa yule aliyetakiwa kuvaa mpira wa kiume ili wewe usije duniani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kasema hivyo kwa diwani na Ubunge ila hajasema hivyo kwenye Urais.Ameshasema tutampigia kura mpinzani ambae atakua na ushawishi kuliko wengine..
Tumeshatumia bongo zetu.kura kwa Tundu Lissu.Kasema hivyo kwa diwani na Ubunge ila hajasema hivyo kwenye Urais.
Kwenye Urais kasema YEYE atampigia Lissu then kawaacha nyie mtumie bongo zenu
Mimi Simoni Siro maarufu kwa jina la Malcom xx hapa jamii forum natangaza kumpigia kura Lissu katika kiti cha urais wa Jamhuri ya muumgano wa Tanzania.MSIMAMO RASMI WA ACT WAZALENDO KUSHIRIKIANA NA CHADEMA.
Hivyo basi, baada ya maelezo hayo, natangaza rasmi kwa Wanachama, Wafuasi, wapenzi wa ACT Wazalendo na Watanzania kwa Ujumla, kuwa:
1. Pale kwenye Kata ama Jimbo ambalo ACT Wazalendo tuna Mgombea, tunaomba Muwapigie Kura wagombea wa ACT Wazalendo.
2. Pale ambapo kwenye Kata au Jimbo la Uchaguzi hakuna Mgombea wa ACT Wazalendo, lakini kuna wagombea wengine wa Vyama vya Upinzani, ACT Wazalendo tunawaomba MPIGIE KURA MGOMBEA WA CHAMA CHA UPINZANI mwenye nguvu zaidi ili kutokutawanya Kura.
3. Kwa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mimi Zitto Zuberi Ruyagwa Kabwe NITAPIGA KURA YANGU kwa ndugu Tundu Antipas Mughwai LISSU. Huyu ndiye Mgombea wa Upinzani ambaye ana nguvu ya kumshinda Mgombea wa Chama tawala, amefanya kampeni nchi nzima, mwitikio wa Wananchi kwake ni mkubwa sana, ameeleza kwa ufasaha dhamira yake ya kuleta mabadiliko na sina mashaka na dhamira hiyo, pamoja na anayotaka kuyafanya kama Rais, ni mambo hayo ndiyo yaliyonipa msukumo wa kumpigia Kura Lissu.
Zaidi NINAMUAMINI LISSU kutokana na historia yake ya kupigania Haki za Watu. Ninaomba kila mpenda Haki na Mabadiliko nchini ampigie kura ya URAIS ndugu Tundu Lissu ili awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Natanguliza Shukran kwenu
Kabwe Z. Ruyagwa Zitto
Kiongozi wa Chama, ACT Wazalendo
Bangwe, Kigoma Mjini
Oktoba 16, 2020
How?ACT mmevurugwa
zito unatuchanganya sisi wapiga kura, maana sisi tunamtambua Membe sasa kimetokea nini ?! unapaswa utoe tamko rasmi na uelezee sababu za kufanya hivyoMSIMAMO RASMI WA ACT WAZALENDO KUSHIRIKIANA NA CHADEMA.
Hivyo basi, baada ya maelezo hayo, natangaza rasmi kwa Wanachama, Wafuasi, wapenzi wa ACT Wazalendo na Watanzania kwa Ujumla, kuwa:
1. Pale kwenye Kata ama Jimbo ambalo ACT Wazalendo tuna Mgombea, tunaomba Muwapigie Kura wagombea wa ACT Wazalendo.
2. Pale ambapo kwenye Kata au Jimbo la Uchaguzi hakuna Mgombea wa ACT Wazalendo, lakini kuna wagombea wengine wa Vyama vya Upinzani, ACT Wazalendo tunawaomba MPIGIE KURA MGOMBEA WA CHAMA CHA UPINZANI mwenye nguvu zaidi ili kutokutawanya Kura.
3. Kwa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mimi Zitto Zuberi Ruyagwa Kabwe NITAPIGA KURA YANGU kwa ndugu Tundu Antipas Mughwai LISSU. Huyu ndiye Mgombea wa Upinzani ambaye ana nguvu ya kumshinda Mgombea wa Chama tawala, amefanya kampeni nchi nzima, mwitikio wa Wananchi kwake ni mkubwa sana, ameeleza kwa ufasaha dhamira yake ya kuleta mabadiliko na sina mashaka na dhamira hiyo, pamoja na anayotaka kuyafanya kama Rais, ni mambo hayo ndiyo yaliyonipa msukumo wa kumpigia Kura Lissu.
Zaidi NINAMUAMINI LISSU kutokana na historia yake ya kupigania Haki za Watu. Ninaomba kila mpenda Haki na Mabadiliko nchini ampigie kura ya URAIS ndugu Tundu Lissu ili awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Natanguliza Shukran kwenu
Kabwe Z. Ruyagwa Zitto
Kiongozi wa Chama, ACT Wazalendo
Bangwe, Kigoma Mjini
Oktoba 16, 2020