Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama akili yako inakutosha hata kuvuka barabara tuYeye kama yeye kadeclear kumpigia Lissu. Anawashaurije wafuasi wake?
Membe atampigia nani? Mbona kuna kigugumizi kwenye hii issue? Chama kimeshindwa kuafikiana!?
That is the point. Kwanini azunguke? Membe yupo wapi? Kwanini Membe wasimpandishe jukwaani akasema kitu?Ni Kama kazunguka tu..
How stupid can a guy be? Endelea kushikiwa akili tu kilaza weweSidhani kama akili yako inakutosha hata kuvuka barabara tu
Shida itatokea pale Lissu akipata urais kila mtu atasema anataka uwaziri mkuu kwa sababu alimsaidia kuupata huo urais na ugomvi mkubwa utatokea miongon mwao
miaka 50 lkn akili sifurizito unatuchanganya sisi wapiga kura, maana sisi tunamtambua Membe sasa kimetokea nini ?! unapaswa utoe tamko rasmi na uelezee sababu za kufanya hivyo
Achana nae huyo!! sijui imekuwaje! amekuwa mzabibu mwitu!!!Kasema atampigia kura mgombea mwenye nguvu, full stop.
Kachero mbobezi ameachwa solemba 😂😂😂😂Vipi kuhusu mgombea wa chama chako Kachero Mbobezi Bernard Membe?
CCM hatusumbuki na kauli hiyo - tutapiga kundi lotee
Vipi kuhusu mgombea wa chama chako Kachero Mbobezi Bernard Membe?